Ahsante sana na ndio maana hapo juu nimesema kwa mara nyingine Uhuru nimemuogopa zaidi!Kenyans ni alama kamili ya ubeberu, beberu akikuona umenuna yeye anakuchekea, akikuona umefurahi yeye ananuna, wanaenda kwa timing ili wakwapue kwa maslahi yao nyangau hawa