Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Vita ikija hata ww si unaumia unazani utapata huo mda wa kumpa askari chakula au maji ya kunywa. Utapata wap kwanza huo msosi wa kumpa askari. Vita ikija itahusu raia na askari wao. Au utakaa kimya uwaache wafanye walichosomea
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?

Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.

Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
Nimelike kabla sijamaliza kusoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
na nyie raia acheni ujeuri tuheshimiane.
tumeyasikia maoni yenu, tumwyapokea tutuyafanyia kazi kadiri inavofaa.
Wajeuri hawawezi kukosekana, na Kukosea au kuikosea sheria hakutoisha. Tunacho taka kuona kama raia ni kufuata sheria katika kuwajibishana, sio kwa sababu mimi ni flani na nimeona umekiuka sheria au umenikosea ninaamua kukuazibu kulingana na Utashi wangu.

Hii haikubaliki kwa kundi lolote la kijamii
 
Sawa mkuu tumekuelewa
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?

Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.

Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
 
Muambie hako katoto, kama anajiamini apange appointment.

November nitakuwa Arusha. Naendesha Van Guard nyeusi, namba 76.. DVS.

Nikiwa Arusha nahudumu Hospital ya Seliani. Natoka kazini mara nyingi saa 11. Kuna mahali napitia, jioni ya saa 2 nakuwa njiani kuelekea nyumbani Ngara.

Aje alete upuuzi wake. Ila awe mwanajeshi.
Daktari ngoja niendelee kumshawishi aje mimi nauli ya kutoka alipo nitalipa .
Incase kipigo utakachompa kitasababisha kupewa matibabu makubwa basi mimi najitolea kumihudumia kwa gharama zozote na kutumia ujuzi wangu mpaka apone .

Elias K njoo umjibu daktari ashaweka meeting point nakusubiri wewe tu kujua kama uko tayari ili nitume hela ya nauli ili pambano likapigwe huko .

Nb.Nitakuwepo

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nawachapaga makofi.

Arusha wapo wanajeshi kibao. Ubabe wao wakafanyie kwingine, si kwangu.

Nawapiga makofi alafu nampigia Mkuu wao. Nimemchapa askari wako kwa sababu moja mbili tatu.

Wanatia akili.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Siku zote ukizozana au askari akikufanyia ubaya chukua namba za gari kwa usahihi kama hana chukua namba zake za utambulisho. Jizuie kugombana kama kuna watu jirani waombe wachukue video. Hao mafara ajira zao wameandikwa kwa penseli
 
Daktari ngoja niendelee kumshawishi aje mimi nauli ya kutoka alipo nitalipa .
Incase kipigo utakachompa kitasababisha kupewa matibabu makubwa basi mimi najitolea kumihudumia kwa gharama zozote na kutumia ujuzi wangu mpaka apone .

Elias K njoo umjibu daktari ashaweka meeting point nakusubiri wewe tu kujua kama uko tayari ili nitume hela ya nauli ili pambano likapigwe huko .

Nb.Nitakuwepo

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ongea naye aridhie.

Na kwa kuwa hawahudumiwi hospital za kiraia, namgonga kisha namhudumia.

Atakuja kufatwa kupelekwa hospital ya Jeshi TMA kwa uangalizi zaidi.
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?

Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.

Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
Umeandika utumbo wa bata.
 
Back
Top Bottom