Ujenzi wa nyumba za kuficha paa/contemporary/ hidden roof

Kwenye nyumba za ghorofa kuta zinakabiliana vipi na jua na mvua?
Kuna material yanakuwa kama lami hizi ile belt inayozungushwa kwenye msingi kabla ya kupandisha tofali, unapaswa kupiga hiyo na kubadili kila mwaka kwa mujibu wa wataalamu, wanasema gharama yake ni kama 30,000 kwa square nini sijui.
 
Nyumba hizi zinahitaji mtaalam hasa wa kujenga ,pia finishing urembo inapendezesha sana ,nyumba hizi zinapendeza hasa ikiinuka yaani msingi uwe juu kwa nyumba ya chini ,ila kwa ghorofa zinapendeza sana.

Ila mademu wengi wanapenda nyumba za kuonekana PAA.
 
Uwe unawaambia pia kwamba zinahitaji kemikali maalumu kuunga paa na kuta zisivuje.

Pia uwaeleze kwamba kwa kuwa hazina roof overhang zinahitaji kupakwa rangi maalumu ambazo zitahimili jua na mvua/unyevu kwa kuwa kutazake zina direct contact na jua na mvua tofauti na traditional houses

La mwisho uwaeleze wateja wako kwamba hizo nyumba mara nyingi zinakuwa na extra costs Ili zipendeze yaani makuta kuta,maurembo mengi na finishing ya nguvu.Kiufupi gharama za ufundi ni kubwa zaidi kuliko nyumba za kawaida.

Mwisho wa siku unakuta ule unafuu wa gharama ya paa ume offset kwenye finishing tena ya nje ambapo on average zina gharama kubwa kuliko nyumba za kawaida.

All in all ni nyumba nzuri kama una pesa ila kama pesa ya kuunga bora ujenge traditional houses
Ahsante kwa maelezo mazuri kabisa
 
Nyumba hizi zinahitaji mtaalam hasa wa kujenga ,pia finisha n urembo inapendezesha sana ,nyumba hizi zinapendeza hasa ikiinuka yaani msingi uwe juu kwa nyumba ya chini ,ila kwa ghorofa zinapendeza sana.

Ila mademu wengi wanapenda nyumba za kuonekana PAA.
hii ni kweli ,nimewahi kumuonyesha dada mmoja hivi akasema nyumba gani hata haina paa
 
Nyumba hizi zinahitaji mtaalam hasa wa kujenga ,pia finisha n urembo inapendezesha sana ,nyumba hizi zinapendeza hasa ikiinuka yaani msingi uwe juu kwa nyumba ya chini ,ila kwa ghorofa zinapendeza sana.

Ila mademu wengi wanapenda nyumba za kuonekana PAA.

Unavowaza mademu
 
Wewe na mimi tuko chungu kimoja
Hizi Nyumba nazipenda Sanaaaaa Ila nikisikia huko kuvuja naingiwa nyongo sana
Mimi nimeanza msingi baada ya mwaka ama miaka miwili nikishajichanga changa napandisha boma. Kwa kuwa nimeipenda ya huko mbele sijui mvua na jua,joto,gharama za finishing potelea pote nitaienga hata kwa miaka 10 mana nimeipenda mwenyewe
 
Back
Top Bottom