Uhamiaji pitieni hapa

Uhamiaji pitieni hapa

XENOPHOBIA AT WORK@kumbe wazulu walikuwa sahihi????
 
MENGI hadi huku kwa moshi ndo amejaza akina HASUJI sis wazawa tunaonekana kama takataka mbele ya hawa jamaa
 
wageni ni ATM za maafisa uhamiaji, hawawezi wakakubali zibomolewe....na ndiyo wao huwatonya wageni kuwa, kimbieni leo tunakuja kuwakamata!
 
wataje tu mpaka waishe wote. na majambazi ya ajira hayo

Pamoja na hayo sisi watanzania tumezidi uvivu, kukosa ubunifu na wizi. ndio maana watu wanalazimika kuajiri kutoka nje, ingawa hata mimi suing mkono ajira za watu wa nje.
 
Bakhresa food products ltd(csd)
1.gm-south African
2.finance controllers-indian
3.production supervisors-kenyans
4.head plant cleaner-kenyan
5-epr officers & managers-kenyans and Indians
6.Boilers-philipines
7.electrical manager-indian
8.Cost controllers Kenyan
9.internal auditor-indian
10.Mis Manager-indian
Watanzania wenye degree,masters they are working as technicians,hakuna XENOPHOBIA,dharau tu hiI
 
Pamoja na hayo sisi watanzania tumezidi uvivu, kukosa ubunifu na wizi. ndio maana watu wanalazimika kuajiri kutoka nje, ingawa hata mimi suing mkono ajira za watu wa nje.
Naona huwajui wahindi wewe kwa wizi!
 
Sio Coca Cola kwanza tu mkuu,week kadhaa zimepita maafisa wa Uhamiaji toka Mkoa wa Kibaha walitembelea Makao Makuu ya Lake Oil Kibaha,pale tulitoa taarifa kuwa kuna wageni wengi wasio na uhalali wa kufnya kazi Tz,sbb kazi wanazofanya ni za kawaida sana ambazo zinaweza kufanywa na wazawa..Lakini wale mabos wasio na vibali walijifungia chooni na wengine walijificha darini,jamaa wa Uhamiaji wakaondoka na kurudi siku ya tatu yake
Wakala mkwanja wao then wakasepa,tulipowauliza wakasema wao hawana mamlaka ya kuwaondoa sbb vibali vya kazi vinatolewa na Idara ya Kazi na si wao Uhamiaji hivyo ikifika hapo wao hawana meno.Mpaka sasa pale Lake Oil kuna wahindi wasio na uhalali wa kukaa,wanatembea usiku tu mtaani mchana wanajifungia kwenye ofisi na magodauni...Tembeleeni tena Lake Oil kusafisha hawa wageni wasio na uhalali wa kukaa nchini,Uhamiaji Mkoa wa Kibaha hawa jamaa huwa wanafichwa chooni mkija
Mkoa wa kibaha?
 
Kama Hapa MOHAMED INTERPRISES Kuna Majipu Mengi Kweli STORE KEEPER WAKIHINDI ANALIPWA MILION 3 NA HANA CHETI CHOCHOTE LAKINI WA KIBONGO ANALIPWA LAKI NA NUSU NA ANA VYETI
 
Watu wa idara ya kazi ndio wanaopga madili hadi watu kunyonywa nchini mwao
 
wataje tu mpaka waishe wote. na majambazi ya ajira hayo
Kuna ndugu zetu wameajiriwa Ulaya pia nao vipi warudishwe? Nafikiri issue ni sheria zifatwe. Nafikiri kuna sheria inayosimamia wageni (expatriates) kufanya kazi yaaani kwenye utaoji vibali na condition za kupata hivyo vibali.

Kama issue ni vibali sawa una point, ila kama kufanya kazi tu basi sio issue sana mkuu
 
Bakhresa food products ltd(csd)
1.gm-south African
2.finance controllers-indian
3.production supervisors-kenyans
4.head plant cleaner-kenyan
5-epr officers & managers-kenyans and Indians
6.Boilers-philipines
7.electrical manager-indian
8.Cost controllers Kenyan
9.internal auditor-indian
10.Mis Manager-indian
Watanzania wenye degree,masters they are working as technicians,hakuna XENOPHOBIA,dharau tu hiI

Kwa kupitia hizo nafasi hapo juu pamoja na HOJA ya experience,ni watanzania wangapi wanaqualify na exipirience wameipata katika viwanda gani?Hawa jamaa wana invest a lot of cash and they are after profit, wanapotaka kupandisha company reputation lazima wawe na experienced guys.

Leo hii ukianzisha kiwanda ukahitaji wataalamu lazima umchukue MTU kutoka Azam au Bonite au Mohamed endapo utaangalia soko la ndani la ajira.Miaka ya mbeleni Azam atazalisha wazawa ambao wataweza kushindana katika soko LA ajira ndani na nje so lazima tukubali kuwa kuna baadhi ya taalumu tunaupungufu na endapo vijana tutakubali kuanzia chini tupate CV few years tutajisimamia wenyewe.

