Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

Usidanganyike sweetdada, dr. Mgonda ndie consultant Dermatologist hapa Dsm.
Magonjwa ya ngozi ni magumu sana kutibu matinabu yake yanaweza kuchukua miezi mitatu au zaidi ndio uanze kuona mabadiliko. Matatizo mengine huwa hayatibiki kabisa.
The best thing rudi Kwa dr. Mgonda mueleze atakupa way forward
Ikishindikana kabisa nitafute kwenye togholo@gmail.com. Nitakushauri chakufanya.
 
Hii sasa ni kituko.

Nini tena mkuu? We unafahamu chuo kingine cha magonjwa ya ngozi hapa bongo? It's only at KCMC Dermatoveneriology department tena kwa sasa wamejenga jengo kubwa zaidi ambalo litakuwa na wodi za ngozi pekee, madarasa, ofisi.
 
Usidanganyike sweetdada, dr. Mgonda ndie consultant Dermatologist hapa Dsm.
Magonjwa ya ngozi ni magumu sana kutibu matinabu yake yanaweza kuchukua miezi mitatu au zaidi ndio uanze kuona mabadiliko. Matatizo mengine huwa hayatibiki kabisa.
The best thing rudi Kwa dr. Mgonda mueleze atakupa way forward
Ikishindikana kabisa nitafute kwenye togholo@gmail.com. Nitakushauri chakufanya.

Sio mgonda pekee! Funguka mkuu, watanzania ni wengi sana kuwa wanatibiwa na mgonda pekee
 
Pole sana. kuna Dr. yuko mbezi tank bovu, anaitwa Dr. Mboneka alinisadia sana kwa tatizo kama hilo. Si vyema kutoa namba ya mtu pasipo ridhaa yake. Ila anapatikana pale Tank bovu nyuma ya Oilcom petrostation. ukiulizia tu maeneo hayo watu watakuelekeza.
 
Weka bayana watu wajue sio unafichaficha we unajua ni wangapi wana matatizo kama hayo au ndo mpk wakupm acha mambo yako bana????

We chizi sana nyinyi ndo watu mnaolazimishia wenzenu wapigwe ban sasa unataka niweke wazi nn wakati nimesema kariakoo disp siku jumamosi asubuhi saa tatu akitaka kuuliza ani-pm we unasema niweke wazi uwazi gani unautaka zaidi ya huo acheni ujinga wewe na mwenye post ingine hapo juu mkijiona kuwa mna uwezo mdogo wa kuelewa basi jijengeeni taratibu ya kuondoa ujinga wa kutokuuliza mambo
 
Wanajamii wenzangu nawaomben wale wanaojua tiba mbadala kwa ugonjwa wa ngozi, upo mwilini kama mba, yani unapausha ngoz kwa kutengeneza kama viduara viduara. Nimetumia dawa nyingi sana za hospitalini unaisha na badae unatokezea tena,DAWA ZA KUPAKA NA KUMEZA nimetumia nyingi mno, tafadhali nawaomba msaada kwa dhati nipate pona.

Natanguliza shukran zangu kwenu.
 
1) Ponda Ponda aloe vera (mshubiri mwitu), chemsha, chuja halafu kunywa maji yake kutwa mara 2 (kila masaa 12).

2) Ponda ponda aloe vera kabla hujachemsha, sugulia taratibu kwenye ngozi yote iliyoathirika.

(angalia usichemshe uliokwisha-jisugulia mwilini, hiyo tupa).

Fanya kwa siku 7, ulete majibu hapa hapa.
 
1) Ponda Ponda aloe vera (mshubiri mwitu), chemsha, chuja halafu kunywa maji yake kutwa mara 2 (kila masaa 12).

2) Ponda ponda aloe vera kabla hujachemsha, sugulia taratibu kwenye ngozi yote iliyoathirika.

(angalia usichemshe uliokwisha-jisugulia mwilini, hiyo tupa).

Fanya kwa siku 7, ulete majibu hapa hapa.

Mkuu kuwa mwangalifu sana, asilimia 60% ya Aloe Vera pori (Magaka)ni sumu! na hatari zaidi ni yale yenye magamba makubwa makubwa!
 
Mkuu kuwa mwangalifu sana, asilimia 60% ya Aloe Vera pori (Magaka)ni sumu! na hatari zaidi ni yale yenye magamba makubwa makubwa!

Aloe vera salama zinauzwa sokoni Dar. Kama upo Dar.

Sikusema aloe vera "pori" wala "magaka", nimesema "mshubiri mwitu" huu wazee wanaujuwa sana miaka na miaka kuwa ni tiba.
 
Maradhi Yote ya Ngozi


Uchukua mafuta ya Habbat-Sawdaa, mafuta ya waridi (marashi jabali) na unga wa ngano asili, vyote hivyo kwa viwango sawa, ule unga wa ngano uwe zaidi kuliko mafuta, halafu ukande vizuri. Kabla ya kujipaka, Upanguse sehemu yenye ugonjwa kwa kitambaa kilichoroweshwa siki nyepesi, halafu uketi kwenye jua, baadae ujipake dawa hio kila siku. Lakini Ujizuie na kila chenye kuchochea hisia kama vile, samaki, mayai, maembe na mfano wake. Tumia hiyo Dawa kisha unipe Feedback .. Mkuu...... Jotojiwe
 
Nawashukuru sana kwa michango yenu, naiman nimepata tiba na Mbarikiwe sana. Nitatoa feedback hapa hapa hivi karibuni.
 
Wanajamii naomba mnipemsaada ngozi yangu imetoka mapele nataka kuonana na mtaalamu wangozi atakayenipa sababu zatatizo langu ikiwezekana kama kuna vipimo anipime kabisailinitambue kinachonisibu....
 
Samahani nimeleta mada hii huku kwa sababu jamii dokta hakuna aliyerespond na watu wengu mnajikita kwenye jukwaa la siasa..nisaidieni na samahaani
 
Samahani nimeleta mada hii huku kwa sababu jamii dokta hakuna aliyerespond na watu wengu mnajikita kwenye jukwaa la siasa..nisaidieni na samahaani
Hata kama kule kwa madokta wapo bize, hapa utashauriwa mambo ya kisiasa tuu.
 
Samahani nimeleta mada hii huku kwa sababu jamii dokta hakuna aliyerespond na watu wengu mnajikita kwenye jukwaa la siasa..nisaidieni na samahaani

Mkuu kanywaino, sijui unamtafuka huyo daktari physically au hapa mtandaoni...if physically uko mkoa gani? but if mtandaoni, subiri waje Dermatologist...(since you asked specifically)..but to my knowledge they are countable.
 
Pole kwa tatizo ulilonalo,lakin linatibika linaitwa seborrheic dermatitis ni pm nkusaidie
Wanajamii wenzangu nawaomben wale wanaojua tiba mbadala kwa ugonjwa wa ngozi, upo mwilini kama mba, yani unapausha ngoz kwa kutengeneza kama viduara viduara. Nimetumia dawa nyingi sana za hospitalini unaisha na badae unatokezea tena,DAWA ZA KUPAKA NA KUMEZA nimetumia nyingi mno, tafadhali nawaomba msaada kwa dhati nipate pona.

Natanguliza shukran zangu kwenu.
 
Fika Arusha Mjini ulizia mabasi yanayokwenda kwa BABU shida yako imeisha!



Nadhani ni karibu na Jangwani kwani ndiyo pamekuwa kama pfisi za Heads of Dept nyingi pale sasa hivi, au tuseme opposite na post office za MUCHS
 
Back
Top Bottom