Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

KWELI kabisa yaani...unaweza piga TU simu ulalamike mi naona hunipendi..Basi unabembelezwa...
Huyu yeye anasema Kama umepiga Simu kulalamika KATA TU SIMU...

Naona hapa nijiongeze tu
Pole Sana jiongeze tu
 
Piga kimya hakuna mpenzi hapa ila ugwadu ukimzidi ndiyo anakutafuta.
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.

Naelewa sana unachokiongea. Hapo changamoto mmekutana watu wawili tofauti na mwenza wako hayuko tayari kubadilika na kuendana na wewe.
Mnapokua kwenye mahusiano inatakiwa kila mtu awe tayari kubadilika kwa ajili ya mwenzake. Kujitoa kumfurahisha mwenza wako kwa vitu ambavyo vya muhimu kwake hata kama sio kipaumbele kwako. Hakuna mapenzi bila "sacrifice" lazima wote muwe tayari kusjitoa kwa mwenzake.
Kupigiana simu kila baada ya muda ni mapenzi nayo, ni dalili mtu unapendwa na mwenza wako anakufikiria. Kwa wengine wanaweza kuona ni dalili ya kubanwa ila sivyo.

Ushauri: Muite sehem kaa naye chini na mueleze kinagaubaga. Kama kweli anakupenda atabadilika kwa ajili yako.
 
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
Jiongeze, humvutii sepa haraka.
Mapenzi ni sumaku, ukiona mwenzio anahisi usumbufu kumpigia ujue huna nafasi kwake tena.
 
wengine tupo hivyo...sio watu wa chit chat
Eniwei kipochi manyoya ushampa?
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.

Nyie hamuendani tafuta wa kuendana nae. Pole sana maana naona wazi kabisa anataka ujiongeze
 
Nikipiga coz alisema yupo njiani kurudi home ..ilikua sa nane..nikawa natuma msg hajibu...nikapiga coz nikitaka kuonana nae...coz anasafiri kesho...anasema kuonana haikua kwenye ratiba yeye hawezi vunja ratiba zake.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...KHAAAAAAAAAAAA

Sasa hapa ndoa Mimi kwakweli itakuwa ngumu kufungwa...Mambo yashakuwa Magumu mwanzo kabisa.
Dear, hakuna mapenzi hapo.
 
Duuuh..kwaiyo asipokea Simu sawa...Mimi sikutaka kujua anafanya Nini Mimi nikitaka kuona Kama Kuna uwezekano wa kuonana tena niliuliza kwa text lakini hakujibu...Baada ya Muda mrefu anasema min nalalamika Sana...Sasa Kama Jambo limekukwaza ukae kimya TU?...

Mapenzi Ni compromise...Kila upande ushow effort,...
Mi naona yaani Ni Mahusiano Magumu Sana...Anasema nimsome nijue anataka Nini...namsomaje Simu hapokei, text zenyewe Sio mtu Wa kufunguka...

Eti nimuachie Mahusiano yeye ayalead... Kwaiyo mawasiliano Ni Mpaka yeye aamue....Mimi sisubirie tu ajisikie kuwasiliana
Kama unampenda kwa dhati ni vyema uvumilie na mapungufu yake.inawezekana ktk kazi zake kuna mtifuano uliomvuruga ila hajui au anashindwa kukuambia. Kama ww unaamini kua yy ndio chaguo lako. Basi vumilia akishatulia atakutafuta kisha unaweza kumuuliza maswali yako na ukampa was wasi yako
 
Hii kitu hata mimi nafanyaa na sijui nilianza vipi lakini sipendi mtu anaepiga simu mara nyingi au text nyingii ni mvivu kutumia simu.Text naweza kusoma kama ishu sio ya muhimu sijibu naendelea na kazi zangu hapa wengi nimeachana nao sasa na mimi ndo kasoro yangu eti mtu hawezi kuvumilia basi naonaga isiwe shida kila mtu achukue time yaan ata hujanifumania unataka tuachane nakubembelezaje hapo.
 
Kama unampenda kwa dhati ni vyema uvumilie na mapungufu yake.inawezekana ktk kazi zake kuna mtifuano uliomvuruga ila hajui au anashindwa kukuambia. Kama ww unaamini kua yy ndio chaguo lako. Basi vumilia akishatulia atakutafuta kisha unaweza kumuuliza maswali yako na ukampa was wasi yako
Labda nisubirie yeye anitafute... Maana Mimi nishajiona SMS NA SIMU zangu Ni kero kwake.
Sasa hayo Mapenzi ya kukaa ukisubirie mtu ajisikie kukutafuta Hayo Sio mapenzi
 
Hii kitu hata mimi nafanyaa na sijui nilianza vipi lakini sipendi mtu anaepiga simu mara nyingi au text nyingii ni mvivu kutumia simu.Text naweza kusoma kama ishu sio ya muhimu sijibu naendelea na kazi zangu hapa wengi nimeachana nao sasa na mimi ndo kasoro yangu eti mtu hawezi kuvumilia basi naonaga isiwe shida kila mtu achukue time yaan ata hujanifumania unataka tuachane nakubembelezaje hapo.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44].....Hujakutana na mtu unampenda kwa dhati
 
Back
Top Bottom