Na huna ruhusa ya kunedeleza bandari yoyote kwa mda huo ,Amna mtu atakueweka 10B us dollar halafu akuxhie vifungu vya wew kujinafasi Kwenye mkataba amna anasema amnaKwa kumbukumbu zangu mzee aliwahi kusema, "mkataba unaongelea kwamba! Bandari ikikamilika mamlaka yote itakuwa chini ya wachina kwa kipindi cha miaka 40 kama sikosei, kisha ndipo itakabidhiwa kwa serikali ya Tanzania". Nakumbuka hapa ndipo wachambuzi wakawa wanailinganisha na SGR ya Kenya pamoja na namna wachina walivyo ivamia Zambia
Ni DeusdedithHabari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Boss naanza kukuheshimu you are so open minded...Barikiwa, watu kama wewe ni wachache sana nchini huku...Sisi wengine ni mahaba niue, wengine bendera fuata upepo, wengine mslahi kwanza Tanzania baadaye...Ila kwanini ulimchukia sana hayati? Just a friendly question usinipige mawe!Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Kampeni za kifisadi zimeanza!. Radi!!!!!!!!!!!!!Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Rais alikuwa hajui lugha ya kigeni ngoja tuone huo mkataba. Inawezekana mh spika aliuona huo mkataba.Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Wataalamu pia waliukataa hup mradi kipindi cha Kikwete na shinikizo lililokuwepo wakavuta miguu kuu impliment hadi wakasubiri kaondoka wakautupa kwenye dustbinMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Mkataba ungewekwa hadharani tuuone ili kuondoa utata. Maana Meko waweza kuta alichotuambia sicho kilichoandikwa kwenye mkataba... ili mradi amdhalilishe mtangulizi wake kama ilivyokuwa kawaida yake...Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
The same.kayafa was fraud ila kwenye hili he was 100% rightMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Boss naanza kukuheshimu you are so open minded...Barikiwa, watu kama wewe ni wachache sana nchini huku...Sisi wengine ni mahaba niue, wengine bendera fuata upepo, wengine mslahi kwanza Tanzania baadaye...Ila kwanini ulimchukia sana hayati? Just a friendly question usinipige mawe!
Mradi ule ulilenga kutufanya tuwe hub ya Afrika. Kiuchumi multiplying effect ya uwekezaji ule ndo Maana jk akaanzisha ujenzi wa terminal three. Ni vile tu siasa za kukomoana tuliziendekeza,rais alishauriwa vibaya naunga mkono hoja.
Rais Magufuli alikuwa na uwezo mzuri wa kusoma ata page 100 za M U sio kushauliwa tu, Naamini kuna vitu unaweza kuvisoma na ukavielewa direct na vingine ukaomba ufafanuzi, Naamini pasi na shakha Hayati aliletewa mpaka mezani aipitie mwwnyewe M.U , Pia naamini katika watu waliohusika 100% juu ya majadiliano ya miradi mikubwa bas Pro Kabudi anaijua vyema anaelewa mitego yote naye ndo alikuwa mwenyekiti wa tume za majadiliano karibu zote.Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Mie nilimpenda sana nanilijiambia kwa uzalendo ule hayo makosa ambayo hayakuwa na ulterior motives kwangu wala si makosa ni experience in the new path.....Sijawahi mpenda kiongozi kama nilivyompenda JPM...Mie ni miongoni waliofilisika kwenye regime yake, yet I couldnt hate kwakua niliamini alijenga welfare ya wengi...Unaweza usiamini nikikwambia sikuwahi kumchukia Magufuli..
Binafsi nilikua namuonea huruma.
Naamini makosa mengi aliyafanya with good intentions....
Nilikuwa namuonea huruma nilijua atashindwa mwishowe na naona kama kweli anakuja kushindwa ..atabaki kama Shahidi Kwa mashabiki wake..
Lakini nna mambo mengi Sana naweza kukuorodheshea ambayo niliyakubali
Kuna moja nilitoa hapa ushauri JF akaufanyia kazi...so simchukii kabisa ..Ila kuna baadhi ya
Matendo kwenye utawala yake niliyachukia
We ni fala hujui nchi imepiga hatua au imerudi nyumaHili hatuwezi kulikubali.Usenge wakuturudisha misri wakati tunaiona kanani haitawezekana asilani