Ujenzi Bandari ya Bagamoyo: Aliyemshauri vibaya Rais Magufuli ni nani?

Kama Spika na PM unataka wawajibike kwa nini unamruka aliyekuwa Makamu wa Rais, SSH...
Huyu mama ameruhusu awe loudspeaker ya wapuuzi wachache, na ameanzisha siasa chafu za kujaribu kumchafua JPM, alichokifanya JPM kitaendelea kukaa na kuonekana, yeye hamma anachoweza kufanya zaidi ya kuropoka ropoka tu ovyo.
Hakuna anaye mchafua JPM, sema pazia lililo kua linafunika uongo limefunguliwa kila mtu anaona.

Na bado kuna mafaili yakifunguliwa hii nchi itazizima yaaaani.

#Mimisiomnyonge

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini mkataba usiletwe bungeni ukajadiliwa kwa uwazi kwa masilahi ya taifa.... nadhani Kikwete na serikali yake ndio waliosaini huu mkataba....wakatuaminisha kuwa ni mkataba mzuri kwa manufaa ya taifa....kwani hata meli kubwa zinazoishia Dubai...sasa zitafika kwetu moja kwa moja.....Magufuli na serikali yake wakasema..... mkataba mbovu.....Jana Ndugai.... Rais alishauriwa vibaya....amenishangaza zaidi eti Kuna wazee wa kichina wakiondoka hao hatuupati kabisa.....ili kuondoa hii sintofahamu mkataba uwekwe mezani....ujadiliwe....wanainchi tujue kipi ni kipi....wanasiasa sio watu kuwaamini Sana.
 
Labda Msukuma ! Hivi kwanza Jiwe alikua na washauri au wapambe?
ikijengwa na ika kamilika hii bandari ya bagamoyo ipo siku Tuta mkumbuka JPM....
JPM alikataa yale masharti yaliyo kuwepo baada ya kuona ni unyonyaji ulio kidhiri....
Ndungai toka mwanzo alitaka hii bandari ijengwe....
Lazima uangalia kuwa hapa kuna kitu..

Ila sawa Wa afrika Ku uzwa tumesha zoea
Humu humu tunawacheka Wakunya na mkataba wa Wachina na kinachoendelea huko.
Magu hakukurupuka kukataa bandari na masharti yake. Kumbuka alikuwa Waziri wa ujenzi. Aliujua mkataba huu hata kabla ya kuwa rais kwa sababu mkataba huu mjadala ulianza tangu enzi za JK.
Watu walishapiga zao mpunga wapitishe mkataba huu. Magu alisubiri tu ufike kwenye level yake. Akawafungia watu ndani wauchambue mkataba. Wakamshauri haufai.

Kumbuka jopo lililochambua mkataba lazima lilihsusha usalama wa taifa, wanasheria, wanadiplomasia ya uchumi, wataalam wa mikataba hasa ya kimataifa na wanauchumi.
Watanzania hata magazeti tunasoma tu vichwa vya habari na kuanza kuchangia mada tukiwa hatujui yalyomo ndani.
 
Ulaji ulikosekana
Habari wakuu

Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.

Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?

Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.

Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...

Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?

Uzi tayari
 
Mimi naamini JPM kwenye hili alikuwa sahihi, kwa sababu hao Wachina ni watu walaghai sana...

Huwezi mjua Mchina vizuri kama hujaishi naye ukajifunza tamaduni zao...

Hawa jamaa ni mabepari fulani hivi wenye kujificha nyuma ya ujamaa...
 
Ndugai alikua mshauri wa Magufuli kwenye mambo gani??

Mambo mangapi itakua alimpotosha Rais??

Mambo mangapi atampotosha Rais wa sasa.

Tunafanya makosa sana kuwaacha hawa wanasiasa watuchezee akili namna hii.

