yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,917
- 4,170
Mashaallah. Natamani ningeweza kuhudhuria
Mtakuwa live tv gani?Uislamu haumlazimishi mtu kuingia ilihali mwenyewe hajaridhia, hakuna kulazimishana ktk dini... Njoo katika mashindano ila suala la kuslimu ama kubaki na dini yako ni maamuzi yako binafsi wala halazimishwi na wala hutolazimishwa japo kwa maneno tu.... karibu Taifa
Ndio mkuuHivi kuhifadhi si ndio kukariri ama?
Hivi Kikwete si Alhaji jamani?Ukiondoa Waziri Mkuu na Sheykh Dr. AbdulRahman Sudeys pia msisahau kuwa tutakuwa na wageni waalikwa maraisi wastaafu Alhaji Ally Hassan Mwinyi na Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete. Watu wote na dini zote wanakaribishwa, Hata wasio na dini pia wanakaribishwa.
Asante kwa ushauri, imamu dr. Abdulrahman sudeys atakuwa na session maalum imepangwa siku hiyo ya kuliombea Taifa zima na watu wake. Karibu sanaMuombee na Amani kwa mungu wenu,Kibiti kusini mwa nchi,na nchi yote kwa ujumla msiishie kukariri tu na kutumia uwanja wataifa( wa watanzania) mka kung'uta miguu mkaenda.
Wakati ndg zetu wanauwawa na magaidi kibiti na vitongoji vyake.
Kama kuna mgeni maalumu basi na dua maalumu iwepo kuiombea kibiti,magaidi washindwe na wakakamae(maana wakinyong'onyea huenda wakapata nguvu😉)
Tunaomba hilo tukio la mashindano lionyeshwe live ili hata wa mikoani washuhudie tukio hilo adhimuWashiriki toka nje ya nchi walishaanza kuwasili tangia juzi ,alhamdulillah...
Kwani kuna ubaya wowote???Alhikma wanachekesha sana wanamkalibisha mtu wasie mjua kama mwislaama au familia yake wote wakristo na yeye pia alafu et ndie mgeni rasimi na kumkutanisha na sheikhs mkubwa duniani inaniuma sana
Hatuna ubaguzi,we njoo.atakujua nani.Makafiri tunaruhusiwa?
Kama kawa huwenda ikawa chanzo cha kuiona haki mnakaribishwaMakafiri tunaruhusiwa?
Kwanini unasema ni Murtad ? Unazo hoja za kielimuUpo sana yule ni murtadi hafai hata kupewa maji bora nguruwe kuliko murtadi hukum yake ni moja tu kama wewe ni mwislaam unaijua