Nile_house_designs
JF-Expert Member
- Nov 13, 2020
- 249
- 338
- Thread starter
- #121
Get weekend offer up to 30% price off.
Call/WhatsApp 0715477041
Call/WhatsApp 0715477041
ndio unawawekea watu huo ubuyu kwenye msingi ?..... nilidhani kuna wakati kokoto nyeupe zilipigwa marufuku jumla, huu ubuyu wenyewe unaruhusiwa ?Laying out hardcore
View attachment 1953339
ndio unawawekea watu huo ubuyu kwenye msingi ?..... nilidhani kuna wakati kokoto nyeupe zilipigwa marufuku jumla, huu ubuyu wenyewe unaruhusiwa ?
anyhow, hicho ki clip kitowe, sio kizuri kwa biashara yako
mama yangu weeee.... mafundi wetu ni wehu!Cha muhimu ni kuangalia uimara wa mwamba, mwamba ulioathirika ( weathered rocks) haijalishi iwe ni kokoto nyeusi au hizi nyeupe ndo hazifai, na pia kwa hali yetu ya kiuchumi watanzania kutumia kokoto nyeusi kwa stages zote za ujenzi inakuwa ngumu sana,
Karibu tukuhudumie mkuu, Call/WhatsApp 0715477041
mama yangu weeee.... mafundi wetu ni wehu!
ume order mawe umeletewa mawe site, unajuaje mwamba lilikotoka jiwe, unamuuliza dereva wa lori ? au dalali wa mawe ?
eti inategemea mwamba imara na ulioathirika , wewe unatembea na kifaa cha kupima mwamba ulioathirika?
aisee usitufanye hatujawahi kujenga bana weee.... huo ubuyu unajulikana popote haufai, ni kimeo! Plain and simple!
MAWE ya jamvi la msingi hayana shida ???OkAy, kwa kifupi mfuko wako ndo utategemea uchaguzi wa materials, ila kwa baadhi ya stages za ujenzi, hayo mawe hayana shida. Wewe umejenga mkoa gani??
MAWE ya jamvi la msingi hayana shida ???
Hivi mawe yanatumika sehemu gani nyingine zaidi ya msingi ?
Mkoa wa D'Salaam, why does it matter ?
Ina sifa zipi ndani hii nyumba?,
Ina sifa zipi ndani hii nyumba?,
Tupia animation yake then bei ya ramani.na idadi ya bati itakuwa poa sanaVyumba vitatu vya kulala, kimoja master, sebule, jiko, stoo, dining na open kitchen
Tupia animation yake then bei ya ramani.na idadi ya bati itakuwa poa sana
ramani yake unaiuza bei gani??Bei za materials utazipata kwenye BOQ ukihitaji boss, karibu tukuhudumie boss
150,000/= tu utaipata bossramani yake unaiuza bei gani??
Asante nitakutafuta.150,000/= tu utaipata boss
Call/WhatsApp 0715477041150,000/= tu utaipata boss