Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Duuh...mwalimu wangu kashasikia....Akufundishe na kuandika vizuri maana hata kiswahili n changamoto[emoji16]
Sikujua nacho kiswahili kinanipiga chenga.
Duuh...mwalimu wangu kashasikia....Akufundishe na kuandika vizuri maana hata kiswahili n changamoto[emoji16]
Sawa mkuu[emoji4]Duuh...mwalimu wangu kashasikia....
Sikujua nacho kiswahili kinanipiga chenga.
Basi kupenda kwake Ni kwa ainayake....atakuwa na Upendo ambao upo tofauti Sana... Upendo wa kujiangalia Wewe na Mambo yako...97% alfu 3 % tunawapa wengine woote wanyang'anyaneDada yangu huyo rafiki yako wa kiume anakupenda tena inaweza kuwa sana tu. Kuna wale watu ambao hata upbringing yao imechangia how they are. Kabla ya kuamua chochote hebu chunguza kidogo tu upbringing yake. I am sure kuna kitu unaweza kupata huko ambacho kinaweza kukufanya wewe kujua the right way of you showing your love to him. Na yeye akareceive your love whole heartedly na akalearn to love you the way you want to be loved. Don't give up mapema. Huwezi jua kuna siku anaweza akawa gratefully kuwa you stayed when he gave you all the reasons to leave. Hold on kidogo.
Haya notedMkuu katika bandiko lako umetaka kujua maana ya uhuru katika mahusiano ni nini?
Ukweli ni kuwa, hakuna maana inayoeleweka na iliyoandikwa ya neno uhuru katika mahusiano nini.
Na hakuna kamusi, wala tume iliyo wahi kuundwa kukusanya maoni kutoka kwa wananchi ili tupate tafsiri ya neno uhuru katika mahusiano.
Matokeo yake, kila mtu ana tafsiri yake ya neno uhuru katika mahusiano kutokana na mtizamo wake na hisia zake kulingana na mahitaji yake, misimamo yake na utamaduni aliokulia.
Umesema jamaa yako hataki umpigie simu kwa sabb anaona unamuingilia uhuru wake, lakini kuna jamii hapa Tanzania mwanaume hataki akiwa anatoka nyumbani au anarudi kutoka mizungukoni mwanamke amuulize unaenda wapi au unatoka wapi, vinginevyo anaingilia uhuru wa mwanaume. Mifano ni mingi sana.
Kwa hiyo kuna "unwritten rules" kibao zilizojengwa katika msingi wa hisia na mtizamo inayochochewa na dhana, mahitaji binafsi, misimamo na tamaduni juu ya kipi ni sahihi na kipi si sahihi kuhusu uhuru katika mahusiano.
Na kwa mtindo huu wa kila mtu kutafsiri anavyojisikia, matokeo yake ndio mnatumbukia katika migogoro kama hii.
Wewe kimitizamo unaona hakuna shida kumpigia ila mwenzako anaona shida. Na huenda hata sio kwa sabb anakudharau lakn ni misimamo aliojiwekea, mitizamo aliyonayo na hisia alizonazo juu ya suala fulani.
And this is for sure, hutokaa upate mtu mnaye match misimamo, mitizamo, na utamaduni hata kama mnahisia za mapenzi kwa sabb tunatoka sehemu tofauti na tumbo inclusive.
Ndio wenye hekima wakasema ili mahusiano yadumu ni lazima tujifunze kutokubalina vinginevyo utahangaika asubuhi mpaka jioni ikukute.
Kwa hiyo Mkuu "ni kweli mapenzi ni hisia" lakn bila kuzingatia misimamo, mitizamo na utamaduni wa mtu utaendelea kupata tabu sana.
Turudi kwenye hoja ya muongozo unaoeleweka,
Katika muktadha huo, kama hoja ni tafsiri ya uhuru katika mahusiano, we must eliminate all unwritten rules na kuunda written rules ambazo zitakuwa standard na ndio utakuwa muongozo unaoeleweka ninao uzungumzia hapa ili kuondoa misunderstanding zote na diversity.
Na nyezo pekee ninayoijua ambayo hutumika kuondoa misunderstanding ni KATIBA.
So tuwe na "Katiba ya mahusiano ya kimapenzi na ndoa".
