Mikolo Mileki Mingi
Member
- Jul 18, 2019
- 84
- 47
Master umeidowngrade kwa durisha monja tu
Shukrani sana mkuu
Shukrani sana mkuu
Ndio design yake mkuu, dirisha ni 2.5m mkuuMaster umeidowngrade kwa durisha monja tu
Kila mtu akitaka kuoga lazima aende master bedroom auHello everyone!
Hii ni proposal ya nyumba ya vyumba vinne, sebule, jiko, sehemu ya kulia na store.
Designer: Nile house designs.
Unaipa marks ngapi kati ya 100?
View attachment 1748724View attachment 1748725View attachment 1748733
View attachment 1748736View attachment 1755264]
Sijakuelewa mkuu, mbona kuna public hapo, afu pia kuna chumba kimoja ni self contained apart from masterKila mtu akitaka kuoga lazima aende master bedroom au
Sijaiona public shower .... Just wondering mayn.Sijakuelewa mkuu, mbona kuna public hapo, afu pia kuna chumba kimoja ni self contained apart from master
Hii kuifanya iwe ya room 3 + store, na kuwe na exit ya 3(ya kawaida kwa dharura) iwe kati ya choo na hizo room 2
Ndio kiongozi wazo lako ni zuri na linafaa kwa maboreshoHii kuifanya iwe ya room 3 + store, na kuwe na exit ya 3(ya kawaida kwa dharura) iwe kati ya choo na hizo room 2
Hebu angalia vizuri ramani yako ikitokea moto umeripuka hapo kwenye hall, ni chumba kipi kiko salama, vyumba viwili karibu na jiko lazima wapitie hapo, na vyumba viwili tena kushoto lazima waje kwenye hall, ndo maana nikasema ikiwa kuna ulazima wa kuwa na ramani kama hii basi tuangalie uwezekano wa kuwa na emergence exits. Au tuwe na smoke detectors, sikuwa na nia ya kufanya bulling, ila nimetoa angalizo na ushauri nikiwa kama mbobezi kwenye masuala mazima ya safety.Hapo waweza tokea sebuleni au jikoni, ila kama kupita kwenye corridor ni hatari kwako, sa sijui wataka nyumba ya aina gani mkuu,
All in all, kuna baadhi ya design inaweza kuwa na mpangilio mzuri zaidi ila ikaongeza cost na ukubwa wa nyumba maradufu
Shukrani mkuu, nitauchukulia kwa uzito ushauri wako katika design nyingineHebu angalia vizuri ramani yako ikitokea moto umeripuka hapo kwenye hall, ni chumba kipi kiko salama, vyumba viwili karibu na jiko lazima wapitie hapo, na vyumba viwili tena kushoto lazima waje kwenye hall, ndo maana nikasema ikiwa kuna ulazima wa kuwa na ramani kama hii basi tuangalie uwezekano wa kuwa na emergence exits. Au tuwe na smoke detectors, sikuwa na nia ya kufanya bulling, ila nimetoa angalizo na ushauri nikiwa kama mbobezi kwenye masuala mazima ya safety.
Hello everyone!
Hii ni proposal ya nyumba ya vyumba vinne, sebule, jiko, sehemu ya kulia na store.
Designer: Nile house designs.
Unaipa marks ngapi kati ya 100?
View attachment 1748724View attachment 1748725View attachment 1748733
View attachment 1748736View attachment 1755264]
Design nzuri sana hii Mkuu...,Render inaonyesha good exterior pia.Hello everyone!
Hii ni proposal ya nyumba ya vyumba vinne, sebule, jiko, sehemu ya kulia na store.
Designer: Nile house designs.
Unaipa marks ngapi kati ya 100?
View attachment 1748724View attachment 1748725View attachment 1748733
View attachment 1748736View attachment 1755264]
Mkuu Mikolo nakuunga mkono...,vyumba vya kulala vinatakiwa kuwa na cross ventilation kwa ajili ya mzunguko wa hewa mzuri.Master umeidowngrade kwa durisha monja tu
Boss Kobello...,Architect kasahau inaonekana. bahati mbaya kweli kweli. tusubiri masahihisho.Sijaiona public shower .... Just wondering mayn.
Ramani nzuri hata hivyo. Ila sijaiona shower ya public.
Design nzuri sana hii Mkuu...,Render inaonyesha good exterior pia.
Nimependa idea ya hall instead of corridor. very nice.
Ila zingatia hizo critics hizo boss. zingatia sanaaa.Mkuu Mikolo nakuunga mkono...,vyumba vya kulala vinatakiwa kuwa na cross ventilation kwa ajili ya mzunguko wa hewa mzuri.Boss Kobello...,Architect kasahau inaonekana. bahati mbaya kweli kweli. tusubiri masahihisho.
Watu lazima waoge aisee.
Hizi sasa sifaUJENZI: let us transform your design ideas into reality: NILE HOUSE DESIGNS (nilehousedesigns on instagram).
Karibu tukutengenezee nyumba ya ndoto yako, tuambie unataka nini na sisi tutaboresha wazo lako.
Kwa bei poa kabisa utapata design yako
Baadhi ya kazi zetu
Affordable price
View attachment 1760377
View attachment 1760376
tupigie /WhatsApp ## 0715477041
Drawings can be adjusted to meet client's ideas
(michoro yaweza rekebishwa kukidhi matakwa ya mteja)
## picha zote zimetengenezwa na nile house design ( no copied images)
View attachment 1699651View attachment 1699654
Hahah!! Sifa kivipi mkuuHizi sasa sifa
Kazi halisi on site imetoka fresh unaweza sema ni graphicsHahah!! Sifa kivipi mkuu
Two bedroom house kila chumba master na public toilet kitchen dinning na sitting inaweza gharimu bei ganiKaribuni sana wadau
Two bedroom house kila chumba master na public toilet kitchen dinning na sitting inaweza gharimu bei gani