Kwanza kabisa nampa pole sana mwenzetu aliyepotelewa na documents zake. Pamoja na hayo, mbali na lawama kulielekea jeshi letu la polisi, mimi nadhani pia wenzetu wa Financial institutions (mabenki) wanatakiwa wajue kwamba kazi yao kubwa ni kuhakikisha usalama wa amana za wateja wao unapewa kiwango na uzito wa hali ya juu. Kwa kweli binafsi kumwambia mteja karipoti Polisi wakati amepotelewa na kitu muhimu kama Debit Card ambayo ni muhimu kwa usalama wa amana yake, ni jambo la kushangaza. Nafikiri umefika wakati kwa mabenki yetu ku-abolish bank policies zisizokuwa na maana. I do not think, this person is a mad person going to his banker asking them to block any transaction relating to his debit card.
Once gain, natoa pole kwa mwenzetu huyu kwa usumbufu wote huu alioupata.
Thanks