Sikufwana SUNGA
Senior Member
- Mar 30, 2023
- 123
- 182
Catalyst 😂Safi kabisa hapa hapa nataka apatikane mshindi sasa .
Ni wizara ya afya vs wizara ya ulinzi tuko hapa kumuona mwamba sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Catalyst 😂Safi kabisa hapa hapa nataka apatikane mshindi sasa .
Ni wizara ya afya vs wizara ya ulinzi tuko hapa kumuona mwamba sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiona Manyoya ujue kaliwa..
Mkuu wamekutemesha Bungo 😅😅
Pole sana siku nyingine usikubali kupigwa kama mtoto....Sidhani Kama alikuwa amelewa
....Hakunipigia Horn
...Alinirudishia baada ya kunipiga makofi masikio, Hadi mwaka huu wakati wa baridi masikio yangu yalikuwa yanauma kwa sababu ya yale makofi
Mugi mtu mbaya.Anaitwa Mugishagwa, sijui ni kambi gani maana Monduli Kuna makambi zaidi ya moja
🤣 mkipigwa mnasema Wanajeshi wakorofi.Nimekojoa saa ngapi? Acha usenge
Mimi ndiye kichocheo lazima wapigane na mimi sitaki kuendergo any chemical change kaka[emoji3]Catalyst [emoji23]
Nimelike kabla sijamaliza kusoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?
Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?
Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.
Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
Alafu kama hao wanavaaga vipensi alafu ni weusi kama mkaa wa MbeyaNina jirani yangu ni mjeda, wale walioingia Ujedani kwa sababu ya michezo (Boxing)..yaani ana upumbavu wa kifala sana.....ukikaa nae hata dk 10 chaap utagundua humu shule hakuna
Wajeuri hawawezi kukosekana, na Kukosea au kuikosea sheria hakutoisha. Tunacho taka kuona kama raia ni kufuata sheria katika kuwajibishana, sio kwa sababu mimi ni flani na nimeona umekiuka sheria au umenikosea ninaamua kukuazibu kulingana na Utashi wangu.na nyie raia acheni ujeuri tuheshimiane.
tumeyasikia maoni yenu, tumwyapokea tutuyafanyia kazi kadiri inavofaa.
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?
Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?
Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.
Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
Hata ukizijua haki zako. Mtiririko wa utoaji haki katika nchi hii bado ni kizungumkutiWanajeshi ambao hawakwendaga shule huwa wana akili za hovyo sana!
Mbaya zaidi raia hawazijui haki zao na sheria hawaijui basi mtihani kwelikweli
Umeona drills za mazoezi walizokuwaBinafsi Tz ikivamiwa sitaisaidia
Daktari ngoja niendelee kumshawishi aje mimi nauli ya kutoka alipo nitalipa .Muambie hako katoto, kama anajiamini apange appointment.
November nitakuwa Arusha. Naendesha Van Guard nyeusi, namba 76.. DVS.
Nikiwa Arusha nahudumu Hospital ya Seliani. Natoka kazini mara nyingi saa 11. Kuna mahali napitia, jioni ya saa 2 nakuwa njiani kuelekea nyumbani Ngara.
Aje alete upuuzi wake. Ila awe mwanajeshi.
[emoji38][emoji38][emoji38]Mimi nawachapaga makofi.
Arusha wapo wanajeshi kibao. Ubabe wao wakafanyie kwingine, si kwangu.
Nawapiga makofi alafu nampigia Mkuu wao. Nimemchapa askari wako kwa sababu moja mbili tatu.
Wanatia akili.
Binafsi Tz ikivamiwa sitaisaidia
Ongea naye aridhie.Daktari ngoja niendelee kumshawishi aje mimi nauli ya kutoka alipo nitalipa .
Incase kipigo utakachompa kitasababisha kupewa matibabu makubwa basi mimi najitolea kumihudumia kwa gharama zozote na kutumia ujuzi wangu mpaka apone .
Elias K njoo umjibu daktari ashaweka meeting point nakusubiri wewe tu kujua kama uko tayari ili nitume hela ya nauli ili pambano likapigwe huko .
Nb.Nitakuwepo
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Umeandika utumbo wa bata.Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?
Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?
Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.
Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.