Kwanini Ndugai asiachie ngazi tu kujiepusha na aibu zaidi??
Wewe si ndio ulikuwa kinara wa kutetea wanasiasa hata wale wabovu?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nakukumbuka Sana ulituambia atakuja Rais mlokole ..way back..
Attachment uliyonayo kwake naiheshimu Sana..
Nakumbuka those days Magufuli alikuwa waziri but ana attend makanisa ya kilokole kama Kwa Ferdinand openly..
So aliposhika nchi nilikumbuka maoni yako
Nikajua utakuwa umeguswa deep na Magufuli..

All in all ana mazuri yake na Mabaya yake..
But angalau hakuwa mwoga kuonesha msimamo wake waziwazi kwenye mambo kadhaa..likiwemo hili la mkataba mbovu wa Bandari ya Bagamoyo..

Kuna watu wanataka kumpa Presha Mama aanze kuruhusu kila kitu..
Nahofia inflation kubwa inakuja
I had a consistent vision ya huyo mtu for 10 years kwakua nilichukia sana sana ufisadi; I thought alikuwa Dr. Slaa baadaye I had a clear message kwamba atakuja na maneno gani kwenye campaign, alipoyaandika duuh for the first time I met God live in those words were exactly like I saw them; na vision hizo nimeziandika humu......Thats how I came into attachment...Namshukuru Mungu kwakua hayati amekuwa kwangu ushuhuda kwamba He, God hears and answer prayers...Na kuna mengine yana kuja its not the end of story...I am just watching!
 
Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Kwa kuwa hatujui vipengele vya huo mkataba, na kwa hiyosiyo rahisi kumuamini magufuli kwa aslimia mia kwa aliyoyasema juu ya bandari ya bagamoyo .
 
Habari wakuu

Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.

Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?

Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.

Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...

Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?

Uzi tayari
Duh yeye alikua karibu sana na raisi kile kipindi...vp hajamwambia ukweli leo ndo anasema haya
 
Habari wakuu

Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.

Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?

Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.

Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...

Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?

Uzi tayari

china ina wahonga watu huu mradi ni mbaya sana Magu alikuwa sawa. Hakuna mtu alipinga kwa hoja
 
Kwanza omba mkataba wa Gas na bomba3 la Kusafirisha gas
Halafu mkataba wa hela za sandarusi
Mkuu,

Wewe pamoja na mimi tuko kwenye ukurasa mmoja ili kuondoa nyimbo za mchiriku kwamba nani kafanya nini na nani hajafanya kitu gani?

Gesi iliyogunduliwa Mtwara na Lindi ukifika huko na ukisikiliza jinsi viongozi huwa wanatuelezea unagundua bayana kwamba ni UONGO wa kiwango cha hadithi za Alfu Lela Ulela/Abunuwasi nk.

The facts prescribed in all grand contracts must be tabled public for the taxpayers comparatively interpret with what in reality happened while refraining to undermine anybody's endeavor. The nation shall not be healed if personal hatred and veangeance are given opportunity to disrupt it. Stay Safe and Keep Peace for the common goals achievement.
 
Swali la msingi, Tujenge Bandari Kubwa(Africa) Karibu na Bandari ya Dar?
Hakuna haja, tujenge bandari ya nchi kavu CHALINZE ili kuongeza ufanisi wa huduma na kupunguza gharama na usumbufu wa magari makubwa kuingia Dar Es Salaam hivyo kuutanua mji wa Chalinze na vijiji vinavyozunguka kiuchumi hatimaye maendeleo kufikiwa
 
Baada ya mwaka tu tutamkumbuka sana JPM, mafisadi wanaanza kurudi kwa kasi ya ajabu, JK is behind huu upuuzi wote, waweke mkataba wazi kama kweli una manufaa kwetu. SSH ni loudspeaker tu, nyaya zinatoka hukoooo, huyu ndio atakuwa Rais dhaifu na wa hovyo kuwahi kutokea Tz.
KUMBE, kwa hiyo hapo wigo unasemaje kusawazisha hii hali?
 
Back
Top Bottom