Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru anaotaka nje ya wewe ni uhuru gani?
relationship is about kujitoa, kutokuwa mbinafsi etc,
ukishaona mtu anajijali yeye na mambo yake, muda wake hapo kuna walakini. probably hapo mmepangwa.
shituka!!!
Namini nashangaa Huyu anamuuliza mbona mbinafsi..Anakujibu ndo nilivyo...Tena anakuuliza unaweza ishi na mtu mbinafsi?...yaani anataka Mahusiano yaende atakavyo yeye...yaani Simu apige yeye akiamua..text atume yeye akiamua..
Kuhusu hisia zakO YEYE HAZIMUHUSU
 
Ndugu yangu soma ujumbe huu japo mfupi

Huyo mpenz wako anakupenda sana tena sana tu, ila ana wivu uliopitiliza sana tena sana ndio unaopelekea hali hiyo.

Pili misimamo yake sio ya ajab ajab ila tu ni ww kucheza nae kwa akili sana, mtu kama huyo huwa anahitaj kunyenyekewa zaid ukihis hayuko sawa unapaswa kumwomba msamaha hat kama hujafanya jambo lolote

Amini kwamba jamaa anakupenda sana na wala sio kwamba ni dalili za kukuacha au kukuchukia.
NB; tambua kwamba wanaume wengi weny misimamo mikali huwa hawako romantic sana uromantic huja na kupotea ndan ya dk 1

Point yangu ni ANAKUPENDA
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa jamaa ana mapenzi na huyu dada hadi ana mjibu majibu ya kero hivyo?!

Sawa tufanye ana wivu, ndio awe busy na kumpuuza mwenzake ambae anaonyesha jitihada kumpenda?!
 
Mkuu mbona kama umefurahia Sana
Nimecheka sana
Nimekumbuka ile story ya kusema "Anataka nimfulie nguo zake ila hajanioa" huyu mwanamama alikuja kwa mbwembwe sana humu jukwaani mwishowe akadai kuwa yeye sio type hio ya kumfulia mtu akidai kwamba yupo tayari kujiengua katika mahusiano hayo, inaonesha jamaa alikuwa na nia njema nae ila bibie akamuona koro
 
Nisikilize Nini?....yaaani Mapenzi hayafosiwagi..yeye mwenyewe angeanza kujielelezea bila ya kuulizwa...Sasa Kama mtu Simu zako zinamyima Uhuru wakufanya afanyayo. Ambayo yangekuwa ya kawaida yangesemeka.

Mtu Kama yupo busy anapokea anakwambia nipo busy ubusy ukiisha anakipigia kukuelezea huo ubusy wake..
Sio kukwambia unamyima Uhuru...Na hawezi katisha ratiba zake kwa ajili yako..nahizo ratiba huzijui.. LOOOH
Akufukuzae ..
Mmmmmmhmn, natazama unavyolalamika ila huwa najiuliza inakuwaje unamkosa mtu wa vigezo hivi mbona kama wapo wengi sana....?!
 
Hawa wanahitaji kunyenyekewa mnooo, na wanaamini HAWAKOSEI, kuwakosoa ni kosa kubwa mno, ili mwende Sana inabidi uwe na maneno machache NDIO, SAWA, NISAMEHE
Ndugu yangu...hayo Sio Mapenzi...mtu anakwambia NIPE Uhuru wangu Acha kunipigia pigia..unasema Nisamehe?..
Looooh ....

Upumbafu Ni kuomba msamaha bila ya kosa...Nayeye atakuona mpumbafu atazidi kukuumiza na sijali Unajisikiaje na Wewe utaendelea KUOMBA MSAMaha kwa kutokujali kwake
 
Mmmmmmhmn, natazama unavyolalamika ila huwa najiuliza inakuwaje unamkosa mtu wa vigezo hivi mbona kama wapo wengi sana....?!
Mkuuu...Huyu TU ndo anashida.. wanaume wengi Ni wazuri...wazuri wapo na Wenye kujali Sana...
Huyu alikuja na gia hiyo lakini ALIKUA MUIGIZAJI TU
 
Nisikilize Nini?....yaaani Mapenzi hayafosiwagi..yeye mwenyewe angeanza kujielelezea bila ya kuulizwa...Sasa Kama mtu Simu zako zinamyima Uhuru wakufanya afanyayo. Ambayo yangekuwa ya kawaida yangesemeka.

Mtu Kama yupo busy anapokea anakwambia nipo busy ubusy ukiisha anakipigia kukuelezea huo ubusy wake..
Sio kukwambia unamyima Uhuru...Na hawezi katisha ratiba zake kwa ajili yako..nahizo ratiba huzijui.. LOOOH
Akufukuzae ..
Kabisa yaani
 
Nimekumbuka ile story ya kusema "Anataka nimfulie nguo zake ila hajanioa" huyu mwanamama alikuja kwa mbwembwe sana humu jukwaani mwishowe akadai kuwa yeye sio type hio ya kumfulia mtu akidai kwamba yupo tayari kujiengua katika mahusiano hayo, inaonesha jamaa alikuwa na nia njema nae ila bibie akamuona koro
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Ungejua nyuma za pazia...Wala usingeongea Sana...
Sio kila kitu JF Ni ukweli jamani khaaaa
 
Binafsi mi pia napendaga kuwa huru,huwa nataman npate mke ambaye ataishi kwenye nyumba nyingne na Mimi nyingine,na sm sipendeleag sana kuchat au kuongea muda mrefu,Mara nying nikiwa free napenda kutumia sm kwenye maswala ya kutembelea jamiiforum,mkekabet,Facebook,na vingne ila sio kuchat.
Sipendi kuzuiliwa kwenda mahali Fulani,yaan kfupi spendag kuingiliwa kwenye ratiba.
Kuna wakati moyo unawiwa kumsaidia mtu Fulani kipesa lakin mwanamke ananizuia,sipendag Haya mambo lakini wanawake n wagumu wa kuelewa(Kuna watu tupo hvyo kama umenipenda nivumilie hivyo hivyo)
 
Nimekumbuka ile story ya kusema "Anataka nimfulie nguo zake ila hajanioa" huyu mwanamama alikuja kwa mbwembwe sana humu jukwaani mwishowe akadai kuwa yeye sio type hio ya kumfulia mtu akidai kwamba yupo tayari kujiengua katika mahusiano hayo, inaonesha jamaa alikuwa na nia njema nae ila bibie akamuona koro

Mkuu tatizo lako unatunza sana kumbukumbu, humu wengi hushindana kwa ubunifu tu na utunzi wa stori.... tuendelee kufurahi tu kijiwe kimechangamka.
 
Binafsi mi pia napendaga kuwa huru,huwa nataman npate mke ambaye ataishi kwenye nyumba nyingne na Mimi nyingine,na sm sipendeleag sana kuchat au kuongea muda mrefu,Mara nying nikiwa free napenda kutumia sm kwenye maswala ya kutembelea jamiiforum,mkekabet,Facebook,na vingne ila sio kuchat.
Sipendi kuzuiliwa kwenda mahali Fulani,yaan kfupi spendag kuingiliwa kwenye ratiba.
Kuna wakati moyo unawiwa kumsaidia mtu Fulani kipesa lakin mwanamke ananizuia,sipendag Haya mambo lakini wanawake n wagumu wa kuelewa(Kuna watu tupo hvyo kama umenipenda nivumilie hivyo hivyo)
Aiseee.... Noma sana
 
Back
Top Bottom