muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
HIvi kwanini CCJ inawaumiza kichwa sana? wapeni usajili wa kudumu muone kama ni a hoax!! gademu!
Akina mzee Mwanakijiji ndio vigogo wa CCJ, hapo changa la macho tupu.
HIvi kwanini CCJ inawaumiza kichwa sana? wapeni usajili wa kudumu muone kama ni a hoax!! gademu!
Better enlighten us. Utueleze unavyomfahamu Mwanakijiji ili tuweze kuamini unachosema. Sijui kama kuna mahali ambapo Mwanakijiji amejitambulisha/kutambulishwa kwamba yeye ni kigogo wa CCJ. Uwewesekaji wa aina hii una lake jambo!Akina mzee Mwanakijiji ndio vigogo wa CCJ, hapo changa la macho tupu.
HIKI CHAMA KIMEKUJA KUUA "CHADEMA".....!!!! Watu walikuwa Busy na Operation Sangara ya kuwaamsha watu, Matokeo yake wanaletewa Mwanasesere...!!! Even the so called Great Thinker wanakuwa "Happy" Kusambaratishwa...!!!
Hata Kama tuna Uhuru wa Kukuza Demokrasia, kuwa na Vyama 19 vilivyosajiliwa ni Upotezaji wa Rasilimali na Kuwaondoa wananchi ktk Ajenda Maalum
Akina mzee Mwanakijiji ndio vigogo wa CCJ, hapo changa la macho tupu.
this is exactly what we need... mtu kuleta facts!!! kama sikosei jamaa wana website you can get most of what you needNaombeni contacts za hao kina Kibonde nije kuzungumzia CCJ!!!! Nadhani wamezoea mteremko!!!
nadhani hii huwa haikubaliki --- unepoimplicate mtu uwe na uhakika la sivyo kuna taratibu zake JF endapo mtu ataamua kuripoti hii post
hahahah.. kuna analogy ya aina fulani kati ya CCJ na Mwanakijiji.. wote wawili ni hoaxes.. watu wadogo, hawana mpango, wanashukiwa kuwa kuna wakubwa nyuma yake, na kuwa ni irrelevant.. lakini wanasumbua watu wazima kweli... wakuu wanafikiria CCJ wafanye nayo nini na wengine wanajiuliza Mwanakijiji wafanye naye nini.. so sometimes it comes with the territory. Ila ukiona watu wazima wanasumbuliwa na vitu vidogo... basi ujue tuna tatizo kubwa zaidi katika uongozi wetu kuliko tunavyofikiria.
Mwenyekiti na katibu wa CCJ, leo walikuwa wageni wa WAPO redio ktk kipindi cha meza ya busara, nilicho kipata kutoka kwao, zaidi ya kunipotezea muda wa kuwasikiliza, ni kubaini udhaifu mkubwa wa kujieleza na kujibu maswali ya wasikilizaji na mtangazaji,
Baadhi maswali yalikuwa hivi;
-Ni kwa nini umeanzisha hiki chama? akashindwa kujibu,
-Vyama viko 18 umeona dosari gani ktk vyama hivyo? akajibu hakuna dosari ila CCM inafanya vizuri na vyama vingine siwezi kuvisemea
-mmeanzisha ccj mko wangapi, jibu tuko wawili tu,
-ofisi zenu ziko wapi, akajibu ni siri yetu
nk
Kutokana na majibu hayo na udhaifu wa kujieleza, msikilizaji mmoja amesema kuwa hao wametumwa kujitokeza kwa niaba ya wengine ndio maana hata kujieleza wanashindwa, pia vyama vyote majina yao ni ya kiingeleza ispokuwa CCM na CCJ, alipoulizwa kuna siri gani ktk hili hakuweza kutoa jibu la moja kwa moja.
Ktk haya yote CCJ tunaoinaje sisi?
nakubaliana na wewe kabisa mkuu,sijawahi kuona viongozi ambao hawajiamini duniani kama viongozi wetu watanzania.hawajiamini kwa vile wengi wao wamepata nafasi kutokana na urafiki na sio uwezo wao wa kutenda kazi za jamii,matokeo yake ndio ufisadi kila kona kwa vile wanajua baada ajira waliopewa kwa urafiki maisha yao mtaani yako katika utata kama watatakiwa kuishi kama mtanzania wa kawaida ambae ana kula kwa jasho lake.hahahah.. kuna analogy ya aina fulani kati ya CCJ na Mwanakijiji.. wote wawili ni hoaxes.. watu wadogo, hawana mpango, wanashukiwa kuwa kuna wakubwa nyuma yake, na kuwa ni irrelevant.. lakini wanasumbua watu wazima kweli... wakuu wanafikiria CCJ wafanye nayo nini na wengine wanajiuliza Mwanakijiji wafanye naye nini.. so sometimes it comes with the territory. Ila ukiona watu wazima wanasumbuliwa na vitu vidogo... basi ujue tuna tatizo kubwa zaidi katika uongozi wetu kuliko tunavyofikiria.
Naombeni contacts za hao kina Kibonde .....
Tumia njia uliyoweza kuwasiliana na Powerbreakfast ya Clouds FM.
hahahah.. kuna analogy ya aina fulani kati ya CCJ na Mwanakijiji.. wote wawili ni hoaxes.. watu wadogo, hawana mpango, wanashukiwa kuwa kuna wakubwa nyuma yake, na kuwa ni irrelevant.. lakini wanasumbua watu wazima kweli... wakuu wanafikiria CCJ wafanye nayo nini na wengine wanajiuliza Mwanakijiji wafanye naye nini.. so sometimes it comes with the territory. Ila ukiona watu wazima wanasumbuliwa na vitu vidogo... basi ujue tuna tatizo kubwa zaidi katika uongozi wetu kuliko tunavyofikiria.
nadhani hii huwa haikubaliki --- unepoimplicate mtu uwe na uhakika la sivyo kuna taratibu zake JF endapo mtu ataamua kuripoti hii post