Sasa Tanzania ilidai Uhuru ikapewa... Kama mtu anataka Uhuru ... Na awe huru TU.... yanini kuhangaisha... Na Kama ratiba zake nyingine Ni muhimu Sana... hawezi zivunja kwa ajili yangu...HAO ndo wanampa Uhuru....so Aelekee aliko elekea tuMh Jambo lako ni gumu jmn,ila kuna kauli nimewahi kuisikia inasema hakunaga ubussy kwenye mapenzi ,,,,km unapiga simu Mara zote hizo mtu hapokei kuna tatizo hapo hamna cha uhuru Wala nn
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Naona wajina wako ashaanza kufanya yake kwa mleta bandiko [emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana yake ni..
Mitano tenaa
Neo colonialism [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jichunguze labda una kaUkoloni mamboleo...
Naamini kuna kitu umejifunza kwenye huu uzi kaka....Dada Rowin nami nilikiwa mkubwa nataka unifunindishe kuchanganya kizungu na kiswazi.
Hiyo asilimia ni kubwa sana bibie.Pole Sana Hapo ndo napoonaga %99.99 ya wanaume ni waongo jmn lkn sio lazima uwe kwenye mahusiano
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ila we mtoto nina feelings kali sana juu yako. Upo so innocent.......
Ni kubwa ndio na ndio wanaume wengi walivyo Yan asilimia imeendana na uhalisia waongo waongo waongo waongo waongo waongo waongo kupitilizaHiyo asilimia ni kubwa sana bibie.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Umetisha kwa maneno yakoNlipokuona tu juzi kwenye bandiko langu la waliochuniwa nikajua kuna shida mahali
Maana muda ule kwa aina ya watu kama wewe mngekua mbali sana mnapata wine ya zabibu.
Itakua labda una asili ya nyodo so ulipomuonesha jamaa mwanzoni akawa anakuzoom sema akaamua kupambania kombe
kwa kuwa amelipata ni muda sasa wa kuanza kukupangia kikosi B.
Bado wanaume tusio na uongo (mwingi) tupo bana.Ni kubwa ndio na ndio wanaume wengi walivyo Yan asilimia imeendana na uhalisia waongo waongo waongo waongo waongo waongo waongo kupitiliza
Hamna kitu Kama icho hakuna dunia hii we mwenyewe muongo tu si unaona umekiri mwenyewe hapoBado wanaume tusio na uongo (mwingi) tupo bana.
Na tupo wengi kuliko hiyo namba uliyotupatia.
Sisi tumeoa pasi ba kuwa na mahusiano na tuko na wake zetu mpaka leo.Mkuu hivi ndoa inatokeje bila mahusiano?
Kwangu mimi kwenye mahusiano ndio watu wanafahamiana vizuri kujenga ukaribu,upendo na kuthaminiana...
kwa watu walio serious hutengeneza urafiki katika kipindi hiki sababu mwisho wa siku kwenye ndoa mtaishi maisha yenu yote kama hamkuwa marafiki ni ngumu kwenda...
Au kwako wewe mahusiano ni nini?
Kwa jicho la uhalisia.Mkuu mambo ya kipuuzi kwa jicho la nani? Huenda wewe unaona ni upuuzi lakini mwenzako yuko ok.
Matatizo ninayoyazungumzia mkuu ni kufanikuwa kutokuwa na kigogoro kwenye familia...
Sasa mtu katoka kuangalia mpira anarudi akapiga story na sweet wake wanafurahia maisha hapo utasema Kuna tatizo...
Sijui filosofia yako ni ya aina gani mkuu...
Hakuna binadamu asie muongo, ndio Maana nimesema hivyo.Hamna kitu Kama icho hakuna dunia hii we mwenyewe muongo tu si unaona umekiri mwenyewe hapo
"Tusio na uongo mwingi tupo" yani hamuezi kuishi bila uongo cjui mpoje [emoji3525]ovyo
Kwa hiyo hakuna mapenzi bila uongo [emoji16][emoji16][emoji16]Hakuna binadamu asie muongo, ndio Maana nimesema hivyo.
Muhimu ni kuangalia Kama huyo mtu anakupenda kweli. Kama mtu anakupenda akiwa muongo inakuwa ni kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
Ataomba radhi, yataisha.
Pia hua kuna usemi unasema kwamba "mwanamke bila kumdanganya kidogo humuwezi."