Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Hapana... Sio karma.. tulikubaliana kuachana Wala sikuumia Sana au kutoa chozi...mpaka Leo Sina chuki nae....Wala sinabaya lakumsemea...

Tatizo lako unajiongelea wewe tu japo ni sahihi kwa sababu uwezi jua yanayoendelea moyoni mwa mtu. Hata kama mlikubaliana kuachana haimaanishi hakuna maumivu kati yenu mfano halisi ni wa hii hali unayopitia sasa hata mkiachana kwa amani bado kuna mmoja aliependa zaidi ataumia kwa kuwa sio lengo la mahusiano.
 
Mawasiliano ndo Mapenzi communication ndo Mapenzi....Sasa tukiwasiliana asubuh..umeamkaje Salam...Alafu usiku ..usiku mwema
Hapo ndo Mapenzi yanakuwa wapi..

Mapenzi Ni mahaba..na mahaba yaanza kwa kuwasiliana na kuambiana maneno mazuri
Kwa dunia hii ya sasa ya science na technology, simu ndio kila kitu kwa mawasiliano
 
Tatizo lako unajiongelea wewe tu japo ni sahihi kwa sababu uwezi jua yanayoendelea moyoni mwa mtu. Hata kama mlikubaliana kuachana haimaanishi hakuna maumivu kati yenu mfano halisi ni wa hii hali unayopitia sasa hata mkiachana kwa amani bado kuna mmoja aliependa zaidi ataumia kwa kuwa sio lengo la mahusiano.
Niwe mkweli...hua namkumbuka Tena sana lakini sikuumia moyo kabisa..Sijui yeye..coz nilimblock..so Sijui anaendeleaje
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Sijui Watu hua wanadefine vipi Upendo... Ukimpenda mtu Simu yake unaifurahia sanaaa...Tena anaanza mylove, nyonga mkalia ini...nipo busy ntakupigia...Basi Roho kwatu..

Looh hili gudume...linasema lenyewe Ni SELFISH nawala halijali..khaaa

What the hell

Pole sana Mkuu, utapona tu na watu wazuri bado wapo

Shit happens all the time

Ukipata nafasi ya kumpenda mwingine mpende kisha endelea na maisha
 
Kwanza unakubali vipi kuwa katika mahusiano ?
Mkuu hivi ndoa inatokeje bila mahusiano?
Kwangu mimi kwenye mahusiano ndio watu wanafahamiana vizuri kujenga ukaribu,upendo na kuthaminiana...
kwa watu walio serious hutengeneza urafiki katika kipindi hiki sababu mwisho wa siku kwenye ndoa mtaishi maisha yenu yote kama hamkuwa marafiki ni ngumu kwenda...
Au kwako wewe mahusiano ni nini?
 
[emoji28] Bila shaka ni ule wa wapenzi ku share mswaki.. Danh! Dunia ina mambo kweli mka share kitu cha sh. 500 as if gharama za kukinunua zimekua kubwa.

Inapendeza kama mwaka mpya upo njema.. All the best to you.
Naam ni huo huo nikasema huyu hii bangi aliyovuta leo itakuwa amevuta hadi mizizi [emoji23][emoji23]

Shukrani mkuu all the best to you too [emoji4][emoji4]
 
Life is not fair kabisa, kuna muda unaamua kutulia na kua serious katika mahusiano yako, unaacha uchafu wote unakua clean kabisa.
Unaamua hadi kuachana na mambo ya michepuko mwisho wa siku kumbe wewe ndio mchepuko wenyewe.. [emoji25][emoji29]

[emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mapenzi Ni Ushenzi
 
Naam ni huo huo nikasema huyu hii bangi aliyovuta leo itakuwa amevuta hadi mizizi [emoji23][emoji23]

Shukrani mkuu all the best to you too [emoji4][emoji4]
Hakuna kitu napiga Vita Kama BANGI...yaaani Madhara Yake Ni NOMA SANA
 
Niwe mkweli...hua namkumbuka Tena sana lakini sikuumia moyo kabisa..Sijui yeye..coz nilimblock..so Sijui anaendeleaje

Anakupenda sana huyo Me, ila kama uwezi kuheshimu upendo wake achana nae utamtesa mtoto wa mwenzio.
 
KWELI kabisa yaani...unaweza piga TU simu ulalamike mi naona hunipendi..Basi unabembelezwa...
Huyu yeye anasema Kama umepiga Simu kulalamika KATA TU SIMU...

Naona hapa nijiongeze tu
Hapo jua tu haupendwi na hauhitajiki..... Jamaa anakuonyesha hizo dharau kama ishara ya kukufanya ujue yeye hana hisia na wewe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hivyo , haya yanayokukuta usikute ni dua baya LA Jamaa maana ulimdhihaki Sana , atakua alikuombea uwe unakutana na mabaharia [emoji1787][emoji1787] kazi unayo ya kuendelea kupiga kunut
Utajuaje kama sio baharia huyu?
Utakuta binti baada ya kukataa kufua jamaa akapiga kimya ili amle kwanza halafu ndio aanze vituko
 
Utajuaje kama sio baharia huyu?
Utakuta binti baada ya kukataa kufua jamaa akapiga kimya ili amle kwanza halafu ndio aanze vituko
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ...ntakuja na ID mpya..maana mnayohusianisha Wala hayana uhusiano
 
Kwa maoni yangu,

Mahusiano ya kimapenzi na ndoa yanakuwa magumu kuendesha kwa sabb "kipi ni sahihi na kipi si sahihi" kinaamuliwa "kwa hisia zaidi na mtizamo zaidi" kuliko kupitia miongozo inayoeleweka.
Mapenzi Ni hisia..hiyo miongozo ya Mapenzi Ni ipi...?
 
Naelewa sana unachokiongea. Hapo changamoto mmekutana watu wawili tofauti na mwenza wako hayuko tayari kubadilika na kuendana na wewe.
Mnapokua kwenye mahusiano inatakiwa kila mtu awe tayari kubadilika kwa ajili ya mwenzake. Kujitoa kumfurahisha mwenza wako kwa vitu ambavyo vya muhimu kwake hata kama sio kipaumbele kwako. Hakuna mapenzi bila "sacrifice" lazima wote muwe tayari kusjitoa kwa mwenzake.
Kupigiana simu kila baada ya muda ni mapenzi nayo, ni dalili mtu unapendwa na mwenza wako anakufikiria. Kwa wengine wanaweza kuona ni dalili ya kubanwa ila sivyo.

Ushauri: Muite sehem kaa naye chini na mueleze kinagaubaga. Kama kweli anakupenda atabadilika kwa ajili yako.
Haitafanikiwa. Mtu anaejali huwa hata kwenye simu wangeweza jadili. Sasa mtu analalamika yeye anamwambia kama unapiga kulalamika kata simu, maana yake si hataki kujadili kero za bibie.
 
Back
Top Bottom