Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Ya kupigiwa simu, kuulizwa nipo wapi, nafanya nn yani ndio mapenzi ninayoyataka ila unayoyapitia sasa ndio ninayoyapitia mimi kwa madam mmoja ivi mpka najuta
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Sijui Watu hua wanadefine vipi Upendo... Ukimpenda mtu Simu yake unaifurahia sanaaa...Tena anaanza mylove, nyonga mkalia ini...nipo busy ntakupigia...Basi Roho kwatu..

Looh hili gudume...linasema lenyewe Ni SELFISH nawala halijali..khaaa

What the hell
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Sijui Watu hua wanadefine vipi Upendo... Ukimpenda mtu Simu yake unaifurahia sanaaa...Tena anaanza mylove, nyonga mkalia ini...nipo busy ntakupigia...Basi Roho kwatu..

Looh hili gudume...linasema lenyewe Ni SELFISH nawala halijali..khaaa

What the hell
Kila mtu anadefinition yake ila uyo pasua kichwa. Atakukumbuka baadae pindi utakapokua umeshamove on
 
Nimekuelewa vema. My point ni kuwa mtu wa namna hii anaeishi na wewe kwa dharau hivi kwanza hiyo nguvu ya kumtafuta unatoa wapi?!

Raha ya mapenzi ni kutukuzana. Yaani unaabudu uwepo wa Mwenzako katika maisha yako. Sio unakuwa unamtazama kama kituko ukitarajia afanye vitu kwa ajiri yako na wewe hakuna unalofanya kwaajiri yake....
Namimi Nashangaaa...Sijawai kuwa na Mahusiano Kama haya..KABISA..

Kuna mtu nilikuaga nampigia sana sana Sana Simu...Alikua anapokea.. baadae akasema unapiga Sana Simu nakuwa nafanya KAZi....muda ambao sipo busy ni huu ..huo ndo Muda wakupiga..

Huyu yeye ukipiga asubuhi kabla hajaamka hapokei..ukipiga mchana hapokei..ukipiga usik..(nikilala sitaki usumbufu)

Sasa kaja na mpya ANATAKA UHURU...haya nimemuach aka practice huo uhuru wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], umenifuata hadi huku ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha nimecheka hadi nimepaliwa mate
Tusijuane huku[emoji2958][emoji2958][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namimi ndo naambiwa Kama unapiga Simu kulalamika KATA SIMU dooh

Nikamkumbuka mpnz Wangu alivyokua ananiambia Sasa unalalamika Nini? unaTAKA nikupendeje...Basi haya unaTAKA nikulambe matako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
.
Nyuma sirudi HATA IWEJE ..tunasonga front

[emoji23][emoji23][emoji23] anaitwa KARMA
 
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
ndio
 
Tusijuane huku[emoji2958][emoji2958][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Kila mtu anadefinition yake ila uyo pasua kichwa. Atakukumbuka baadae pindi utakapokua umeshamove on
Sitaki hata anikumbuke..looh
Labda akimpata anaempenda atakuwa tifauti...Mimi alikua naniigizia
 
Dah.. Girl you have very little logic....

😂😂😂😂😂

Sim sim sim sim sim sim sim sim sim sim.......
Damn. Embu uliza shangazi zako hapo kabla ya simu waliishije na wapenzi wao.

Very sorry aisee.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Umefurahiii[emoji23][emoji23][emoji23]nabadilisha I'd nakwambia, utanisumbua Sana wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah.. Girl you have very little logic....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sim sim sim sim sim sim sim sim sim sim.......
Damn. Embu uliza shangazi zako hapo kabla ya simu waliishije na wapenzi wao.

Very sorry aisee.
Mkuu Kama enzi hizi za JF...upo JF..Kwanini usimuulize Babu yako kabla ya internet walikuwa wanafanya Nini Ukafanye hayo badala ya kuingia JF.

Hivi kweli Enzi hizi za Simu niandike barua kumtumia.mpnz nikisubiria majibu baada ya wiki mbili...

Hebu FICHA ujinga wako Wewe MPUMBAFU...
 
Dah.. Girl you have very little logic....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sim sim sim sim sim sim sim sim sim sim.......
Damn. Embu uliza shangazi zako hapo kabla ya simu waliishije na wapenzi wao.

Very sorry aisee.
Mawasiliano ndo Mapenzi communication ndo Mapenzi....Sasa tukiwasiliana asubuh..umeamkaje Salam...Alafu usiku ..usiku mwema
Hapo ndo Mapenzi yanakuwa wapi..

Mapenzi Ni mahaba..na mahaba yaanza kwa kuwasiliana na kuambiana maneno mazuri
 
Back
Top Bottom