Tusikate tamaa ila tuwe na nidhamu na malengo one day we will reach there
 
Kuna ndugu zetu wameajiriwa Ulaya pia nao vipi warudishwe? Nafikiri issue ni sheria zifatwe. Nafikiri kuna sheria inayosimamia wageni (expatriates) kufanya kazi yaaani kwenye utaoji vibali na condition za kupata hivyo vibali. Kama issue ni vibali sawa una point, ila kama kufanya kazi tu basi sio issue sana mkuu
hela anayolipwa mhindi hapa tofauti na mbongo aliyeko ulaya
 
Pole sana mdau kwa kadhia hii ya wageni, hili swala ni sugu na baya sana, mimi nimefanya kazi kwenye kiwanda cha sukari kagera, farm maneger kipindi hicho alikuwa msauz, alikuwa analipwa dola elfu arobaini na tano, sasa wakati tunakarabati kiwanda kampuni moja ya ALSTOM POWER, chini ya usimamizi wa wakala aitwaye BOSCH PROJECT, Walidai hawakupapata international certified steam special treated tubes welders in Tanzania, badala yake ana kazi zingine zote ikabidi wachukue technicians from INDIA, MOURITIUS, SOUTH AFTICA , SWAZLAND, MOZAMBIQUE, NA KENYA, KENYA WALIWATOA MUMIAS SUGER, SONY NA UGANDA WALITOA UGMA, KAKIIRA SUGAR, WANNE TOKA SUDANI. Watanzania lipewa wibarua tukawa tnalipwa 2000 kwa siku na tukawekewa clocking machine ukiingia unaingiza kadi inasoma mda wao walilipa mda unao fanya kazi tu saa zingine mfano mimi nilikuwa natunza vifaa na ninaishi kilomita kumi na sita toka kiwandani , natakiwa niwahi saa moja kamili kazi inakuwa imeanza, nilitumia baiskeli, kazi ikiisha saa moja jioni, so nikichelewa nakuta makofuli wameyakata na grenda na hiyo inakula kwangu, saa zingine ningeweza kuambulia patupu hela zote zimelipa makofuli, tuliitwa mahelper, niliposoma huyu bwana alicjoandika hapo juu nikaguswa kuwaonyesha jinsi mzawa asivo thaminiwa kwenye kazi za kitaalamu, nawaombeni mwenye uwezo wa kusoma techinical jobs za kuoperate mitambo, kama vile boillers, mills, na nyinginezo asome, tuondokane mtu unadai una degree na hauwezi hata kuonyesha kivitedo, mfano mainjinia wengi tu hawawezi kufabricate , to cut and weld, hata design nyingi za hawa vijana wa DIT zinatiliwa shaka sana, utakuta acuracy yake sio exactly the actual design iliyo kusudiwa, let us be more practical than theoretical, fulsa za viwandani zipo ila mafundi hampo, kule hawataki wasimamizi , wanahitaji wapiga nyundo, washika misumeno, wabebaji, material handlers , riggers, scalfodig preperaton techs nk, so wewe ukienda pale hujui kuchomelea unategemea nini? Wengi tunawaweka bench na wengi ni wazembe, story nyingi, ungo na forgery za over time, tujirudi kabla hatujawablame wageni, MNISAMEHE KWA KUWAKERA KIHIVI
 
Bakhresa food products ltd(csd)
1.gm-south African
2.finance controllers-indian
3.production supervisors-kenyans
4.head plant cleaner-kenyan
5-epr officers & managers-kenyans and Indians
6.Boilers-philipines
7.electrical manager-indian
8.Cost controllers Kenyan
9.internal auditor-indian
10.Mis Manager-indian
Watanzania wenye degree,masters they are working as technicians,hakuna XENOPHOBIA,dharau tu hiI

Kwa kupitia hizo nafasi hapo juu pamoja na HOJA ya experience,ni watanzania wangapi wanaqualify na exipirience wameipata katika viwanda gani?Hawa jamaa wana invest a lot of cash and they are after profit, wanapotaka kupandisha company reputation lazima wawe na experienced guys.Leo hii ukianzisha kiwanda ukahitaji wataalamu lazima umchukue MTU kutoka Azam au Bonite au Mohamed endapo utaangalia soko la ndani la ajira.Miaka ya mbeleni Azam atazalisha wazawa ambao wataweza kushindana katika soko LA ajira ndani na nje so lazima tukubali kuwa kuna baadhi ya taalumu tunaupungufu na endapo vijana tutakubali kuanzia chini tupate CV few years tutajisimamia wenyewe.Tusikate tamaa ila tuwe na nidhamu na malengo one day we will reach there
Well said mkuu,constructive ideas,tatizo hawatakagi kuondoka,au hata kuachia ujuzi wazawa,kuna post hapo hazihitaji uzoefu,fresh from school anafanya,hata cleaning pia,electrical engineers wako kibao tz,watu wa BAF,CPA hell noo.
 
Back
Top Bottom