Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Ha ha ha ha miss chagga mwenyewe anamjua rafik ake so mtiti lazma utokeeNilipo unganisha comments, nikawaza kwa sauti hadi nikashtuka
Ha ha ha ha miss chagga mwenyewe anamjua rafik ake so mtiti lazma utokeeNilipo unganisha comments, nikawaza kwa sauti hadi nikashtuka
Huyu wangu wa humu jf, yeye hua namfulia makabati yote hata yale mengine akiwa ameyapaka rangi.kuna shogangu hapa hadi chupi za mume anafua housegirl
hata kuanua tu zikikauka hatoi kwenye kamba zitakaa hapo wee zinadondoka mapaka zinachoka
ndoa yake nae ipo hoi
me hata sinaga cha kumshauri maana ni mvivu balaa

mtiti wenyewe si mdogoHa ha ha ha miss chagga mwenyewe anamjua rafik ake so mtiti lazma utokee
ha hahaha kakutengeneza huyoHuyu wangu wa humu jf, yeye hua namfulia makabati yote hata yale mengine akiwa ameyapaka rangi.
Sjui kanitengeneza kwa fundi![]()
![]()
na anakoelekea ni kusaidiwa kwa kufoka foka kule ... hata mumewe kaja pale badala asimame ampokee anaita dada njoo upokee matunda huku mweee
Atasaidiwa mpaka kumuhudumia mume
Ushapelekwa ubenazomoz weweHuyu wangu wa humu jf, yeye hua namfulia makabati yote hata yale mengine akiwa ameyapaka rangi.
Sjui kanitengeneza kwa fundi![]()
![]()
Ha ha ha ha jiandae tu....mtiti wenyewe si mdogo
ha haha sipokei simu tuHa ha ha ha jiandae tu....
Kwan kwako hapajui? Jiandae pia kutopokea namba ngen kama week hviha haha sipokei simu tu
kwangu anapajuaKwan kwako hapajui? Jiandae pia kutopokea namba ngen kama week hvi
Ha ha ha ha bas kazi ipo na weekend ilivyo ndefu hii ukisikia hodi tu utajua yeyekwangu anapajua
acha kunitisha basi sema najua hawezi nipiga sema atanisema sana aiseeHa ha ha ha bas kazi ipo na weekend ilivyo ndefu hii ukisikia hodi tu utajua yeye
huku kwa wanaume wa dar tunaanzaga alhamisi tunamalizia jumamosi .. jumpili ibadasomo zuri sana, hasa kwa wenye akili zao! btw miss chagga ni wapi huko mshaanza wikiendi alhamis yotehii?
jamani we mtumie tu huu ujumbe ajiongeze ... hii tabia siyo nzuri wao wanadhani ni sifa kuwa kama remote controllerMiss chagga kunisemea mie Wangu kwa kweli nimefurahi sana....mie nilishachokaaaa. Naomba nikupe namba yake umshukie kule insta na wasap. Jifanye kungwi wa jamii umnyee unisaidie la sivyo naanza kula beki 3 kuleta heshima nyumbani. Nishachoka mie ..argghhhhh.
Ha ha ha ha maneno hayaui kwahyo usiogope akimalza kuongea tafuta wine mpe anywe case inaishaacha kunitisha basi sema najua hawezi nipiga sema atanisema sana aisee
Ndio mana akasema kuwaambia SIJARIBIWI, ALhamis yote hii, mshafunga ofisi! Mnamjaribu!huku kwa wanaume wa dar tunaanzaga alhamisi tunamalizia jumamosi .. jumpili ibada
sawa mkuuHa ha ha ha maneno hayaui kwahyo usiogope akimalza kuongea tafuta wine mpe anywe case inaisha