Uhamiaji pitieni hapa

Uhamiaji pitieni hapa

Kulingana na maoni ya wengi katika Uzi huu ni kwamba watanzania tunawafahamu waalifu walipo na hatuna ujasiri wa kushirikiana na taasisi zetu kuhakikisha wanakamatwa,
Nikichukua mfano wa Coca cola kwanza mikocheni na Lake oil Kibaha- yaonyesha watu wanajua maali waalifu walipojificha au wanapojificha lakini inapofika mahali pakushirikiana kuwafichua hatuna uthubutu.

Makampuni mengi ndani ya nchi yana HRs ambao ni Watanzania lakini watendaji wa serikali wanaporipoti kwao huwa wa kwanza kuyafumbia macho maovu.Kwa mtizamo wangu ni kwamba, watendaji wa serikali wana mipaka na si kila wakati wanaondoka sehemu kwa sababu ya rushwa bali wakati mwingine hukosa ushirikiano.
Pia suala LA vibali vya kufanya kazi lipo mikononi mwa labour na Uhamiaji wanachohusika nacho ni ukaazi.

(Residence and working permit are too different documents issued by two independent organization) Tukiwapa hawa mabwana ushirikiano lazima haki itatendeka,
 
jitumeni acheni ku panic bila sababu...ninyi competence zero unategemea nani akuajiri...kwa taarifa yako Coca-Cola kwanza ni Ya mengi...hadi kufikia kuajiri wageni ninyi ni incompetent. ...
incompetent y'A%s%s kumbe sikukosea kukuita poyoyo
 
Kwakweli nchi hii inasikitisha sana. Vijana wetu wanalia hawana ajira huku baadhi ya nafasi za ajira wanapewa wageni kutoka nje tena kinachosikitisha zaidi unakuta kazi wanazofanya hata watanzania wanaweza kuzifanya. Tena utakuta hao wageni hata vibali vya kufanya kazi hapa nchini hawana.

Tazama, mimi ni mwajiriwa kwenye kampuni ya Cocacola Kwanza ( Mikocheni ). Hapa kwetu Secretary wa mkurugenzi ( MD ) ni raia wa Somalia.

Operation manager ( Oloto ) ni Mkenya

Warehouse manager ( Otaigo ) ni Mkenya

Country Salle's and marketing ( Nalacka ) ni muhindi

Logistic manager ( Pankaj ) ni muhindi

Hapa kwetu yupo fundi gereji mzungu hata kiswahili tu hajui. ( Hivi nchi hii haina mafundi gereji bingwa hadi waje hawa wazungu?? )

Ndugu zangu, hawa niliowataja hapa juu ni wachache mno. Ukweli ni kwamba kuna wageni wengi sana hapa Cocacola. Mishahara wanayolipwa ndo balaa sasa. Kuna watu hapa Cocacola kwanza wanafahamika kama experts. Hawa ndo usiseme kabisa. Kwanza inasemekana wanalipwa kwa dollar. Tazama, hawa watu kila ijumaa wanapewa laki 6 kila mmoja ( pesa ya kutumia weak end). Nyumba, gari, mafuta, chakila matibabu nk wanalipiwa na kampuni. Na kwa kweli kazi wanazofanya hata hawa vijana wetu wa kitanzania wanaweza kabisa kuzifanya.

Juzi maafisa wa uhamiaji walifika hapa kazini. Lakini wageni wote walishtuana na kutoweka na wengine magari yao waliyaterekeza. Mwishowe maafisa hao wa uhamiaji wakaishia kuwakama vijana wadogo wadogo ambapo mmoja tunamfahamu ni mkenya. Ila wale vigogo walitoweka karibu wote. Sasa hivi hawa watu wanakuja kazini kwa kunusa tu yaani kwa kuchungulia.

Maafisa wa uhamiaji hebu njooni tena hapa Cocacola Kwanza ltd (mikocheni ) mje mfanye msako wa kina. Kuna wageni kibao hapa. Njooni jamani. Tena muanze na Oloto , Otaigo na Pankaj maana hawa watu wanajiona wadogo zake mungu mbele ya wazawa.

( Nchi hii itaendelea kweli kama tukiwazarau wazawa na kuwajari wageni? )


Waache wageni wapige kazi

Nyie kachezeni kidali poo

Ama vepeeee
 
Hii Idara ya Uhamiaji ilitakiwa ivunjwe kabisa iundwe upya/nyingine

Hawa watu wanachojua ni kupokea rushwa tu.
Umeongea Point Sana Kuna Wahindi Kibao Hapa Nchini Wanatembea Usiku Tu Mchana Wanajifungia
 
hapa ni nini hasa..wivu wa watu kulipwa laki sita ya chakula au?

hio ni kampuni binafsi arif
Mshkaji ana wivu wa kike,wenzio unamwona kama msomali lakini ni raia wa Tanzania!Pili,hao Wadosi ni experts,

Je hakuna watanzania wafanyao kazi abroad,Mwanao ama mkeo akipata ajira Marekani we si unafurahi,Mbona wivu wa kike huo!
 
hapa ni nini hasa..wivu wa watu kulipwa laki sita ya chakula au?

hio ni kampuni binafsi arif
hili jamaa akili yakeina matatizo nenda nchi nyingine uishi au kufanya kazi bila kibali ndio utajua kwanini tunatakiwa kuchukua hatua
 
jitumeni acheni ku panic bila sababu...ninyi competence zero unategemea nani akuajiri...kwa taarifa yako Coca-Cola kwanza ni Ya mengi...hadi kufikia kuajiri wageni ninyi ni incompetent. ...

