Kikwete kwanza otoe mashekhe wetu maa busu mwaka wa nne 4 kesi haijasomwa ingekuwa wanawe Ridh na Miraji ange fanya hivo aache sura mbiliMgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, mgeni maalumu ni imamu mkuu wa Makkah na Madina sheykh Sudeys na wageni waalikwa ni maraisi wawili wastaafu, Alhaji mzee Mwinyi ambaye pia ni mlezi wa Taasisi ya Alhikma na Mh. Dr. Jakaya Kikwete, raisi mstaafu wa awamu ya nne... Karibuni sana
Next time mmlete sheikh mishary rashid al-afasee wa Kuwait..insha-AllahImebaki siku 1 tu.. Tusisahau kuwahi mapema sana asubuhi uwanjani. Kuna uwezekano mkubwa uwanja kufungwa mapema sana utakapoanza kujaa
Preach!Muombee na Amani kwa mungu wenu,Kibiti kusini mwa nchi,na nchi yote kwa ujumla msiishie kukariri tu na kutumia uwanja wataifa( wa watanzania) mka kung'uta miguu mkaenda.
Wakati ndg zetu wanauwawa na magaidi kibiti na vitongoji vyake.
Kama kuna mgeni maalumu basi na dua maalumu iwepo kuiombea kibiti,magaidi washindwe na wakakamae(maana wakinyong'onyea huenda wakapata nguvu😉)
Kibiti kama kuna magaidi wa kiislamu wakemewe hali kadhalika wa kikristo ,waache kudhurumu nafsi za maskini wenzetu/wenzao
Kina faida sana ndugu yangu! OMBA AMANI!Jamani tujiulize na kutafakari kwa kina....kitu kama hiki kina faida gani hapa kwetu? Inatusaidia nini katika kuleta maendeleo ya nchi yetu? Serikali piga marufuku hii kitu, hatuitaji.....pelekeni Zanzibar tafadhali.
Usibishane nae.... mwombee!
Dini ya uislam haikatazi hata kuishi na mtu japo asiye na dini kwa chuki, ni wajibu wetu wote kuwatendea wema viumbe wote ili waone wema wa uislam. Na hivyo tunawaalika watu wote wa dini zote kuhudhuria siku ya Jumapili in shaa AllahAlhikma wanachekesha sana wanamkalibisha mtu wasie mjua kama mwislaama au familia yake wote wakristo na yeye pia alafu et ndie mgeni rasimi na kumkutanisha na sheikhs mkubwa duniani inaniuma sana
Mwenye Enzi Mungu atuongoze milele yote!Dini ya uislam haikatazi hata kuishi na mtu japo asiye na dini kwa chuki, ni wajibu wetu wote kuwatendea wema viumbe wote ili waone wema wa uislam. Na hivyo tunawaalika watu wote wa dini zote kuhudhuria siku ya Jumapili in shaa Allah
Pia mzee Yusuph,muhogo mchungu na ridhiwani kikwete in Shaa Allah watakuwepo....Keshaona bongo move hailipi sio anachenge gia vipi Dimond ?
AamyinMwenye Enzi Mungu atuongoze milele yote!