mba nidalili ya ngoma/HIV pia kwa hiyo kapime kwanza ili ujue unamba wa ngoma au unao ule wa kawaida
Nina tatizo kama lako hadi wakati mwingine naona aibu kutoa shati hata kama kuna joto vipi.
Nimetumia hiyo dawa ya kijani, tube, vidonge na zingine bila mafanikio yoyote.
Lakini baada ya muda nilishauriwa kutumia Brake Fluid ya magari (ziko aina mbili nijuavyo mimi, ya mkebe wa plastic na ile ya mkebe wa bati). Chukua hiyo ya mkebe wa bati jisugulie kote kwenye mba na mabaka mpaka usikie kama joto hivi.
Inasaidia kwanza inapunguza na kufuta mabaka kabisa, baada ya siku ya tatu ama nne utaona mabadiliko.
NOTE: Haitazitoa milele, ni Alergy the only way ni ujue chakula gani kibovu unatumia ukiache.
Wanajamvi habari zenu? Kwa takribani miaka 15 ninasumbuliwa na mba mwilini, tiba hospitali nimepata mara kadhaa ikiwemo kupewa dawa ya mba ile ya maji ya kijani, dawa ya tube ya kupaka na vidonge vya kumeza, hivi mara ya mwisho oct 2012 nilienda hospitali nikapewa tube ya kupaka na nikaambiwa nitumie sabuni ya detal siku zote japo paka saizi natumia sabuni ya detal lakini nikijiangalia kwenye kioo sehemu za mgongoni naona mabaka ya mba yametoka tena...wanajamvi tafadhali mwenyekuweza kunisaidia maana sio siri nakereka sana mwenzenu kwani kipind fulani huwa nawashwa mwilimzima.
Mtafute daktari maalum wa ALEJI. M-ba wako inaelekea pia unatokana na aleji ya vyakula fulani unavyokula. Mfano watu wengi wa group 0+ nikiwa mmojawapo wanasumbuliwa mno na aleji ya vyakula vinavyotoka baharini, yaani samaki na ect. So, tafutata mtaalamu wa masuala ya aleji anaweza kukusaidia. Zaidi ya hapo unaweza kutafuta wataalamu zaidi.
Bigbro nashukuru kwa ushaur wako, ni kweli kabisa hata mim blood group langu ni o japo sijui kama ni o+ au vinginevyo, jambo nalotaka unisaidie pia mkuu ni wap tampata Dr wa alergy?
Nitaku-PM jina la daktari wa pale Muhimbili na contact ukamcheki.
Wanajamvi habari zenu? Kwa takribani miaka 15 ninasumbuliwa na mba mwilini, tiba hospitali nimepata mara kadhaa ikiwemo kupewa dawa ya mba ile ya maji ya kijani, dawa ya tube ya kupaka na vidonge vya kumeza, hivi mara ya mwisho oct 2012 nilienda hospitali nikapewa tube ya kupaka na nikaambiwa nitumie sabuni ya detal siku zote japo paka saizi natumia sabuni ya detal lakini nikijiangalia kwenye kioo sehemu za mgongoni naona mabaka ya mba yametoka tena...wanajamvi tafadhali mwenyekuweza kunisaidia maana sio siri nakereka sana mwenzenu kwani kipind fulani huwa nawashwa mwilimzima.
Mkuu KITWANGAUTAM Dawa ya Mba Mafuta ya Habati sawda na Mafuta ya Nazi. Kinachotakiwa Kufanya ni kuwa Wakati ukienda Kuoga Kichwani Yakupasa Uoshe nywele kwa maji Ya uvuguvugu kisha Ukifute kichwa Uzuri sana kiasi Kisibakiwe na Maji maji mengi, Ila nywele ziwe zimelainika tu!.. na Sehemu zenye huo mba.poleni sana pengine akija MziziMkavu atasema neno.