kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,182
......miss chaga nakupenda uwe mwandani wangu jamani.........
Teh..mkuu ni kweli sijui tukiolewa kitu gani kinapita kwenye akili zetu huwa sielewi,
Inategemea lvBola umemwambia ukweli mm jamaan kwanza house gal sitak kwangu utajikuta unamletea mwanaume mke wa pili kazi zangu zinanitosha
muhimu ni kujipanga kwa kweli na si kumuachia kazi zote hgTeh..
Natamani ningemwon
Inategemea lv
Ni kujipanga tu na kujua majukumu yako na mipaka ya hg
Tambua ww ni mke na cyo hg,,kuna muda kazi za hm zinachosha,
Utajikuta unahangaika na mikazi kutwa nzima mwisho usahau kumuhudumia na huyo mume
jamani hata mi nakupenda pia......miss chaga nakupenda uwe mwandani wangu jamani.........
Sasa naona unakoelekea nitatoa mahari taratibu unajitambua shida itabaki kwa mama mkwe na limote control from MARANGU MTONI to DSM...Habari zenu WanaJF:
Ujumbe huu ni kwa rafiki yangu na wengine wenye tabia kama zake. Mtaniuliza kwanini nisimfuate nimwambie uso kwa uso, mwanamke yule anaongea akinisema na jinsi sina maneno mengi nitazimia..
Kwanza nikushukuru rafiki kwa huduma yako jana usiku loh nilienjoy kwa kweli.. Japo uliniharibia furaha yangu na nikaondoka kwako nikiwa na mawazo na sikupata usingizi usiku kucha rafiki..
Kumbuka kauli hii niliyokuambia wakati naondoka "JIREKEBISHE MAISHA HAYAENDI HIVI" ukacheka na kuniambia umeanza na mie nikakuaga na kuondoka..
Shoga kilichoninyima usingizi kikubwa ni hich, mwanao anapata haja kubwa wewe unamwita housegirl wako kwa sauti na kwa ugomvi huku umekishika mtoto mkono mmoja na mguuu mmoja umemning'iniza kama mtoto si wako, nilishtuka nikasema umeona nyoka nini ndani ? kumbe mwanao kapooo si vizuri hivyo ...
Mtoto anashikwa na housegirl anafurahi kuliko ulivyokuwa umeshika wewe jamani si vyema.... Najiuliza kama mwanao anapoo unamtreat hivyo hg yeye anaroho gani ya kuchezea kinyesi cha mtoto wa mwingine? Ukifanya mchezo katapata UTI sababu hujui hata kama anasafishwa vizuri mtoto.... Niliumia kama uligundua pamoja na kuwa wine ilianza kuchanga ila nilikuwa down sana ghafla narudia tena si vizuri vile..
Unalalamika ndoa yako ina matatizo lakini kiukweli kwa tabia ile kufoka foka na ya kufuliwa hadi chupi kazi ipo my dear acha punguza hayo makucha yako anza kufua vichupi vyenu au nunua washing machine uwe unafua na si kumpa hg hapo umepitiliza mpenzi..
Fanya siku moja moja angalia usafi wa nyumba yako pika na wewe acha kuwa kama remote controller we unabonyeza tu kinakuja jana umenichosha jinsi unavyoita weeee unafoka foka mpaka sura umeanza kuzeeka wewe....
Kiukweli nyumba yako haina amani kabisa japo we unajiona upo sawa ila unapoteza mpenzi wangu.. Narudia tena JIREKEBISHE MPENZI".
Ukipiga simu yako sipokei, whats app nipo off labda email.. Nakupenda sana rafiki yangu..
Weekend njema!

inafika mbona wewe tuSasa naona unakoelekea nitatoa mahari taratibu unajitambua shida itabaki kwa mama mkwe na limote control from MARANGU MTONI to DSM...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kakufunda nani nimpe zawadi?Yaani kama kweli unaogopa kutawazwa, Ungeweza kuanzisha uzi wa kuongelea wajibu wa mke nyumbani kwake Na kwa familia. Hakupaswa kuandika Na kumshambulia directly. Huyo ni rafiki yako, hicho ulichofanya hapa ni kumfunua kwa kukukaribisha nyumbani kwake Na kwenye maisha yake (hasa kwa sababu kakushirikisha kuwa ana matatizo kwenye ndoa yake).
Shambulio la hivi halina matunda chanya. Na atachukua nafasi ya kujihami kwa kukukasirikia. Umemkosea, badala ya kumsaidia utamfanya azidi kuchoka nafsi yake kwa kuona hata rafiki yake anamhukumu. Si ajabu hali hiyo imetokana Na hizo stress za ndoa.
Somo moja nilifunzwa, ukienda kwa mtu ukaona tandabui usikodoe macho. Ukifika nyumbani kwako tia ufundi wote, angalia kama kuna tandabui Na safisha kila mahali. Usijekukuta unahangaika na kibanzi kwenye jicho la mwenzako
Mambo?![]()
![]()
akkaah!babu atosha
safi nambie!!Mambo?
Muulize babu@Asprin niilienda wapiSafi
Miss u
Ulienda wapi siku mbili hivi?
Hg siku moja afue hizo chupi na kuzipaka upupu pale kazi.Mwanamke mtu mzima adi chupi unafuliwa na hg. Mungu anakuona mbulula wewe
mkuu ni kweli sijui tukiolewa kitu gani kinapita kwenye akili zetu huwa sielewi,
Mhhhhh
Nipe namba yake
nyakunyaku watamnyakua buree....!we muite hapa ajeSitaki kumuita.![]()
![]()
![]()
nyakunyaku watamnyakua buree....!we muite hapa aje