Ujenzi wa nyumba za kuficha paa/contemporary/ hidden roof

Baada ya kuweka bati weka "side wall flashing' tafuta fundi anayejua ...anakunja tuu vipande vya kofia za bati...changamoto ya kuvuja inaisha kabisa.
 
Baada ya kuweka bati weka "side wall flashing' tafuta fundi anayejua ...anakunja tuu vipande vya kofia za bati...changamoto ya kuvuja inaisha kabisa.

Asante nimeona kama nyumba mbili zinavuja na nilizosikia ni nying kumbe wameishajua ttzo ni nn
 
Unajua sababu ya kuvuja?
Ni suala zima la kupata fundi asiye na uzoefu wala maarifa ya kuezeka aina hizi za nyumba.
Vinginevyo ukipata fundi mzuri na ushaui bora hamna kuvuja.

Binafsi kwa mwenye uhitaji naweza kumpa fundi ambae anaweza kushauri na kupiga bati hizi.
 
Uwe unawaambia pia kwamba zinahitaji kemikali maalumu kuunga paa na kuta zisivuje.

Pia uwaeleze kwamba kwa kuwa hazina roof overhang zinahitaji kupakwa rangi maalumu ambazo zitahimili jua na mvua/unyevu kwa kuwa kutazake zina direct contact na jua na mvua tofauti na traditional houses

La mwisho uwaeleze wateja wako kwamba hizo nyumba mara nyingi zinakuwa na extra costs Ili zipendeze yaani makuta kuta,maurembo mengi na finishing ya nguvu.Kiufupi gharama za ufundi ni kubwa zaidi kuliko nyumba za kawaida.

Mwisho wa siku unakuta ule unafuu wa gharama ya paa ume offset kwenye finishing tena ya nje ambapo on average zina gharama kubwa kuliko nyumba za kawaida.

All in all ni nyumba nzuri kama una pesa ila kama pesa ya kuunga bora ujenge traditional houses
Nasikia vpia zinahitaji marekebisho mara Kwa mara ni kweli?
 
Back
Top Bottom