Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Kwenye njia hii yakuja kutoka bonden darajan ukitokeaa kawe ,walinitembezaga km bataa mbelee ya Dem wangu aiseé [emoji23],wakamwacha Dem wangu asitembee km Bata kisa alisisema ana mimba .
Basi wakamwambia akae nyuma yangu ni kizingua kutembea km Bata anipige tekee aiseee hata ckujuaga kosa nn mpk Leo [emoji23][emoji23][emoji23]

Nikajiuliza au walitaka tu kunioshea mbele ya Dem maaana nilioji kosa nn ,nikaambiwa tu chini [emoji23] daaaa..
Mambo ya hovyo hovyo tu. Ila nimefurahi Sana kuona ile taarifa ya GENTAMYCINE
 
Wasamehe bure wengi wao ni zero brain hivyo wanaamini nguvu ndiyo kila kitu.

Hawa jamaa wanapenda sana kuabudiwa sio wote ila wale waliotokea kule vijijini kwetu wakirudi aiseee.
Ishu wala sio kutokea kijijini ishu kubwa nadhani ni elimu ,mimi naishi jirani na kambi ni ngumu kukuta askari wa kuanzia nyota moja ambao tunawaita maafisa kumkuta mtaani na ishu za ukosefu wa nidhamu ila hawa wa kuanzia private ni shida
 
Ishu wala sio kutokea kijijini ishu kubwa nadhani ni elimu ,mimi naishi jirani na kambi ni ngumu kukuta askari wa kuanzia nyota moja ambao tunawaita maafisa kumkuta mtaani na ishu za ukosefu wa nidhamu ila hawa wa kuanzia private ni shida
Upo sahihi mkuu.
Dunia ya leo imestarabika sana
 
Back
Top Bottom