Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 866
- 1,240
Mkuu ina maana waangalia mpira hawapaswi kupendwa? Pia asilimia kubwa ya watanzania ni washabiki wa mpira sasa kweli binti akichagua kwa kigezo hicho si anapunguza Sana uwezekano wa kupata mwenza?Ila watoto wa kike kweli Mwalimu wenu kipofu, hivi inakuwaje kwanza unakuwa na mahusiano na kijana mjangalia Mpira ?
Halafu issue ni jamaa hampendi tu hampendi huyu dada
Uko conservative Sana mkuu