Kinga ni bora kuliko kutibu, fuatilia huu mjadala toka mwanzo kuna kitu cha kujifunzaHuu mti nmeuontesha lakini zaidi ya watu wawili wananiambia huumti ukiotesha una mikosi, yani hapo nyumbani itakua ni mikosi na ugomvi tuu.
Anaeujue hii habari ya huu mti anieleweshe
Poa mkuuKinga ni bora kuliko kutibu, fuatilia huu mjadala toka mwanzo kuna kitu cha kujifunza
Inaezekana maisha mazuri kiuchumi kwa nnje lakini maelewano ndani hamnasi kweli najua watu ambao wanao na wana maisha mazuri tu
Vipi hapo kwa dada yako maelewano yapo au kila kukicha maugomvihata mm nasikia kuwa Mti huu ukiupanda lazima baba ww familiya afe. sins uhakika kwa Dada IPO kama 10 hivi mazingira yanapendeza sana. na hakuna lolote baya lililotokea. nitafatilia.
ingawa kuna familiya hii miti IPO na.mwenye nyumba alikufa sasa sina uhakika kama ni huu mti
Duh! Pole sankumbe huu mti ndo ulimuua mshua aisee tuliupanda home mzee aka fariki bdae kidogo mama akafata
Na kama upo karibu na nyumba lakin hyo nyumba haikai mtu?Kama iko mbali na makazi sio shida kivile unaweza tu ukaiacha
Wako vizuri kabisa familiya ya kutamani. Wanasema mzizi ukiingia ndani ndo mizengwe inaanzaVipi hapo kwa dada yako maelewano yapo au kila kukicha maugomvi
Mbali na maswala ya kiimani, mimi ningependa kujuzwa ni mti gani ambao ni mzuri sana kwa kivuli na ni rafiki kupandwa karibu na nyumba bila kuleta madhara, haswa ya mizizi kusambaa hadi kwenye msingi wa nyumba?.Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.
Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.
Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.
Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
Mshanajr huu ni tofauti na unaouzungumzia. Huu ni jamii ya ile iliyopandwa gerezani kituo cha mwendo kasi.Ni huo mkuu niundoshe ?View attachment 607745View attachment 607746
Mmh naona kama umefanana... Nakushauri ukitaka kupanda miti ya kivuli panda miti ya matunda haina shida kabisaKaka mshana jr.
Ebu angalia huu ndio mti chonhanishi???
Nataka niutekeketeze soon kama ndio wenyewe.View attachment 618572