imali
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 473
- 432
Utajua mwenyewe kama ni mada au sio mada.Sio mada yetu
Utajua mwenyewe kama ni mada au sio mada.Sio mada yetu
Zote.Oho unataka hoja unataka za kielim untaka kumjua kuwa ni murtadin
Kwa mashindano ya mwaka jana azam tv walirusha live sijajua ya mwaka huu itakuwajeMtakuwa live tv gani?
Ameshawasili salama mkuu, na kuna mtoto kamsomea qur an unaambiwa hadi sheikh sudeys alienda kumbusu na kumwambia iko siku nitasali nyuma yako kwenye msikiti wa makkha,Tunamwombea Sheikh. Abdulrahaman Al-Sudeis aweze kusafiri salama kutoka Makkah hadi Dar es salaam ili tuweze kujumuika naye katika mashindano hayo. Amiin
KARIBU TANZANIA SHEIKH. AL -SUDEIS; TUNAKUSUBIRI KWA SHAUKU SANA!
Samahani kwani mwanamume muislam amekatazwa kumuoa mwanamke mkristo bila mwanamke kubadili dini?Tufungue darsa la
La fiqh
Ni muongozo wa wanaoiamini.Qur-an ni muongozo kwa walimwengu wote. Naomba unipm ndugu mwema ili nikupe special treat siku ya Mashindano mana unaweza kuja ukakuta uwanja ushajaa. WOTE MNAKARIBISHWA
Kwani anaoa dini au anaoa mwanamke ili am-jigijigi?Samahani kwani mwanamume muislam amekatazwa kumuoa mwanamke mkristo bila mwanamke kubadili dini?
Umeaminishwa kwamba Kassim Majaliwa sio Muislamu?Alhikma wanachekesha sana wanamkalibisha mtu wasie mjua kama mwislaama au familia yake wote wakristo na yeye pia alafu et ndie mgeni rasimi na kumkutanisha na sheikhs mkubwa duniani inaniuma sana
Mkuu unanifurahisha sana, mbona Kassim huwa tunaswali nae hapa mjini Daslam!!Unamjua. Au unajua jina
Point, manake kwenye tukio lazima kuwe na mfikishaji Ujumbe kwa walengwa, sijui wametumia kigezo gani kumualika mtu ambaye hatoleta impact yoyoteSasa Masheikh huyu PM Mnanwalika kama Mgeni Rasmi atatoa nasaha gani za Dini? Kigezo gani mlichokitumia mpaka mkaona yeye ndo anaye fit Ugeni rasmi
Siku yakutokwa na roho utaujua ukweliuislam ni dini ya hovyo sana. Nashukuru Mungu najua haishi kwenye uislam,pamoja ukristo nao ubishoo mwingi but ....
Mungu anijaalie SIHA/AFYA njema...kuifikia siku hiyo...Baarakallaah.Taasisi ya Alhikma Foundation chini ya usimamizi wa sheykh Nurdin Kishki inawaletea mashindano makubwa zaidi ya kuhifadhi Qur-an Afrika, mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na mgeni maalum katika mashindano ya 18 mwaka huu ni Imamu Mkuu wa Makkah na Madina, Sheykh Abdulrahman Sudeys siku ya tarehe 11 June 2017,Uwanja mkubwa wa Taifa.HAKUNA KIINGILIO. NYOTE MNAKARIBISHWA
Tupe tafsiri kwanza ya neno Kafiri...Makafiri tunaruhusiwa?
Hata wewe pia unayo kwann usiombe matatizo yakaisha mpaka uwatake watu waimani nyingine au umwaamini Mungu wako???Muombee na Amani kwa mungu wenu,Kibiti kusini mwa nchi,na nchi yote kwa ujumla msiishie kukariri tu na kutumia uwanja wataifa( wa watanzania) mka kung'uta miguu mkaenda.
Wakati ndg zetu wanauwawa na magaidi kibiti na vitongoji vyake.
Kama kuna mgeni maalumu basi na dua maalumu iwepo kuiombea kibiti,magaidi washindwe na wakakamae(maana wakinyong'onyea huenda wakapata nguvu)
Kibiti kama kuna magaidi wa kiislamu wakemewe hali kadhalika wa kikristo ,waache kudhurumu nafsi za maskini wenzetu/wenzao
Siku utakayotolewa Roho ndo utajua kipi kilikuwa pumba na mchele ulikuwa wapi subiri tu!