Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,454
Hakuna anaye mchafua JPM, sema pazia lililo kua linafunika uongo limefunguliwa kila mtu anaona.Kama Spika na PM unataka wawajibike kwa nini unamruka aliyekuwa Makamu wa Rais, SSH...
Huyu mama ameruhusu awe loudspeaker ya wapuuzi wachache, na ameanzisha siasa chafu za kujaribu kumchafua JPM, alichokifanya JPM kitaendelea kukaa na kuonekana, yeye hamma anachoweza kufanya zaidi ya kuropoka ropoka tu ovyo.
Na bado kuna mafaili yakifunguliwa hii nchi itazizima yaaaani.
#Mimisiomnyonge
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app