Ujue ukweli kuhusu kitita kipya cha huduma cha NHIF

Irene Darton

Member
Feb 25, 2024
18
21
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matibabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kwenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Hakuna Kipya chochote kilichoongezwa..
Tangu mwaka 2010,2016 na sasa 2024 hakuna jipya kwenye Price list (Kitita)

Twende taratibu nitajie dawa iliyoongezwa ambayo haikuwepo..

Kingine kuongezeka Dawa kwenye kitita hakusolve upatikanaji wa dawa hospitalini.

Kuwepo dawa kwenye kitita Na kuwepo kwa dawa Hospitalini Ni vitu viwili tofauti..

Kama lipo jipya jibu na UNitag
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matibabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kwenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Upuuzi wa CCM, ukisikia wizara ya afya unaleta kitita cha bima ya afya, unaweza ukafikiri wataalamu wetu wamekuja na kitu cha maana saaana, kumbe ni kuwabebesha mzigo wamiriki wa hospitsri binafsi,
Ugomvi uliopo ni pesa, serikali hailipi kwa wakati, sasa kwenye hivyo vitita weongeza hduma za kibingwa, madawa ya magonjwa makubwa, maana yake, hospitsri binafsi, zitoe huduma zenye gharama kubwa bure/kwa mkopo kwa wanaotumia NHIF! Halafu, serikali italipa baada! Yaani, unamubia mwekezaji, atoe, huduma, kwa, mkopo, mkopo ambao, serikali, hqijuhi, italipa, rini,
 
Hakuna Kipya chochote kilichoongezwa..
Tangu mwaka 2010,2016 na sasa 2024 hakuna jipya kwenye Price list (Kitita)

Twende taratibu nitajie dawa iliyoongezwa ambayo haikuwepo..

Kingine kuongezeka Dawa kwenye kitita hakusolve upatikanaji wa dawa hospitalini.

Kuwepo dawa kwenye kitita Na kuwepo kwa dawa Hospitalini Ni vitu viwili tofauti..

Kama lipo jipya jibu na UNitag
Point
 
Hakuna Kipya chochote kilichoongezwa..
Tangu mwaka 2010,2016 na sasa 2024 hakuna jipya kwenye Price list (Kitita)

Twende taratibu nitajie dawa iliyoongezwa ambayo haikuwepo..

Kingine kuongezeka Dawa kwenye kitita hakusolve upatikanaji wa dawa hospitalini.

Kuwepo dawa kwenye kitita Na kuwepo kwa dawa Hospitalini Ni vitu viwili tofauti..

Kama lipo jipya jibu na UNitag
Tumuombe Mungu apambane na Ummy na watu wake maana wanacheza na afya za wengine
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
NHIF is another rubbish.
 
Kulipa C/S 130,000/= badala ya 300,000/= iliyokuwa inalipwa zamani ndio maboresho mazuri?

Hawa watoa huduma wanaweza kukubali lakini, wakati wa kutoa huduma ikawa ni kimbembe/kukwepa badala yake wataobserve cash.

Hapo ndio mlalahoi atakapokosa huduma bora.
 
Hakuna Kipya chochote kilichoongezwa..
Tangu mwaka 2010,2016 na sasa 2024 hakuna jipya kwenye Price list (Kitita)

Twende taratibu nitajie dawa iliyoongezwa ambayo haikuwepo..

Kingine kuongezeka Dawa kwenye kitita hakusolve upatikanaji wa dawa hospitalini.

Kuwepo dawa kwenye kitita Na kuwepo kwa dawa Hospitalini Ni vitu viwili tofauti..

Kama lipo jipya jibu na UNitag
......Kingine kuongezeka Dawa kwenye kitita hakusolve upatikanaji wa dawa hospitalini.

Kuwepo dawa kwenye kitita Na kuwepo kwa dawa Hospitalini Ni vitu viwili tofauti.....
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Kwa hiyo hapa ndo umemaliza kufafanua hoja yako?

Sijaona wala kuelewa umefafanua nini kiasi cha watoa huduma binafsi wa afya wakuelewe.

Maelezo yako yako juu juu na kiujumla jumla tu bila kuwa na ufafanuzi makini unaoshawishi mtu asomae akuelewe.

Na nadhani ungeeleweka vyema kama ungejibu hoja moja baada ya nyingine toka kwa watoa huduma binafsi (Private sector health service providers) pamoja na wanachama wa NHIF..

Mfano, je ni kweli huduma ya kujifungua kwa njia ya upasuaji gharama zake zimepunguzwa kutoka 300,000 hadi 130,000?

Kama ni kweli, sasa unawezaje kusema hakutakuwa na gharama za ziada (top ups) toka kwa mwanachama wa NHIF iwapo gharama za upasuaji zimeshushwa kiasi hiki?

Au bei za madawa na thamani ya pesa imepanda kiasi cha kutoleta athari zozote?

Kwa hali hii, ni kweli hakuna ongezo la makato ya kuchangia mfuko huu wa NHIF toka kwa wanachama.

Lakini kwa mfumo huu mpya, ni wazi kuwa serikali kwa kupitia mlango wa nyuma, inawataka wanufaika wa mfuko wa bima ya afya wa taifa walipie gharama za ziada za matibabu yao wakati tayari wameshatoa fedha zao kwa kukatwa mishahara miaka na miaka lakini wajanja wachache wamezikwapua (wameziiba) na kutumia kwa manufaa yao.

Na hivyo ili kujinasua kwenye hatia hii, wamekuja na mpango huu wa KUIBIA wanachama wa NHIF kwa kupitia mlango wa nyuma.!!

Hii haikubaliki hata kidogo!
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
1: Ulishawahi kuendesha/kusimamia hata kliniki ya mtaa au kituo chochote cha afya?

2: Uliendesha/kusimama kwa muda gani?

3: Kinaitwaje?

4: Kiko wapi?

5: Kinalipa kodi zote?

Au umepewa ujumbe tu U-PUSH??
 
Kitita ni orodha ya huduma na bei zake ambazo NHIF huingia mkataba na Hospitali kuwahudumia wanachama wake.

Hakuna ongezeko la gharama za michango ya wanachama.

Hakuna kuchangia gharama za matubabu (top up) kwa huduma zinazolipiwa na NHIF

Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa vituo vya ngazi za chini

Huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana pia kwenye ngazi za Kanda na sio lazima mwanachama aende mpaka hospitali za ngazi Taifa

Dawa 247 mpya zimeongezwa kenye kitita hivyo changamoto ya mwanachama kukosa dawa vituoni imepata suluhu
Hili shirika liko mortuary.
Yaani hata ile namba yao ya bure haipatikani.
Tusubiri tangazo la mazishi tuu.
 
Back
Top Bottom