Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,818
- 40,584
Wengi ni ushamba...
We Dr huna akili kumbe pale ulipo edit na kuwa taja sijui mkuu wa kambi sijui brig, cos ,cdf na ushenzi gani ni mambo ya mifumo na utawala ya kijeshi jeshi halina Boss ni kazi ya watu, kazi ya Wanachi. Mambo mengine ni yaki jeshi haya andikik hapa, usilelte ujuaji hapa hivi sio vidonda. Halafu swala la kupigwa katika mapambano ni timing tu sio swala zito sana Ondoa ujinga akilini. Ego will kill uEti hana Boss. Mshenzi kweli.
Hawa ndiyo wanaleta ujuaji. Alafu wakipigwa wanatia huruma.
Ukibishana nae hata soka ubishani wa amani ukae mbali na uwe njema kwenye mbio 😂Nina jirani yangu ni mjeda, wale walioingia Ujedani kwa sababu ya michezo (Boxing)..yaani ana upumbavu wa kifala sana.....ukikaa nae hata dk 10 chaap utagundua humu shule hakuna
Nilipoona notification yako nikajua tu utakuwa umeandika UPUMBAVU!... nakujuagaUshatuona sisi firigisi we jamaa?
Wanajeshi wetu ni vilaza Sana, wakiwa kwenye uniform wanajiona wao ni wao kumbe ni zero tu
Wewe ni private, mnapendaga sana kujipa moyo kuwa viongozi wenu siyo Maboss wenu.We Dr huna akili kumbe pale ulipo edit na kuwa taja sijui mkuu wa kambi sijui brig, cos ,cdf na ushenzi gani ni mambo ya mifumo na utawala ya kijeshi jeshi halina Boss ni kazi ya watu, kazi ya Wanachi. Mambo mengine ni yaki jeshi haya andikik hapa, usilelte ujuaji hapa hivi sio vidonda. Halafu swala la kupigwa katika mapambano ni timing tu sio swala zito sana Ondoa ujinga akilini. Ego will kill u
Asante nduguUnaona ulivyo muoga na boya?
Yaani nije kambini? Mbona usitafute neutral ground? Unakuwa muoga kiasi cha kuona kambini ndipo utaniweza? Pumbavu.
Njoo nichokoze, nitakuonya. Ukiniletea ujuaji, nakugonga.
Awali ulisema mi ni Cpl sahivi umeamua niwe Pte twende tu ..Wewe ni private, mnapendaga sana kujipa moyo kuwa viongozi wenu siyo Maboss wenu.
Mtu anayekupa amri na kukushurutisha utii ni Boss wako. Mtu ambaye ana uwezo wa kukuondoa na kukuallocate kwingine ni Boss wako. Mtu mwenye uwezo wa kukupa adhabu ukikosea na huna cha kufanya ni Boss wako.
Mifumo hiyo ndiyo utaratibu. Mifumo hiyo ndiyo imewaweka watu kuwa juu yako. Na walio juu yako ndiyo maboss wako.
Mbona una akili finyu sana?
Nakubali kuwa kupigana ni timing, mbona awali ulikataa kuwa hakuna raia anayeweza kumkanda nyie maaskari msiojitambua mkilewa? Au askari tu ndiyo anajua timing? 🤣🤣.
Dogo, I can assure, you won't withstand my punch. Whatever you name, ego. But I'm confident enough.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Soja akiwa mmoja .. tunapigana
Ila kesho yake nakimbia huo mtaa
Hebu fanyani kweli tuwatayarishie pambano, ila kama mnategemea nguvu ya kidole bofya endeleeni na kwaherni.Wewe ni private, mnapendaga sana kujipa moyo kuwa viongozi wenu siyo Maboss wenu.
Mtu anayekupa amri na kukushurutisha utii ni Boss wako. Mtu ambaye ana uwezo wa kukuondoa na kukuaga kwingine ni Boss wako. Mtu mwenye uwezo wa kutoa adhabu ukikosea na huna cha kufanya ni Boss wako.
Mifumo hiyo ndiyo njia. Mifumo hiyo ndiyo imewaweka watu juu yako. Na walio juu yako ndiyo maboss wako.
Mbona una akili finyu sana?
Nakubali kuwa kupigana ni timing, mbona awali ulikataa kuwa hakuna raia anayeweza kumkandamiza nyie maaskari msiojitambua mkilewa? Au askari tu ndiyo anajua timing? 🤣🤣.
Dogo, nakuhakikishia, hautahimili ngumi yangu. Chochote unachotaja, ego. Lakini ninajiamini vya kutosha.
Acheni kuwaonea raia. Mtakutana na ambao watawakanyaga.Awali ulisema mi ni Cpl sahivi umeamua niwe Pte twende tu ..
Sipo hapa kutaka unielewe sana, nitawajibika kusema tu yaliyopo hayo maelezo mengine mengine ni nyie sijui mnayasomaga wapi.
" Dogo i can assure, iu won't withstand my punch, whatever you name, wgo. But i'm confident enough" basi kwa hii line nimejua naongea na kizibo cha kutoka angle ipi. Ngoja nikubali kutokukubaliana. Peace Dr kwa mama Tanzania
Andaa. Nilishatoa taarifa zangu kwenye post za mwanzo. Pitia utaziona.Hebu fanyani kweli tuwatayarishie pambano, ila kama mnategemea nguvu ya kidole bofya endeleeni na kwaherni.
Kazi yako is just provoking and speed up mtanange baina yao mkuu😂 and finally msala ukabakia kwao wenyewe...kama wew hujahusika vileMimi ndiye kichocheo lazima wapigane na mimi sitaki kuendergo any chemical change kaka[emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
😆😂Nasikitika kuwa toka jana napambana kuwepo na pambano kati ya Dr Restart na jamaa mmoja aliyejitanaibisha kuwa mjeda bwana Elias K kumbe naye ni wale waliokandwa kama bwana Restless Hustler basi pambano tukaliamishia kwa Private Hae Mo-Su .
Masikitiko yangu ni kuwa private Hae Mo-Su hataki kukubali pambano lifanyike nje ya uwanja wa kambi ila yeye anataka afuatwe kambini ili akipigwa asaidiwe na private wenzie .
Nikasema sasa kama na yeye anamuogopa Dr Restart basi hata mimi chapombe niko hapa kupigana aje Mbeya kwa nauli zangu na pia matibabu juu yangu tupimane uwezo lakini bado anademadema .
Sasa natangaza kwa afande yeyote aliyepo hapa na yuko tayari kupimana ubavu na raia basi aje aseme tuandae pambano .
Nb.Tunafanya hivi ili kuwatia moyo raia wote kujua kuwa wajeda wanapigika vizuri tu na wanakaa hawana maujuzi kama tunavyoaminishwa na jamii .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Very simple, akitaja kambi atasaidiwaKama wamekukung'uta wewe sema sehemu taja na kambi anayofanyia kazi utasaidiwa sio kulalama.
Anyway pole sana ndugu.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pamoja na hayo bado hawana mamlaka yakuchukua sheria mkononi.Vyombo vyakushughulika na makosa ya raia vipo.Unaweza ukajichukulia sheria mkononi kwa mtu ambaye humjui alafu akakudhalilisha na jeshi lako.Tutii sheria.Kila mtu aheshimu mipaka yake.Nadhani ingekuwa busara kama ange weka full story lakini hapo tutamuhukumu mwanajeshi bila kujua upande wa pili ilikuwaje... Mimi sidhani kama huyo mwanajeshi ni punguani aanze kumpiga TU mtu bila sababu...huyu Kuna kitu kakikoroga...haki vile