Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Yule wakufulia nguo jamani mnapenda Sana kunikumbusha...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hivyo , haya yanayokukuta usikute ni dua baya LA Jamaa maana ulimdhihaki Sana , atakua alikuombea uwe unakutana na mabaharia [emoji1787][emoji1787] kazi unayo ya kuendelea kupiga kunut
 
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
CA,
Pole sana. Juzi niliona umejibizana na majamaa wawili humu violently nikahisi kuna ttzo...aisee you have not been normal....

In short jamaa anazingua au labda anaipitisha dhahabu ktk moto ili izidi kung'aa. Yte kwa yote Mungu akuongoze ktk subra atayaweka yote wazi kwa wakati wake.
 
Pole afadhali ungeendelea na yule aliyekua anakutaka umfulie Nguo huku hajakuoa alikua anatengeneza mazingira ya ww kua Mke bora kwake, sasa hapo umekutana na wale wanaojiita mabaharia
Mkuu ni mimi huyoo nilikimbiwa akisema yeye sio msaidizi wa kazi[emoji23]hapa ni mwendo wa maombi tu mpk kieleweke sasa hivi atakutana na anayempa uhuru ila dushe halifanyi kazi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi Siwezi kaa siku nzima... kimya I am a caring person... What I give I expect... essential kwa mtu ambae alifanya kila namna kunihakikishia kuwa ananipenda...so I blindly believed him

Sijui why people do the things they do.. am baffled... Why should you go to Xtreme to show someone you love them but just to toy with their hearts.
I'm a caring person very caring but I can care at a far too.

And when I give out I don't expect a return. If I need to talk to him I can either call or text. Na yeye akinikumbuka he will do the same, na asipofanya I'm ok too.

My heart is tiny and I get hurt so deep, nilivojijuaga maana nilikuwa nateseka for no reason I've become what I'm now.
 
Aiseeee..SIKUWAI jua people can lie to that extent...GUESS AM GULLIBLE
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani nacheka kwa huruma

Pole aiseee

Mimi nachojua kuchomoka hapo ni usali Sana otherwise utakuja na Uzi mwingine.

Watu wa hivyo wanajua kucheza na hisia, na leo inaweza isiishe akakushika akili ukatamani uje ufute huu Uzi na kujiona wewe ndio mkosaji sio yeye
 
Mkuu muhuni ni muhuni tu hata kama haangalii mpira
Wapo watu na familia wanaangalia mpira na hakuna tatizo kwenye Maisha yao
Matatizo unayapimaje ? Kupoteza muda katika mambo ya kipuuzi siyo tatizo ? Kupoteza katika mambo yasiyo na faida na wewe si tatizo ? Au kwako wewe tatizo ni nini ?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hivyo , haya yanayokukuta usikute ni dua baya LA Jamaa maana ulimdhihaki Sana , atakua alikuombea uwe unakutana na mabaharia [emoji1787][emoji1787] kazi unayo ya kuendelea kupiga kunut
Hapana...hakuwai niombea Dua mbaya...hakuwai nifanyia MABAYA..Mungu Wangu Shahidi...Sina hata baya la kungumzia..Ila Kuna sababu TU Zilitufanya tukakubaliana kuachana
 
CA,
Pole sana. Juzi niliona umejibizana na majamaa wawili humu violently nikahisi kuna ttzo...aisee you have not been normal....

In short jamaa anazingua au labda anaipitisha dhahabu ktk moto ili izidi kung'aa. Yte kwa yote Mungu akuongoze ktk subra atayaweka yote wazi kwa wakati wake.
Sawa....Mkuu asante
 
Basi naomba nikuoe mke wa nne, ukamilishe hesabu, halafu mimi huwa sina utani katika hili, ukikubali leo wiki ijayo nakuoa fasta.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapana...hakuwai niombea Dua mbaya...hakuwai nifanyia MABAYA..Mungu Wangu Shahidi...Sina hata baya la kungumzia..Ila Kuna sababu TU Zilitufanya tukakubaliana kuachana
Sasa Kama hakukufanyia baya lolote mbona ulikuja kumdhihaki Sana huku , aisee hapa sasa nimeelewa kwel mwanamke ukishatembea nae mapenzi hua hayaishi , kwa maneno haya unayoongea sasa, Jamaa akirudi kupasha kiporo wallah huchomoi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani nacheka kwa huruma

Pole aiseee

Mimi nachojua kuchomoka hapo ni usali Sana otherwise utakuja na Uzi mwingine.

Watu wa hivyo wanajua kucheza na hisia, na leo inaweza isiishe akakushika akili ukatamani uje ufute huu Uzi na kujiona wewe ndio mkosaji sio yeye
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Usicheke ukadhani mazuri..wallahi Naaapa mbele ya Mungu Sijawai DANGANYAWA kiwango Cha SGR...Huyo kiboko

Looh Dada wawatu Mimi kumbe mshamba TU wa Mapenzi sikujijua wallahi.
Ila Sina chuki na wanaume Wala Huyu simchukiii... nimemsamehe tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani nacheka kwa huruma

Pole aiseee

Mimi nachojua kuchomoka hapo ni usali Sana otherwise utakuja na Uzi mwingine.

Watu wa hivyo wanajua kucheza na hisia, na leo inaweza isiishe akakushika akili ukatamani uje ufute huu Uzi na kujiona wewe ndio mkosaji sio yeye

Sio rahisi mkuu hapa ameshaujua uhalisia sasa kazi iliyobaki ni kuanza kuukubali uhalisia na kuanza maisha mapya ndio maana nmemshauri asifanye kuaga awe kimya kama sio kupunguza mawasiliano kwa sababu naelewa ni jinsi gani moyo ukishapenda inavyokuwa. Huyo baharia anayo nguvu sana juu yake licha ya kuwa anamkosea bibie lakini kwenye mapenzi bado anayo nafasi kama ataamua kujirudi hata kama n kwa kuigiza tena. Awe makini sana kuepusha maumivu zaidi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]...ungejua Acha TU my dear
Nlikuwaga Mgumu kupenda penda..looh Salale
Mimi nilikuwa hivyo, nikaingia Cha kiume

Nikapata wa hivyo, yaani niliisha nikawa Kama Nina utapiamlo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukweli unaona na nafsi inagoma kukubaliana na unachokiona
 
Sasa Kama hakukufanyia baya lolote mbona ulikuja kumdhihaki Sana huku , aisee hapa sasa nimeelewa kwel mwanamke ukishatembea nae mapenzi hua hayaishi , kwa maneno haya unayoongea sasa, Jamaa akirudi kupasha kiporo wallah huchomoi
Sio kila kinachoandikwa JF Ni ukweli mkuuu....

Ila huu Uzi wa leo NIUKWELI
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Usicheke ukadhani mazuri..wallahi Naaapa mbele ya Mungu Sijawai DANGANYAWA kiwango Cha SGR...Huyo kiboko

Looh Dada wawatu Mimi kumbe mshamba TU wa Mapenzi sikujijua wallahi.
Ila Sina chuki na wanaume Wala Huyu simchukiii... nimemsamehe tu
Hiyo ndio busara, mtu mwanaume asifanye uwachukie wanaume wote Wala uyachukie mahusiano
 
Back
Top Bottom