Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

Nipo nimepumzika nasikiliza kipindi cha Jahazi Clouds FM ambapo kama kawaida Ephraem Kibonde akiwa na Partiner wake Gadna Habash wanasherehesha.

Katika Habari waliyoisoma wamekataa kata kata kuwa Mpendazoe kuwa ni kigogo wa CCM. Wamewataja vigogo kuwa ni Jakaya, Mkapa, Msekwa, Kingunge na wengine wenye rank zinazofanana na za hao.

Walichonishangaza na kunisononesha ni kuwa Mpendazoe ametajwa na Kibonde kuwa hana hadhi ya kuwa Kigogo ndani ya CCM badala yake ana hadhi ya TOOTH PICK na katu asijidanganye kuwa ni KIGOGO.

Pia amemponda kuwa asijifanye kigogo kwa kuhama chama kwakuwa hata yeye alihama kutoka CTN kwenda Clouds (kama concept ya kigogo ni kuhama kutoka point moja kwenda nyingine) basi na yeye ni KIGOGO.

Mwenyekiti wa CCJ ameibiwa nyaraka zake Kariakoo leo na katika nyaraka hizo yalikuwepo majina ya wanachama wao. Kibonde amemkejeli sana na pamoja na mambo mengine amekikejeli CCJ kuwa eti " chama gani wanachama wanajaa kwenye handbag(nadhani anamaanisha wanachama ni wachache) na akatoa mfano CCM ambacho kina wanachama kuanzia chipukizi, shule za sekondari hadi vyuo vikuu.

Great thinkers mnaonaje hili? Sio kama ni mpango umeandaliwa na wahuni fulani wa kisiasa kufifisha vuguvugu hili la mabadiliko linaloendelea sasa kwa kuwatumia wanahabari pamoja na vyombo vya habari?

Mzi

Mh.
 
Kama hawa wanataka Ubunge au uongozi sio kusema Mtu ambaye ametumia uhuru wake kikatiba kuhama na kusma kuwa ana makosa, Ila hawa jamaa watu ni watu ambao wanapaswa kujua na kuona kuwa kila mtu ana uhuru wake kila wakati
 
agreed..............niliuliza makusudi hilo swali...........kwani nilifahamu hilo swala liliandikwa siku gani.............Wewe kama Nyaturu.............ukiisoma hiyo habari.............je waweza kui-categorize kwa uelewa wako kuwa ni "Important thing that happened on a fool day?"..................

Asante kwa kutuwekea source................

Ogah,

Asante sana.

Naonaje?

Jibu langu ni hili:

Those are manufactured quotes.

Mwandishi huyo, pamoja na mhariri wake, walichapisha article hiyo, on April Fool's Day, to fuel speculation on the political heavyweights whom some people think will leave CCM - or whom they want to see leave CCM.

It's crystal-clear who these people are, at least some of them, who are supposed to have been quoted in the article.

Nani hajui waziri aliyegombea uraisi anayetoka sehemu za kusini? It's an open secret.

But he will never leave CCM since he still has presidential ambitions and he knows the only way he can enter Ikulu is to remain a CCM loyalist. Ametajwa mara nyingi as one of the leading presidential candidates in 2015. Some people may also be wondering if he is one of the leading academics in the country - in a non-political field.

And he knows that CCJ will not propel him into Ikulu. So he's going to remain securely anchored in CCM. CCM is a behemoth. It has no counterweight, at least not now, and CCJ cannot provide a credible counter-force in the general election this year.

Mwingine, ambaye inasemekana atajiunga na CCJ, ambaye pia ni "closely associated with the Richmond probe committee...," as the paper has identified him, is quoted to have said: "I am a professional with distinguished academic qualifications...."

Nani hamtambui mbunge huyo? Ametajwa mara nyingi, pamoja na gazeti la "This Day," la hapa Tanzania, kwamba ni mmoja wa vigogo katika CCM ambao ni driving force behind the establishment of CCJ.

Watanzania wengi walisoma gazeti la Express na article hiyo on April Fool's Day, the day it was published.

"Full of sound and fury signifying nothing," to quote Shakespeare.

But may be, signifying something, in this case, even on April Fool's Day?

Probably the answer is yes.

And what's the answer?

To fuel speculation on who is next, after Mpendazoe, to leave CCM.

Are the people, to whom oblique reference has been made in the article, really going to leave CCM?

That's sheer speculation, and a lot of wishful thinking, especially just a few months before the general election, which will go on as planned, in October, come what may, with Kikwete at the helm.

How many political heavyweights in CCM are going to risk that by joining CCJ?

Keep on speculating, eight days now, after April Fool's Day.
 
