Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Shida siyo kutoa malalamiko,yaani mtu anipige makofi,nije nitoe malalamiko,dawa ni kupambana kadri unavyoweza,kama utapigwa sawa,kama utampiga sawa.Wananchi waache unyonge,mwanajeshi akikuzingua eti anataka kukupiga,usipigwe kizembe,pambana kadri unavyoweza.Hakya-Mungu siwezi kukubali uniaibishe hadharani,halafu niende kwa wakubwa ukaombe msamaha faraghani,aisee sikubali.
Jiulize kwanini Rostam Aziz alipotuhumu mahakama kuwa haziko huru,aliambiwa na chama cha majaji,aombe radhi vilevile alivyotuhumu,yaani kama aliita vyombo vya habari kutuhumu,basi aite vyombo vya habari kukanusha na si vinginevyo,angesema akanushe faraghani,nani angejua kakanusha?
Narudia tena,mwanajeshi asiye na nidhamu,akinizingua,namimi namzingua,ni heri tupambane nionekane nimepambana,siyo kupigwa kizembe.
Kwa wale ambao hawawezi kupambana inabidi wakawaripoti tu hawana namna,huwa mkizinguana kwenye mambo yetu ya kimtaa lazima muyamalize huko. Huwa jeshi halitakagi ujinga ndomaana wale wanao waonea raia,huwa hawapendi hilo swala liwafikie wakuu maana huwa wanapewa adhabu kali sana.
 
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari ni RAIA wa TZ

LAKINI huwa nashangaa(ga) sana wanapojitofautisha na RAIA kana kwamba wao sio RAIA

Sasa huo uaskari wameupataje!?

Ama kwa Ukiwa ASKARI U-RAIA una kuvuka!?

Hawa jamaa wanafikirisha sana Sometimes.
 
Hawa jamaa wanajikutaga kuwa wao ni miungu watu, kuna siku nimepanda boda na tuko high way pembeni kuna mtaro sasa kwa nyuma yetu ilikuwa harier akawa anatupigia honi yaani sisi tuingie mtaroni yeye apite nikamwambia dereva wa boda wewe tembea site yako na wala asikutishe na honi, basi jamaa akaja kwa nyuma akatupush tukaanguka alafu akasimama akaanza kutufokea nikamuuliza swali wewe ulikuwa unataka tuingie mtaroni au, unatakaje, ghafla ananiuliza unajua mimi ni nani, nikamjibu kukufahamu wewe hainisaidi lolote, jamaa kawa mkali na mimi nikawa mkali,mwenzie akamwambia umekosea alafu bado unazingua, pale nikajifanya nachujua namba ya gari na jina kwenye sare yake, mwenzie akanifuata akaomba samahani,
 
Yaani mtu unapigwa makofi... ?Kinachokufanya usiriakti ninini?
Unaogopa utakufa au?
Aisee... kuna watu ni mafala sana hii nchi.Watu wa hivi walitakiwa wazaliwe miaka ya ukoloni huko,wapigwe mbata na wazungu.. mtu umezaliwa miaka hii,bado unaonewaonewa... aiseee,mnaacha askari wasiokua na nidhamu wanajichukulia maujiko hovyohovyo.
 
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari ni RAIA wa TZ

LAKINI huwa nashangaa(ga) sana wanapojitofautisha na RAIA kana kwamba wao sio RAIA

Sasa huo uaskari wameupataje!?

Ama kwa Ukiwa ASKARI U-RAIA una kuvuka!?

Hawa jamaa wanafikirisha sana Sometimes.
Majority Hawawezi kuwaza. Wangekuwa wanaweza wasingefeli form four.
 
Hawa jamaa wanajikutaga kuwa wao ni miungu watu, kuna siku nimepanda boda na tuko high way pembeni kuna mtaro sasa kwa nyuma yetu ilikuwa harier akawa anatupigia honi yaani sisi tuingie mtaroni yeye apite nikamwambia dereva wa boda wewe tembea site yako na wala asikutishe na honi, basi jamaa akaja kwa nyuma akatupush tukaanguka alafu akasimama akaanza kutufokea nikamuuliza swali wewe ulikuwa unataka tuingie mtaroni au, unatakaje, ghafla ananiuliza unajua mimi ni nani, nikamjibu kukufahamu wewe hainisaidi lolote, jamaa kawa mkali na mimi nikawa mkali,mwenzie akamwambia umekosea alafu bado unazingua, pale nikajifanya nachujua namba ya gari na jina kwenye sare yake, mwenzie akanifuata akaomba samahani,
Serikali itakubaliana na Mimi kuwa maaskari wengi wa JWTZ Ni waonevu
 
Yaani mtu unapigwa makofi... ?Kinachokufanya usiriakti ninini?
Unaogopa utakufa au?
Aisee... kuna watu ni mafala sana hii nchi.Watu wa hivi walitakiwa wazaliwe miaka ya ukoloni huko,wapigwe mbata na wazungu.. mtu umezaliwa miaka hii,bado unaonewaonewa... aiseee,mnaacha askari wasiokua na nidhamu wanajichukulia maujiko hovyohovyo.
Another Keyboard warrior 😅😅😅
 
Wewe bwana wewe raia Huwa wachokozi sana angesema kisa kilichomfanya apigwe ili tupime uzito wa kosa...!​
Hataki kusema anademadema tu .
Ila kila nikiwaza mtu mzima na familia yako upigwe vibao na kajamaa kamoja eti kanajeshi naishiwa nguvu .

Ngoja niendelee kufuatilia darasa kwa bwana NALIA NGWENA

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom