Ujumbe kwa rafiki yangu

Ujumbe kwa rafiki yangu

Huyo nimtoto wangu na yeye,yule wa kwangu ambaye tumekaa naye toka grade one na sasa yko grade six, alijaribu kumfukuza nikawa mkali,ila dogo vitisho vilizid akatoroka akaenda kwa hib yke mzaa mama.
pole sana huyo mama ana roho mbaya lloohh!!
Kuna wazazi nao wanachangia watoto kuvunja ndoa zao. Aisee kuna familia kama hujarudi na barua ya maelezo au talaka, au simu basi rudi kwa mumeo, unless kuna ugomvi mkubwa kati yenu na unajulikana kwa wazazi na walishajitahidi kusuluhisha before bila mafanikio. Unampokeaje mke wa mtu bila taarifa yoyote kutoka kwa mumewe, tena anakaa nyumbani zaidi ya miezi 8 mmh? ?? Au wanakutegeshea uende, labda kuna mashtaka kakusemea kwao lol, but kama wazazi walipaswa kukutafuta
kuna wazazi hua wanachangia ndoa kuvunjika kabisa tena ukute wana kajiuwezo sasa ndo utajuta
 
Nilienda kumuona mtoto nayeye nilimkuta,halafu kna chama flan wote tumo huwa tunakutana kila mwez na yeye anakuwepo.yuko kwao kabisa,confirmed.
Duuhh!!kazi kwelikweli!
Yule kwao ni first born halafu wazaz wake ni kama wanamuogopa flan hv,so alitegemea na mume atamuogopa.kimsingi aliondoka kwa kiburi tuu ingawa nilikuwa nataman aondoke maana,,,,
Wazazi majipu!!
Mume ni mume apewe heshima yake!!
Mjinga huyo Dada!
 
Miss Chaga,mm nmeishi na mke miaka saba,hii harus ilifanyikia mbez beach maeneo ya makonde,ilikuwa june 2009,huyu mke hakujua kunitengea maji ya kuoga wala kuninyooshea nguo,anafoka,ana matusi nilitaman ardhi ipasuke ,nikamuomba sana Mungu maana nilikuwa naogopa hata kurud nyumban,mambo yalikuwa mengi, ndo siku Moja alijifaragua akaondoka nilimshukuru Mungu,leo ni miez nane yuko kwao na mimi niko kivyangu.Sitaman hata kumuona.Mtu niliyejitesa kwa ajili yake anakuwa mtu wa kunidhalilisha ,iliniuma saanaaa.wanawake wengine wanataka waume wawe watumwa ukiwa tofauti inakuwa shidaaa
Pole sana Mkuu!

Ila kama naona ni mbinu ya kutafuta mwanamke mwingine humu JF.

Fair comment brother.. Usimaindi!!
 
Mwanamke mzuri ni yule wa Mithali 31, na imekuwa kitu kigumu kidogo sisi wanawake kufikia Mithali 31 tujitahdi jamani. Sisi ndio wajengaji na wabomoaji wa familia.
 
bora umesema, hiyo ndo maana ya kuwa true to yourself
 
Rafiki yako anafanya hivyo labda kwasababu yeye hajui kazi,
 
Miss Chaga,mm nmeishi na mke miaka saba,hii harus ilifanyikia mbez beach maeneo ya makonde,ilikuwa june 2009,huyu mke hakujua kunitengea maji ya kuoga wala kuninyooshea nguo,anafoka,ana matusi nilitaman ardhi ipasuke ,nikamuomba sana Mungu maana nilikuwa naogopa hata kurud nyumban,mambo yalikuwa mengi, ndo siku Moja alijifaragua akaondoka nilimshukuru Mungu,leo ni miez nane yuko kwao na mimi niko kivyangu.Sitaman hata kumuona.Mtu niliyejitesa kwa ajili yake anakuwa mtu wa kunidhalilisha ,iliniuma saanaaa.wanawake wengine wanataka waume wawe watumwa ukiwa tofauti inakuwa shidaaa
jamani pole . mwanamke wa kufoka si mzuri kabisa
 
Back
Top Bottom