Bilali baba sauda
Member
- Oct 13, 2020
- 10
- 19
Naomba kuuliza hasa ukiacha urembo unafuu wa maisha ya kujenga uko wapi kwenye roof ya kawaida na zile za hidden?
🤣 🤣🤣🤣🤣tukutane kipindi hichi cha masika, uko ndani lakini unajificha
Je Mtu akijenga na hizi kampuni za ujenzi?
Hiyo balaaJiandae kuzidishiwa sifuri kadhaa kwenye gharama na hivi pesa yetu ina sifuri nyingi ukiongezewa zingine kwa mbele utafurahi na roho yako
Ni hasara ukipata fundi asiyejua kujenga.. itakucost.Naomba kuuliza hasa ukiacha urembo unafuu wa maisha ya kujenga uko wapi kwenye roof ya kawaida na zile za hidden?
Kama fundi wenyewe ni bora fundi, jiandaye kuwa na miavuli au nylon sheets wakati wa masika mkuu.Naomba kuuliza hasa ukiacha urembo unafuu wa maisha ya kujenga uko wapi kwenye roof ya kawaida na zile za hidden?
Huu mtindo unavutia, sema unachangamoto endelevu zinazoumiza hadi mifukoni.Kama fundi wenyewe ni bora fundi, jiandaye kuwa na miavuli au nylon sheets wakati wa masika mkuu.
Kuna jamaa alifumua na kuweka mapaa ya kawaida. Hana hamu na hataki hata kusikia mtindo huo🤣🤣🤣🤣
1. Mwaka wa ngapi huu tangu upaue. Hidden roof?Mimi nimepaua hidden roof ... Haivuji .... But kama unachagua namna ya upauaji kwa ajili ya kupunguza gharama wewe bora upaue paa la kawaida tu. Ukijichanganya kwenye hidden roof eti unapunguza gharama utaimba haleluya
Tofauti ya ujenzi si kubwa! Jenga kwa mapenzi! Hidden roof utatumia bati chache lakini zege na nondo zinaenda sanaNaomba kuuliza hasa ukiacha urembo unafuu wa maisha ya kujenga uko wapi kwenye roof ya kawaida na zile za hidden?
Haa Kipindi Hiki Kuta Zimelowa Chepe Chepe Na Ndani Maji Kama Nje Tutukutane kipindi hichi cha masika, uko ndani lakini unajificha