Baada ya kuweka bati weka "side wall flashing' tafuta fundi anayejua ...anakunja tuu vipande vya kofia za bati...changamoto ya kuvuja inaisha kabisa.
Tatizo huwa ni pale ukuta na bati vinapoungana....ukitumia side wall flash unamaliza tatizo.Asante nimeona kama nyumba mbili zinavuja na nilizosikia ni nying kumbe wameishajua ttzo ni nn
Ni suala zima la kupata fundi asiye na uzoefu wala maarifa ya kuezeka aina hizi za nyumba.Unajua sababu ya kuvuja?
Umejibu vyema mkuuNi suala zima la kupata fundi asiye na uzoefu wala maarifa ya kuezeka aina hizi za nyumba.
Vinginevyo ukipata fundi mzuri na ushaui bora hamna kuvuja.
Binafsi kwa mwenye uhitaji naweza kumpa fundi ambae anaweza kushauri na kupiga bati hizi.
Nasikia vpia zinahitaji marekebisho mara Kwa mara ni kweli?Uwe unawaambia pia kwamba zinahitaji kemikali maalumu kuunga paa na kuta zisivuje.
Pia uwaeleze kwamba kwa kuwa hazina roof overhang zinahitaji kupakwa rangi maalumu ambazo zitahimili jua na mvua/unyevu kwa kuwa kutazake zina direct contact na jua na mvua tofauti na traditional houses
La mwisho uwaeleze wateja wako kwamba hizo nyumba mara nyingi zinakuwa na extra costs Ili zipendeze yaani makuta kuta,maurembo mengi na finishing ya nguvu.Kiufupi gharama za ufundi ni kubwa zaidi kuliko nyumba za kawaida.
Mwisho wa siku unakuta ule unafuu wa gharama ya paa ume offset kwenye finishing tena ya nje ambapo on average zina gharama kubwa kuliko nyumba za kawaida.
All in all ni nyumba nzuri kama una pesa ila kama pesa ya kuunga bora ujenge traditional houses
Nyumba yoyot ile lazim iwe na repairment ya mara kwa mara.Nasikia vpia zinahitaji marekebisho mara Kwa mara ni kweli?