Ujinga na Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,227
26,048
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
 
Tukianza msomali Kibaha ajiandae kukosa solo mbwa Yule maana anatubia balaa!!anakupa Pesa lakini bado unakata na mtaji wako pia!
 
Siku zote ukijiona wewe uko sahihi kila wakati Ujue una shida sehemu ,Kwa kifupi hakuna alikamilika kabisa hata Yule mgonjwa wa afya ya akili huwa anajiona yuko sahihi sana kuliko wengine .Kwa anacho fanya Mama kila mtu ana maoni yake na Usiaminishe watu waamini unacho amini wewe .
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Juzi nasikia serikali ilisafirisha wanyama pori kwenda nje bila kibali cha serikali.!
 
Tz wanamuita demu wa mtungo kupiga tungi na kusahau Matatizo wanasahu kuwa gari bovu alisukumwi kwa kukaa ndani yake.
 
Mkataba wa kusafirisha nyama kwenda huko kutumia bombardier umeishia wapi?

Kwann unataka watanzania wamuamini mama pasipo kuwa na mashaka naye?

Alisema atatoa ripoti ya uchunguzi wa fedha zilizovhotwa BOT mpk leo kimya.
Kwann unataka watanzania wamuamini ktk hili?
 
Siku zote ukijiona wewe uko sahihi kila wakati Ujue una shida sehemu ,Kwa kifupi hakuna alikamilika kabisa hata Yule mgonjwa wa afya ya akili huwa anajiona yuko sahihi sana kuliko wengine .Kwa anacho fanya Mama kila mtu ana maoni yake na Usiaminishe watu waamini unacho amini wewe .
Polee sana! Wasalimie Rwanda
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Tanzania sasa hivi Kuna magenge ya wa wajanja waliojimilikisha kundi la
Nyumbu nyuma yao.

Kwao Hakuna Jambo jema utafanya wakakubaliana nalo.

Kundi la PILI, Ni Genge la omba Omba mitandaoni na lenye matatizo ya AKILI. Hili Genge huwa likikosa agenda mitandaoni huwa linaugua kabisa, the likes of Mdude, Lema, Maria Sarungi na Masese.

Tena hao kina Masese Ni omba Omba wa KUTISHA kabisa mitandaoni
 

Attachments

  • Screenshot_2022-05-23-14-09-07-636_com.twitter.android.png
    Screenshot_2022-05-23-14-09-07-636_com.twitter.android.png
    122.5 KB · Views: 7
Mkataba wa kusafirisha nyama kwenda huko kutumia bombardier umeishia wapi?

Kwann unataka watanzania wamuamini mama pasipo kuwa na mashaka naye?

Alisema atatoa ripoti ya uchunguzi wa fedha zilizovhotwa BOT mpk leo kimya.
Kwann unataka watanzania wamuamini ktk hili?
Hata wafanyabiashara wanaosafirisha nyama kwenda Uarabuni watakwambia huko soko sio la uhakika! kadri muda unavyozidi kwenda wanahitaji zaidi wanyama hai kuliko nyama kama nyama kutokana na sababu za kidini! Unless bidhaa yako iwe na chapa ya ( Halal)
 
Juzi tu Samia na genge lake walitaka kusafirisha wanyama pori wetu wakiwa hai mpaka pale kelele zilipopigwa wakatulia, waziri wa utalii akatangaza kusitisha ule uamuzi.

Watu wakajiuliza kulikoni huyu waziri hakuwa na taarifa kuhusu ule uamuzi?

Leo Samia ndio ameona aje na mbinu ya kusafirisha mbuzi na kondoo ili awachanganye na twiga wetu, halafu ulivyokosa akili unaita wengine wajinga wakati wewe ndie mpumbavu kabisa.
 
Tanzania sasa hivi Kuna magenge ya wa wajanja waliojimilikisha kundi la
Nyumbu nyuma yao.

Kwao Hakuna Jambo jema utafanya wakakubaliana nalo.

Kundi la PILI, Ni Genge la omba Omba mitandaoni na lenye matatizo ya AKILI. Hili Genge huwa likikosa agenda mitandaoni huwa linaugua kabisa, the likes of Mdude, Lema, Maria Sarungi na Masese.

Tena hao kina Masese Ni omba Omba wa KUTISHA kabisa mitandaoni
Mambo ya sirini ya watu hayatuhusu, maisha sio siasa tu, kuna maisha zaidi ya siasa upande wa pili.
 
Juzi tu Samia na genge lake alitaka kusafirisha wanyama pori wakiwa hai mpaka pale kelele zilipopigwa wakatulia.

Ndio sasa ameona aje na mbinu ya kusafirisha mbuzi na kondoo ili awachanganye na twiga wetu, halafu ulivyokosa akili unaita wengine wajinga wakati wewe ndie mpumbavu kabisa.
Polee sana! Kama mzazi wako angekuwa na akili angebadilishana tu na mbuzi maana unaonekana useless

Vibali vya kusafirisha wanyqma pori Tanzania vimeanza kipindi cha Rais gani? unajua vimekuwepo kwa muda gani hapa nchini? Samia ana shida gani na hivyo vibali hadi asafirishe ng'ombe na twiga?
 
Polee sana! Kama mzazi wako angekuwa na akili angebadilishana tu na mbuzi maana unaonekana useless

Vibali vya kusafirisha wanyqma pori Tanzania vimeanza kipindi cha Rais gani? unajua vimekuwepo kwa muda gani hapa nchini? Samia ana shida gani na hivyo vibali hadi asafirishe ng'ombe na twiga?
Hivyo vibali hata kama vilikuwepo kabla hapakuwahi kuwa na huu ujinga unaotokea sasa hivi, maarifa yalitumika, na huyu Samia hana maarifa hayo.

Umewahi kuona zuio la waziri wa utalii alilotoa juzi? kwa ule uamuzi wa lile zuio unadhani waziri wa utalii alihusishwa?

Hii tabia yako ya uchawa kwasababu ya joblessness mnayoiendekeza ndio itaangamiza future ya hili taifa.

Nakuona umeandika upuuzi mwingi sana, unazungumzia waarabu hawali "kibudu" unataka kusema hao wanyama pori wote watakaopelekwa huko wataenda kuliwa?

Kama huna uhakika na jambo usiropoke huku ili tu umtetee mama hata akifanya ujinga, tazama kwanza maslahi ya taifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom