Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Acha kulialia bana, fanya kazi, wewe ulitaka upewe kiwanja msasani? Au Kinana akupe nyumba? We unafikiri kuwa mtanzania ndio unahaki upewe vya bure? Vijana wengi tu wamefanikiwa na hawakusubiri vya bure.
Ndo laana mliyo nayo ccm, hata akibaka mkeo kwa kuwa ni mwanachama mwenzio utamtetea kwa maslahi ya chama,dadadeki