Abdillahfaaris
Member
- Apr 4, 2017
- 84
- 58
Tazama TV imani utaliyona liveTunaomba hilo tukio la mashindano lionyeshwe live ili hata wa mikoani washuhudie tukio hilo adhimu
Tazama TV imani utaliyona liveTunaomba hilo tukio la mashindano lionyeshwe live ili hata wa mikoani washuhudie tukio hilo adhimu
Ndio jibu nililo TARAJIA kutoka kwako..Kama hujui tafsiri ya neno kafiri kwenye uislam bila shaka na wewe ni kafiri mwenzangu
Haya twende tukaudhurie
Naam kwa sababu kusema mtu kuwa ni murtad ni jambo zito sanaOho unataka hoja unataka za kielim untaka kumjua kuwa ni murtadin
Hapa ndipo walipo bugi wasiangalie kujikaribisha kwa Serikali bali inabidi waangalie huyo mgeni atatoa nasaha ili iwe chachu/hamasa kwa watu wengine kuhifadhi Quran kutokana na nasaha zake sasa huyu PM dah ataweza kweli......!Point, manake kwenye tukio lazima kuwe na mfikishaji Ujumbe kwa walengwa, sijui wametumia kigezo gani kumualika mtu ambaye hatoleta impact yoyote
huyo mtoto ni wa wapi?anaitwa nani?je yupo katika mashindano nikamuangaloe na kumsikiliza kama kweli unayosema?Ameshawasili salama mkuu, na kuna mtoto kamsomea qur an unaambiwa hadi sheikh sudeys alienda kumbusu na kumwambia iko siku nitasali nyuma yako kwenye msikiti wa makkha,View attachment 521548 View attachment 521548
Na mimi kila ninaemuuliza mtu jina lake hawalijui nasoma vizuri kwa kwelihuyo mtoto ni wa wapi?anaitwa nani?je yupo katika mashindano nikamuangaloe na kumsikiliza kama kweli unayosema?
Nimependa majibu yako, laiti kama na watu wengine wangekuwa wanaelewa haya unayoyasema ingekuwa vizuri sana. Viongozi wa dini endeleeni kutoa elimu kwa wengine ili waelewe kuwa mtu halazimishwi kuingia kwenye imani nyingine ni uamuzi wake. Na pia kama imani yako inatofuatiana na mwingine isiwe ugomvi, kila mtu aishi kwa amani na mtu wa imani nyingine. Mbona tukifanya hivyo dunia itakuwa ni mahali salama tu.Uislamu haumlazimishi mtu kuingia ilihali mwenyewe hajaridhia, hakuna kulazimishana ktk dini... Njoo katika mashindano ila suala la kuslimu ama kubaki na dini yako ni maamuzi yako binafsi wala halazimishwi na wala hutolazimishwa japo kwa maneno tu.... karibu Taifa
Aamyin... AamyinTunamwombea Sheikh. Abdulrahaman Al-Sudeis aweze kusafiri salama kutoka Makkah hadi Dar es salaam ili tuweze kujumuika naye katika mashindano hayo. Amiin
KARIBU TANZANIA SHEIKH. AL -SUDEIS; TUNAKUSUBIRI KWA SHAUKU SANA!
I see yaani ustaadh unajibu maswali kiungwana sana..nimekubali wewe ni mtu makini
Kituo gani cha TV kitaonyesha au itakuwa live streaming youtube?Aamyin... Aamyin
MashaallahMgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, mgeni maalumu ni imamu mkuu wa Makkah na Madina sheykh Sudeys na wageni waalikwa ni maraisi wawili wastaafu, Alhaji mzee Mwinyi ambaye pia ni mlezi wa Taasisi ya Alhikma na Mh. Dr. Jakaya Kikwete, raisi mstaafu wa awamu ya nne... Karibuni sana
Na wale aliokuwa anawachinja ilikuwaje?Hata hao magaidi wanapindisha aya na khadithi kwa maslahi yao. Na wewe kama unapenda kupindisha endelea tu. Ni lazima tuishi katika hii dunia kwa kuheshimiana na kwa amani. Tumekatazwa kuitana majina yenye kuudhi na mwishowake ni kukosa amani. Hata Mtume S.A.W. allishi na wasio kuwa waislamu kwa amani.