Huyu kijana namwangalia kwa mbali tu!!
anatumika vibaya!! ethics haziruhusu, yy jeuri ya kuwakashifu watu anaitoa wapi?

Kweli kabisa! Alimchamba sana Mr. II wakati wa lile sakata lake vs Ruge. " Ningekuwa raisi mimi ningemtupa huyu Mr. II Segerea nimsahau huko mpaka birthday yangu! Unataka kucheza na raisi wa nchi wewe?!" etc etc Maskini Mr. II wala hakusema chochote kuhusu raisi. Gardnar that day was mysteriously absent, though.
 
Clous FM=Original comedy, wameishiwa.

Its very sad hii yote ni sababu ya hawa watu kutokusomea hizo fani, yaani unakuwa mtangazaji tu kwa kua ulikua DJ ama kama alivyosema mwenyewe Kibonde alikua anauza sura CTN elimu ya fani hakuna. Tungetegemea Clouds kama popular radio isimame upande wa wengi katika kuchambua upuuzi wa system sio kujipendekeza kwa viongozi kwa sababu binafsi. Ephraim tunamjua na tukitaka kumchamba pia tunaweza sana, si amini kwamba Ephraim na mtu yoyote pale clouds put them together wanaweza wakawa na akili za shule, experience ama hekima ya kisiasa hata nusu ya ile ya mpendazoe. Tatizo ni lile lile Joseph kusaga anahitaji kuweka proper management ya chombo hiki ambacho labda kilianza kama utani lakini sasa ni chombo kikubwa kinahitaji kuwa properly managed kuweza ku play a role kwenye jamii. Hii sio tena U DJ, Sasa Ephraim atajilinganisha na Mr II? He is nothing compare to deiwaka hampati kwa chochote lakini wasiachiwe kutumia mawimbi ya mawasiliano kuchafua watu, according to his cheap mind anamuona Jamhuri Makamba kwa kumfanya awe mshereheshaji siku ile kwenye event isiyokua na kichwa wala miguu very cheap function kuwa ni mungu, lazima Deiwaka awa shitaki na hili sio jambo la Ruge kulivalia njuga, after all ameshasema mwenyewe kwamba ali kua contracted na hao watu wanaolaumiwa na Mr II sasa amwachie Mr II apambane nao, yeye anyamaze
 
Sikubaliani na hoja ya semenya, kwani mpendazoe anatofauti gani na wakina kingunge? labda umri na akili timamu. kwanza kwa nini mumlaumu kwa kuitwa kigogo kwa sababu walio m rank katika uzito huo sio yeye ni jamii, na ni kweli Mpendazoe ni kigogo maana amewakilsha matarajia ya watanzania mara kumi zaidi ha baadhi ya hao mnaowataja, hivi mtamlinganisha mpendazoe na kingunge anayeibia halmashauri kwa kupewa mikataba ya kukusanya kodi zinazoishia tumboni kwake? au mkapa aliyejipa kiwira na kuwauzia makaburu benki yetu ya biashara kwa bei ya kutupa, na kujigawia nyumba za NHC zilizojengwa na wakina Nyerere? be sincere in your comments kwa kumuogopa mungu sio kushabikia
 
Wapambanaji wanatakiwa kuwa kitu kimoja. Nafikiri adui namba moja wa mtanzania ni CCM na wapambe wao. Sasa nashangaa kuwa wanapambanaji wanaanza kuponda upinzani, kwa namna yoyote tujue our common enemy, vinginevyo tutaanza hata kuwatilia mashaka hata Mzee Mwanakijiji.
 
Ogah,

How many political heavyweights in CCM are going to risk that by joining CCJ?

Keep on speculating, eight days now, after April Fool's Day.

It is a shame kuona kwamba wapo wasioelewa ama kukubali kwamba kinachohitajika sasa ni some sort of a 'liberation struggle' ili kuweza kuikomboa nchi na kuirudisha nchi katika mstari. Wengine wasomi na usomi wao lakini wako blinded na kuridhika kwao na hali halisi kiasi kwamba hawatambui kwamba nchi inakwenda kubaya. Wao wala hawajali kwamba asilimia 80 ya Watanzania wanahitaji 'kukombolewa' kutoka kwenye lindi la umaskini uliosababishwa na wachache wenye tamaa ya kujilimbikizia mali kwa mgongo wa wananchi - kwa kuwapoka wananchi haki yao ya kutumia ipasavyo raslimali za nchi yao katika maendeleo ya walio wengi.
 
Jamani wanajamii! Inawezekanaje katika hali ya kawaida huyu Mpendazoe aachie mamilioni ya kuvunjwa Bunge hivihivi wakati imebaki miezi kama mi5 tu? Hapa nina wasiwasi katumwa huyu!
 
