Ujue Mti chonganishi

Unapanda, ukiwa mche, chimba shimo refu, mche uwe ndani ya shimo mizizi itachukua himaya yake kama kawaida, itasambaa chini, itajitutumua lkn itakuwa level bila madhara.
Mmh...! okay
 
Huu ni uongo mtupu, mjomba wangu ameipanda na sasa wanazeeka bila tatizo
 
Huu ni uongo mtupu, mjomba wangu ameipanda na sasa wanazeeka bila tatizo
Kumbuka hata ugonjwa unapoingia mahali si wote wataupata kuna wengine watanusurika
 
Mkuu mshana Jr..VIP kuhusiana na huu kama una taarifa zake
 

Attachments

  • PHOTO_20190922_134458.jpg
    215.9 KB · Views: 37
  • PHOTO_20190922_134402.jpg
    247.4 KB · Views: 36
  • PHOTO_20190922_134449.jpg
    177.9 KB · Views: 38
Tanzania Forestry Research Institute, walithibitisha kuwa huo mti hauna madhara yoyote, bali ni imani tu za watu. Mti una faida nyingi sana huo.
 
Nina mwezi sasa korodani zinauma kweli. nafikiri itakuwa huu mti, naukata kesho. Shxzx type
 
Tanzania Forestry Research Institute, walithibitisha kuwa huo mti hauna madhara yoyote, bali ni imani tu za watu. Mti una faida nyingi sana huo.
Hao ni watu wa mazingira... Mambo ya kiroho watayajuaje?
 
Mkuu ulikata mti wako kimakosa. Sio huo unaozungumziwa. Kwanza huo mti matawi yake hayaoti kwa interval. Pili una matunda madogodogo yanayoliwa na binadamu. Hauitwi panga uzazi bali muharadali. Ingekuta leo hii una kivuli cha uhakika.

Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…