displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,091
Duuh kumbe weye ndiye!!??Hakuna mpango wa kando wala nn,nawaogopa wakna dada vbaya sanaaaa.nakaa tuuuu
Duuh kumbe weye ndiye!!??Hakuna mpango wa kando wala nn,nawaogopa wakna dada vbaya sanaaaa.nakaa tuuuu
pole sana huyo mama ana roho mbaya lloohh!!Huyo nimtoto wangu na yeye,yule wa kwangu ambaye tumekaa naye toka grade one na sasa yko grade six, alijaribu kumfukuza nikawa mkali,ila dogo vitisho vilizid akatoroka akaenda kwa hib yke mzaa mama.
kuna wazazi hua wanachangia ndoa kuvunjika kabisa tena ukute wana kajiuwezo sasa ndo utajutaKuna wazazi nao wanachangia watoto kuvunja ndoa zao. Aisee kuna familia kama hujarudi na barua ya maelezo au talaka, au simu basi rudi kwa mumeo, unless kuna ugomvi mkubwa kati yenu na unajulikana kwa wazazi na walishajitahidi kusuluhisha before bila mafanikio. Unampokeaje mke wa mtu bila taarifa yoyote kutoka kwa mumewe, tena anakaa nyumbani zaidi ya miezi 8 mmh? ?? Au wanakutegeshea uende, labda kuna mashtaka kakusemea kwao lol, but kama wazazi walipaswa kukutafuta
Duuhh!!kazi kwelikweli!Nilienda kumuona mtoto nayeye nilimkuta,halafu kna chama flan wote tumo huwa tunakutana kila mwez na yeye anakuwepo.yuko kwao kabisa,confirmed.
Wazazi majipu!!Yule kwao ni first born halafu wazaz wake ni kama wanamuogopa flan hv,so alitegemea na mume atamuogopa.kimsingi aliondoka kwa kiburi tuu ingawa nilikuwa nataman aondoke maana,,,,
Pole sana Mkuu!Miss Chaga,mm nmeishi na mke miaka saba,hii harus ilifanyikia mbez beach maeneo ya makonde,ilikuwa june 2009,huyu mke hakujua kunitengea maji ya kuoga wala kuninyooshea nguo,anafoka,ana matusi nilitaman ardhi ipasuke ,nikamuomba sana Mungu maana nilikuwa naogopa hata kurud nyumban,mambo yalikuwa mengi, ndo siku Moja alijifaragua akaondoka nilimshukuru Mungu,leo ni miez nane yuko kwao na mimi niko kivyangu.Sitaman hata kumuona.Mtu niliyejitesa kwa ajili yake anakuwa mtu wa kunidhalilisha ,iliniuma saanaaa.wanawake wengine wanataka waume wawe watumwa ukiwa tofauti inakuwa shidaaa
Ninalo Mimi!![]()
![]()
![]()
Hamna lolotee...
Ndo walewale!!my babu loves mee!!
Babu kijana yule!
Akuuu!!,ngoja uwe mbiggg kwanza ndo ujee...!!Ninalo Mimi!
Ukihitaji nakuonyesha.
Sijafulia hata kidogo na haitokei!we umefuliaa...!
Umefuliaa kimambo...!!babu wangu anajua kupendaSijafulia hata kidogo na haitokei!
Niko vizuri kiukweli.
Umesahau Jana nilkwambiaje?
Mhh!!Umefuliaa kimambo...!!babu wangu anajua kupenda
Shikilia msimamo hivo hivo, wewe ni mwanaume usikubali kuburuzwa, na usimfuate,aliondoka kwa hiyari yake.Yule kwao ni first born halafu wazaz wake ni kama wanamuogopa flan hv,so alitegemea na mume atamuogopa.kimsingi aliondoka kwa kiburi tuu ingawa nilikuwa nataman aondoke maana,,,,
![]()
![]()
![]()
ya kale dhahabu kuna@platozoom pia my switie pie....!!
blaza reply zako ni hatari sana,Hahahahahmbona una marafiki wa hovyo hovyo
Ndege wafananao ndiyo huruka pamoja mkuu!blaza reply zako ni hatari sana,Hahahahah
ha ha hahaKumbe una wivu eeh?
Hata mimi sitaki beki tatu nyumbani kwetu
jamani pole . mwanamke wa kufoka si mzuri kabisaMiss Chaga,mm nmeishi na mke miaka saba,hii harus ilifanyikia mbez beach maeneo ya makonde,ilikuwa june 2009,huyu mke hakujua kunitengea maji ya kuoga wala kuninyooshea nguo,anafoka,ana matusi nilitaman ardhi ipasuke ,nikamuomba sana Mungu maana nilikuwa naogopa hata kurud nyumban,mambo yalikuwa mengi, ndo siku Moja alijifaragua akaondoka nilimshukuru Mungu,leo ni miez nane yuko kwao na mimi niko kivyangu.Sitaman hata kumuona.Mtu niliyejitesa kwa ajili yake anakuwa mtu wa kunidhalilisha ,iliniuma saanaaa.wanawake wengine wanataka waume wawe watumwa ukiwa tofauti inakuwa shidaaa
Umefurahi nini?ha ha haha