It is a shame kuona kwamba wapo wasioelewa ama kukubali kwamba kinachohitajika sasa ni some sort of a 'liberation struggle' ili kuweza kuikomboa nchi na kuirudisha nchi katika mstari. Wengine wasomi na usomi wao lakini wako blinded na kuridhika kwao na hali halisi kiasi kwamba hawatambui kwamba nchi inakwenda kubaya. Wao wala hawajali kwamba asilimia 80 ya Watanzania wanahitaji 'kukombolewa' kutoka kwenye lindi la umaskini uliosababishwa na wachache wenye tamaa ya kujilimbikizia mali kwa mgongo wa wananchi - kwa kuwapoka wananchi haki yao ya kutumia ipasavyo raslimali za nchi yao katika maendeleo ya walio wengi.

You have quoted me out of context. That's not the main thrust of my response. Read again what I wrote.

And I am not in any way suggesting it's Ogah who is speculating as to whether or not some CCM heavyweights are going to leave their party.
 
As of now who is really fooled is remined to be seen!
Habari hiyo kutolewa on april fools day inaweza kuwa ni mojawapo ya mikakati,labda kuwachangaya ccm,pia naona bado wako kwenye kupima upepo coz haijalishi habari hiyo kutoka on fools day,hizo ni rumours zilizokuwepo befero,so ni michezo ya kisiasa inaendelea.
Mwelekeo si mbaya as of now,the only way cjj wataloose ni kama wataonyesha dalili za maslahi binafsi coz hayo ndiyo yametufikisha hapa tulipo.....However the case,eventually one part is going to be fooled,hopefully that part is not wananchi.
 
Hii ni habari njema sana kwa watanzania wote wapenda maendeleo. Kinachotakiwa ni kupata usajili wa kudumu na pengine kwa sasa heavy weight leaders wanaogopa kuondoka wakihofia kupoteza mafao yao kama ambavyo tumesikia kwa Mpendazoe, tusibiri bunge la Jamhuri ya Muuungano likivunjwa rasmi we will witness a mass movements of heavy weight leaders from CCM to CCJ.
 
Ogah,

......................"Full of sound and fury signifying nothing," to quote Shakespeare.

But may signifying something, in this case, even on April Fool's Day?

Probably the answer is yes.

And what's the answer?

To fuel speculation on who is next, after Mpendazoe, to leave CCM.

Are the people, to whom oblique reference has been made in the article, really going to leave CCM?

That's sheer speculation, and a lot of wishful thinking, especially just a few months before the general election, which will go on as planned, in October, come what may, with Kikwete at the helm.

How many political heavyweights in CCM are going to risk that by joining CCJ?

Keep on speculating, eight days now, after April Fool's Day.

Thank you very much and your point is noted.................nashukuru pia kwa kumjibu mjumbe ambaye sina hakika kama alielewa ulichokiandika ukujibu post yangu.........

in my opinion the KEY statement is as quoted above..................well.........probable "a fool/smart heavyweight"................and let the "speculations" continue...........
 
Nadhani alikuwa anasafisha njia ya tenda aliyopewa na Makamaba kuwa Mc pale mlimani city mbele ya JK.Kwanza kisawahili chenyewe kibovubovu- na utule mwana- fanya kazi yako na sio kukashifu watu,ya Mpendazoe muachie mwenyewe anwe shugulika na yako??????
 
Mpaka sasa hivi, naamini CCJ walichopatia ni jina la chama tu... wala hakuna zaidi ya hapo!!! I will remain to be corrected now and 4rever!

Kasheshe, salute!
Mie naamini, kama wameanza kwa kupatia jina la chama basi elewa kwamba kuna zaidi ya hapo.....

Pia kama umetia tick kwenye jina jiunge basi ili upate kusaidia kuthibitisha usahihi wa jina na yale ya ziada. Tanzania ya sasa inahitaji kujengwa na wenye moyo!
 
nchi yenye vyombo vya habari kaa uyoga tusitegemee uandishi wa habari wenye kueleweka

watu wapo pale kufurahisha zaidi ya kuelimisha
 
sisi watanzania ni wagumu sana; yaani tulitegemea kila mtu awaze na kufanya tutakavyo. yeye kibonde na prodyuza wake wameona hayo waliyosema ni sahihi, na sisi basi tufungue vituo vingi vya redio na kuonyesha u-kigogo au usahihi wa fred!!!

around the world redio type clouds zipo na hutumika sana wakati kama huu wa uchaguzi... so lets not get too much into it, tuangalie na sisi redio mbadala wa hiyo ya kibonde
 
Back
Top Bottom