Usihukumu bila kutoa vielelezo na huenda Wewe ndio chamzoKwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
- Mkiishiwa chakula, hatutawapa.
- Mkiishiwa maji, hatutawapa.
- Mkitumia ubabe kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa Raia wa Tanzania, huwa nashangaa sana mnapojitofautisha na Raia kana kwamba nyie sio Raia! Sasa huo uaskari wameupataje! Au Ukishakuwa Askari, U-Raia unaisha?
Katika Serikali ya Awamu ya Tano, tulishuhudia chuki kubwa kati ya raia wa kawaida na Jeshi la Polisi, baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu ni njema na kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, kisha Maaskari.
Sisi ni wengi kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mitaani hovyo.
📌📌📌🔨🔨🔨🔨Usihukumu bila kutoa vielelezo na huenda Wewe ndio chamzo
Unanipa ujasiri bandia. Hao jamaa Hakuna Mahakama itawafunga zaidi ya kuambiwa aliua kwa bahati mbayaWacha uoga Tz ni nchiyako sio mkimbizi wewe,huo ndio ukweli wacha usemwe waweze kubadira..
Lakini hao jamaa wanatumiaga Nguvu tu. Hawajui kutumia akiliAmeongea kwa busara sana, binaadamu lazima akumbushwe maana tumeumbwa kusahau , mwenye masikio na asikie , hakuna kipya hapa duniani wote tutakufa
Mimi siyo keyboard warrior,hakyaMungu nakuzingua,nipo mtaani unakuja unasema ujaribu kunionea,aisee nakuzingua.Wngine sisi tuna falsafa ya ugomvi ukianzishwa usiishe haraka,yaani ratiba naivunja kabisa ili nishughulike na mhusika.Unajua baadhi ya watu akizinguliwa,akipigwa kibao au mtama,wanaogopa kuriakti eti sijui ana hofu atauawa.... aisee.... mi unaanzisha mtiti,narikti in accordance,najua vurugu hiyo nimeshaianzisha na mwanajeshi hawezi kunibeba eti anipeleke kambini,kwahiyo ntazinguana naye kwa kigezo cha mimi kujilinda.Aisee... ije itokee tu.Dawa ya mtu wa hivyo,ukishika chochote rusha... yaani hakuna kusita,kusita kwako ndo kumpa maujiko,yaani rusha kwelikweli,yawe mapigano mchanganyiko.Another Keyboard warrior 😅😅😅
Fanya tafakuri kabla ya kuandika alwaysWewe bwana wewe raia Huwa wachokozi sana angesema kisa kilichomfanya apigwe ili tupime uzito wa kosa...!
Muda huo adui anatumia drones... wewe wewe unalenga kianalojia.... aiseeeUmeona drills za mazoezi walizokuwa
Wanafanya bagamoyo leo [emoji1]
Wameweka chupa za mo energy chupa za uhai wanazilenga
Hawa naona kwa sasa wasioneshe mazoezi yao hadharani maana
Ova
[emoji1]Muda huo adui anatumia drones... wewe wewe unalenga kianalojia.... aiseee
Unafikiri man 2 man wanaziweza hawa...hawa washazoea kuitanaMimi siyo keyboard warrior,hakyaMungu nakuzingua,nipo mtaani unakuja unasema ujaribu kunionea,aisee nakuzingua.Wngine sisi tuna falsafa ya ugomvi ukianzishwa usiishe haraka,yaani ratiba naivunja kabisa ili nishughulike na mhusika.Unajua baadhi ya watu akizinguliwa,akipigwa kibao au mtama,wanaogopa kuriakti eti sijui ana hofu atauawa.... aisee.... mi unaanzisha mtiti,narikti in accordance,najua vurugu hiyo nimeshaianzisha na mwanajeshi hawezi kunibeba eti anipeleke kambini,kwahiyo ntazinguana naye kwa kigezo cha mimi kujilinda.Aisee... ije itokee tu.Dawa ya mtu wa hivyo,ukishika chochote rusha... yaani hakuna kusita,kusita kwako ndo kumpa maujiko,yaani rusha kwelikweli,yawe mapigano mchanganyiko.
Nikama Israel na HamasMuda huo adui anatumia drones... wewe wewe unalenga kianalojia.... aiseee
😅😅😅Mimi siyo keyboard warrior,hakyaMungu nakuzingua,nipo mtaani unakuja unasema ujaribu kunionea,aisee nakuzingua.Wngine sisi tuna falsafa ya ugomvi ukianzishwa usiishe haraka,yaani ratiba naivunja kabisa ili nishughulike na mhusika.Unajua baadhi ya watu akizinguliwa,akipigwa kibao au mtama,wanaogopa kuriakti eti sijui ana hofu atauawa.... aisee.... mi unaanzisha mtiti,narikti in accordance,najua vurugu hiyo nimeshaianzisha na mwanajeshi hawezi kunibeba eti anipeleke kambini,kwahiyo ntazinguana naye kwa kigezo cha mimi kujilinda.Aisee... ije itokee tu.Dawa ya mtu wa hivyo,ukishika chochote rusha... yaani hakuna kusita,kusita kwako ndo kumpa maujiko,yaani rusha kwelikweli,yawe mapigano mchanganyiko.
Acha ushamba jombaa vipi kama baba ako akikutwa nayo ukasikia kachakaa utajisikiaje?Fuata maelekezo bila shuruti.
Mpaka tuje tubaini ndio yenyewe au siyo yenyewe , utakua umeshachakaa mashavu, mbavu, mdomo umevimba na magoti vibaya sana.
That's not an excuse.
Epuka kuvaa gwanda za jeshi full stop.
Acha ushamba jombaa vipi kama baba ako akikutwa nayo ukasikia kachakaa utajisikiaje?
Ndo mana mkistaafu mnatia huruma kitaa nasisi hakuna kitu tunawasaidia tunawachora tu mwanajeshi mzima unachoma mishkaki pumbavu??
Maelekezo yapi aZingatiezingatia maelekezo tafadhali, itskusaidia.
Huyo mlevi ni mimi 😅🖖🏾Hao no pimbi tu alisikika mlevi Fulani akiwa ameshiba ulanzi
Hatimaye limetimia. Tuliwaonya hamkusikiaTunaangalia angalia angalizo la mtoa mada