Chadema muwe makini sana tena sana uchaguzi ujao mnaweza msipate jimbo lolote labda kwenu kaskazini. Watu wanaiona rangi yenu halisi sasa.
 
Acha ujinga wewe , una akili kweli au we ni chizi.?? Unaelewa haya maswala ya ajira?

kapanic huyu na binafsi hua siongeagi na watokwa povu nakuachia huyu mkuu!
jitumeni acheni ku panic bila sababu...ninyi competence zero unategemea nani akuajiri...kwa taarifa yako Coca-Cola kwanza ni Ya mengi...hadi kufikia kuajiri wageni ninyi ni incompetent. ...
 
Kabla ya kulalamika saana tunapaswa kujiuliza kwanini mtu kama Mengi, mtanzania, mzawa yupo tayari kuajiri mhindi toka nje ya nchi na amlipe mshahara mkubwa, etu badala ya mtanzania mwenzake, hii kutokana na utendaji wa kazi tunafanya kazi kwa mazoea.

Tunapewa gari ya ofisi tukitumwa tunataka kupakia abiria, tunapewa kazi kitu cha kwanza tunafiria tutaiba vipi, nenda katika maduka ya spea mfanyakazi anakuahidi wakati wa wapumziko utapatiwa spea,

Tunatakiwa tujifunze kuishi na kuridhika kile tunachopata na kufanya kazi vizuri. Mfanyabiashara gani atapenda amlipe mfanyakazi mshahara mkubwa kama atampata mtanzania kwa kumlipa mshahara wa chini badala ya mgeni ambae anatakiwa amlipie permit, ampe nyumba ya kuishi na mshahara mkubwa. kwa mfanyabiashara muhimu kwake kwanza kwa mfanyakazi ni uaminifu na utendaji mzuri wa kazi sio uzawa.
 
Wabongo mko shallow kwenye soko la ajira..incompetence..wavivu kujituma na wala hamna ubunifu..
na nyie wagunya? wezi wa kubwa wa rasilimali za wazawa na manakuja na gene
Wabongo mko shallow kwenye soko la ajira..incompetence..wavivu kujituma na wala hamna ubunifu..

na nyie wagunya wezi wakubwa? mbona huongelei kuwa hapo idarani pako ww unalipwa mshahara wa bure kazi zote zinafanywa na sie utuitao incompetent .........stu.pi,d bast,stard!😡
 
na nyie wagunya? wezi wa kubwa wa rasilimali za wazawa na manakuja na gene


na nyie wagunya wezi wakubwa? mbona huongelei kuwa hapo idarani pako ww unalipwa mshahara wa bure kazi zote zinafanywa na sie utuitao incompetent .........stu.pi,d bast,stard!😡
Hamfanyi kazi bali tunawatuma kufanya kazi...wenyewe hamuwezi kujiongoza...mnaweza kuiba tu..
 
Uhamiaji hawahusiki na vibali vya kazi wao ni vibali vya makazitu toa taarifa Idara ya Kazi
 
jitumeni acheni ku panic bila sababu...ninyi competence zero unategemea nani akuajiri...kwa taarifa yako Coca-Cola kwanza ni Ya mengi...hadi kufikia kuajiri wageni ninyi ni incompetent. ...
Suala siyo kuajiriwa wageni, suala ni wageni kuwa na makaratasi yanayowaruhusu kuajiriwa.

Kwani Coca-Cola Kwanza ikiwa ya Mengi ndio isimulikwe na vyombo vya dola?
 
nani amekwambia hawana uhalali?

we hujui tu...Hakuna mijitu mibaguzi kama mijitu meusi ...huoni yanachofanya zanzibar
Mkuu Freeland ubaguzi wa Waafrika unatokana na wao kubaguliwa kwa kiasi kikubwa sana..kwanhiyo ile hali ya wao kubaguliwa kwa miaka na miiaka inawafanya na wao kuwa na "roho ngumu" ya kubagua...Ukitaka kujua hilo,basi soma sehemu ya Quotes ya Mario Balotelli
image.jpeg
 
Hahaha ....my friend Nalacka ....sasa wataondoka kweli ....
 
Waache wageni wafanye kazi, sisi tukatekeleze sera ya kilimo kwanza
wewe ni pumbaf na lofa. kwanin unakuwa mjinga hivi. ufanyweje uwe mzalendo. wanawake kama nyinyi mkiwa hata hamsini hapa nchini nchi haitakaa iendelee kamwe
 
Back
Top Bottom