Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 1,914
- 1,977
Nakazia hojaMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Nakazia hojaMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Hayo masharti uliyaona?ikijengwa na ika kamilika hii bandari ya bagamoyo ipo siku Tuta mkumbuka JPM....
JPM alikataa yale masharti yaliyo kuwepo baada ya kuona ni unyonyaji ulio kidhiri....
Ndungai toka mwanzo alitaka hii bandari ijengwe....
Lazima uangalia kuwa hapa kuna kitu..
Ila sawa Wa afrika Ku uzwa tumesha zoea
Jinga ww, wakati uyo jpm wenu utawala wake ndo ulikuwa wakifisadi , wasukuma mmekwishaBaada ya mwaka tu tutamkumbuka sana JPM, mafisadi wanaanza kurudi kwa kasi ya ajabu, JK is behind huu upuuzi wote, waweke mkataba wazi kama kweli una manufaa kwetu. SSH ni loudspeaker tu, nyaya zinatoka hukoooo, huyu ndio atakuwa Rais dhaifu na wa hovyo kuwahi kutokea Tz.
Huu ukabila mnaousambaza utakuja kuwarudia CDM, 2025 mtaenda kuomba kura huko.Jinga ww, wakati uyo jpm wenu utawala wake ndo ulikuwa wakifisadi , wasukuma mmekwisha
Akumbukwe na nani?Baada ya mwaka tu tutamkumbuka sana JPM, mafisadi wanaanza kurudi kwa kasi ya ajabu, JK is behind huu upuuzi wote, waweke mkataba wazi kama kweli una manufaa kwetu. SSH ni loudspeaker tu, nyaya zinatoka hukoooo, huyu ndio atakuwa Rais dhaifu na wa hovyo kuwahi kutokea Tz.
Kama Spika na PM unataka wawajibike kwa nini unamruka aliyekuwa Makamu wa Rais, SSH...Nafikiri hapa kuna watu wanapaswa kuwajibika...
Spika kama kiongozi wa Mhimili Mkuu wa Serikali.. Bunge. Amekiri Rais alishauriwa vibaya...
Bila shaka yuko tayari kuwajibika. .maana nae haponi.
Akitoka yeye unafuata PM. Majaliwa nae haponi. Awajibike haraka.
Sijui kama mna mtazamo huu...
Ila hawa watu waondoke haraka.
And I see this coming very Soon.
Mama Samia aanze na Serikali yake Mpyaaa... Ili nae atapoondoka tujue wapi tunyooke nae.
Huwezi amini hata Mwezi bado tangu Magu aondoke.!!!
Mzee, watz ni wezi sana, hapa kuna dalili zote kuna baadhi walishakula rushwa na vilevile JK anavuta kamba kwake mradi uendelee then kitakachofuata ni watz kulipa huo mkopo kizazi na kizazi.Kwa kumbukumbu zangu mzee aliwahi kusema, "mkataba unaongelea kwamba! Bandari ikikamilika mamlaka yote itakuwa chini ya wachina kwa kipindi cha miaka 40 kama sikosei, kisha ndipo itakabidhiwa kwa serikali ya Tanzania". Nakumbuka hapa ndipo wachambuzi wakawa wanailinganisha na SGR ya ke
Na mm na watz wengine, unachotaka wewe nyumbxxx ni nini? Risasi za matakoni kama zile za Lissu?Akumbukwe na nani?
Duhh...Kama Spika na PM unataka wawajibike kwa nini unamruka aliyekuwa Makamu wa Rais, SSH...
Huyu mama ameruhusu awe loudspeaker ya wapuuzi wachache, na ameanzisha siasa chafu za kujaribu kumchafua JPM, alichokifanya JPM kitaendelea kukaa na kuonekana, yeye hamma anachoweza kufanya zaidi ya kuropoka ropoka tu ovyo.
MkalimaniiiHabari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
sioni kama lengo ni lumchafua JPM. mlitaka CAG afiche report akae kimya?Kama Spika na PM unataka wawajibike kwa nini unamruka aliyekuwa Makamu wa Rais, SSH...
Huyu mama ameruhusu awe loudspeaker ya wapuuzi wachache, na ameanzisha siasa chafu za kujaribu kumchafua JPM, alichokifanya JPM kitaendelea kukaa na kuonekana, yeye hamma anachoweza kufanya zaidi ya kuropoka ropoka tu ovyo.
Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Alikuwa Ndugai mwenyewe na MakondaHabari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Endapo Tanzania itakuwa too open kwa hii miradi mfano bandari ya Bagamoyo, LNG plant na baadhi ya mambo ambayo mama aliyazungumza juzi kati.Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Hivi Tanzania kweli tuna shida sana ya Bandari au kuna watu wanataka kutupiga.Tuunganishe nchi jirani kwa SGR na tuboreshe Bandari ya Tanga na Mtwara.Nakubariana na Hayati Magufuli kwenye hili la kuitosa Bandari ya Bagamoyo.Kama wachina wapo serious twende Liganga na Mchuchuma kwenye Chuma na Makaa ya mawe.Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
hiyo ni lugha ya kisiasa ki ukweli mwendakwao alidai hapangiwi na mtuHabari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari