Una mtafuta rahage weweWaanze na pale TFF
We Kama Nani hata useme hivyo? Tukikufuatilia hata wewe huwenda sio mtz tulia acha makekeKweli waondoke tu, hakuna namna! Sema wanafaida gani hapa!
Beans anatuharibia tofaut na mzee tenga. Timu ilikuwa na hamasa.Una mtafuta rahage wewe
Waanze na nyataka yako kwanzaWasomali kihistoria na kiasili ni watu hatari sana, Jirani zetu wa Kenya wanasumbuliwa sana na Jamii ya Kisomali. Sio wasomali wote ni watu hatari ila wengi wao ni hatari sana kwa usalama hivyo tunaomba watu hawa kama wapo wanaishi na kufanya kazi nchi basi wafuatiliwe kwa karibu nyenendo zao.
Jamii ya kisomali wapo ambao ni raia wema na wazalendo, tatizo lipo kwa wale ambao wanajihusisha au wana rekodi za kigaidi hao lazima wabainishwe na warudushwe walipotoka. Wapo baadhi yao wana rekodi za kihalifu tokea huko kwao.
Sina maana ya kubagua kwa namna yoyote ile ila nimesema hayo kwa nia njema ya Usalama wa Taifa langu Tanzania.
hivyo naomba maelezo yangu yasitafsiriwe vibaya. Nawapenda sana wasomali na pia ninao marafiki wa kisomali ambao ni wema.
Katika vitu sipendi maishani mwangu ni ubaguzi wa aina yoyote ile. Umbwa weweWasomali kihistoria na kiasili ni watu hatari sana, Jirani zetu wa Kenya wanasumbuliwa sana na Jamii ya Kisomali. Sio wasomali wote ni watu hatari ila wengi wao ni hatari sana kwa usalama hivyo tunaomba watu hawa kama wapo wanaishi na kufanya kazi nchi basi wafuatiliwe kwa karibu nyenendo zao.
Jamii ya kisomali wapo ambao ni raia wema na wazalendo, tatizo lipo kwa wale ambao wanajihusisha au wana rekodi za kigaidi hao lazima wabainishwe na warudushwe walipotoka. Wapo baadhi yao wana rekodi za kihalifu tokea huko kwao.
Sina maana ya kubagua kwa namna yoyote ile ila nimesema hayo kwa nia njema ya Usalama wa Taifa langu Tanzania.
hivyo naomba maelezo yangu yasitafsiriwe vibaya. Nawapenda sana wasomali na pia ninao marafiki wa kisomali ambao ni wema.
Onyesha nilipombagua.Acha ubaguzi wewe kapigania nchi huyo,alisaidia kuyafurusha majeshi ya Uganda ndani ya ardhi ya Tanzania.NI MMOJA KATI YA MASHUJAA WA TAIFA LETU ACHA KUMDHIHAKI!!!!
Hii haina mantiki.Polisi watuambie s Chuki ya Hamza kwa polisi ilisababushwa na nini? kuna yale maneno aliyokuwa anayasema kuhusu Siro,Yale nayachukulia kwamba aliyaongea akiwa tayari akili zimesha mruka.Hapa ni serikali ichunguze watupe taarifa.vinginevyo haya maneno yanayozumzumzwa kwamba polis walimfanyia dhuruma yatabakia mioyoni mwetuWasomali kihistoria na kiasili ni watu hatari sana, Jirani zetu wa Kenya wanasumbuliwa sana na Jamii ya Kisomali. Sio wasomali wote ni watu hatari ila wengi wao ni hatari sana kwa usalama hivyo tunaomba watu hawa kama wapo wanaishi na kufanya kazi nchi basi wafuatiliwe kwa karibu nyenendo zao.
Jamii ya kisomali wapo ambao ni raia wema na wazalendo, tatizo lipo kwa wale ambao wanajihusisha au wana rekodi za kigaidi hao lazima wabainishwe na warudushwe walipotoka. Wapo baadhi yao wana rekodi za kihalifu tokea huko kwao.
Sina maana ya kubagua kwa namna yoyote ile ila nimesema hayo kwa nia njema ya Usalama wa Taifa langu Tanzania.
hivyo naomba maelezo yangu yasitafsiriwe vibaya. Nawapenda sana wasomali na pia ninao marafiki wa kisomali ambao ni wema.
Sipati picha angekuwa chademaAlikua ni MwanaCCM hivyo wapitie upya nyaraka za wanaCCM.
Dah wasikufuze bestKwa hiyo tukifukuzwa utafurahi kumoyo
Hapo ndo utaona waafrika tunavyo baguana, halafu tukibaguliwa na wazungu kelele kama zote, na tutataka ulimwengu mzima ujueduh...mbona harufu ya ubaguzi...hivi unakumbuka wiki kama sio miezi michache iliyopita kuna mtu alimdungua mtu na risasi naye akajidungua wakiwa baa...jee nayo ifuatiliwe ni kabila gani na wahukumiwe kulingana na kabila?
Asante brotherDah wasikufuze best
Karibu Sister naona mnapigwa zengweAsante brother
Anafikiri wasomali, warabu nk ni wakufunua funua tu uchi kwa kila mtu kama wabantu. Pumbavu sana.Si kweli mkuu Mwanamke wa kisomali zaidi ya ndoa huwezi mpata labda kwa bahati nasibu