Ujumbe kwa rafiki yangu

Ujumbe kwa rafiki yangu

Doing baby..kammis dadi ake!
Mwambie leo ntawahi kurudi. Nije niongee nae. Japo bado yuko kwa tumbo lakini naamini ananisikia. Kako intelligent kama mama yake. Hapo lazima tupate ka lawyer... Mungu ameamua
 
Mwambie leo ntawahi kurudi. Nije niongee nae. Japo bado yuko kwa tumbo lakini naamini ananisikia. Kako intelligent kama mama yake. Hapo lazima tupate ka lawyer... Mungu ameamua
Umeona eeehh!ka lawyer au kadoctor kabisa

Kana akili kama baba ake vile!!
Kanakiki balaa!
 
Umeona eeehh!ka lawyer au kadoctor kabisa

Kana akili kama baba ake vile!!
Kanakiki balaa!
Ai nlikwambia mimba ya mchana lazima tupate uzao bora??

Afu tunachakachua thread ya wifiyo ujue. Hebu twende chumbani
 
Wake ndiyo chanzo Kikuu cha Waume kutafuta michepuko.
 
wanawake wengi tukishaolewa tunapoteza dira na mwelekeo.kwl ndoa ndoano
 
Back
Top Bottom