Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,840
- Thread starter
- #261
Nyie mnakondaje jamani..na mapenzi..Mimi hapa leo sijafanya KAZi yotote nimedeligate...Ila Nasikia NJAAA BALAAAA... Yaani naona Huyu nlimoa kazi ya kupika anachelewa..Mimi nilikuwa hivyo, nikaingia Cha kiume
Nikapata wa hivyo, yaani niliisha nikawa Kama Nina utapiamlo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli unaona na nafsi inagoma kukubaliana na unachokiona
Kukonda kisa Mapenzi Sijawai...ILA KUUMIA ROHO hii Mara ya pili
Nanisipo angalia kitambi kitarudi...nikiwa na stress NAKULA SANA