OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
Labda tubadili swali kidogo, isiwe copy and paste. Iwe zile zilizojengwa kupitia michoro yenu mizuriDuh, mkuu huna evidence na unashutumu, kwenye huu uzi tumebase na kutangaza michoro ya nyumba tuliyotengeneza, hivyo mtu akivutiwa na uwezo wetu anatutafuta tunamtengenezea design kulingana na matakwa yake. Hatujabase na kuomba kazi za ufundi,
Nakupa task, pitia uzi wote na ukiona kazi yoyote iliyokopiwa sema.
Na pia jitahidi kuheshimu kazi za watu, ukiona jambo huliwezi wewe na jamii yako inayokuzunguka usifikiri haliwezekani kwa kila mtu.
Karibu tukuhudumie upate design nzuri ili ukionesha rafiki zako waseme ni ya kuokota mtandaoni.