Godfirst
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 406
- 468
Habari wanajamvi,
Leo asubuhi tumepata ugeni wa afisa Toka uhamiaji. Hapo ndiyo nlipojua madudu ya Hawa jamaa.
Ofisi ni ya wachina wameonyeshwa passport wakajiridhisha ila wakawa wanatuhoji Kwa nguvu Kwa kufoka pili wanaongeza vitu vingine ilimradi tu wapate pakuwakawamata Ili watoe fedha.
Wakaona mchina kawashinda wamemchukua mfanyakazi tokea saa sita mpaka mda huu hawajamuachia Kwa kigezo Cha kwamba aliwapiga picha hivyo wanataka laki tano ili wamuachie simu.
Waliingia ofisi ya pili jirani na hapa waliwakuta wachina wawili hawajatembea na passport na sizani kama Wana vibali sababu ni wageni wakapozwa na laki mbili wakawaachia.
Sisi mtu wetu Bado kabebwa na hao maafisa uhamiaji sijui wanampeleka wapi.
Sawa Tanzania imekua nyumba ya mchumia tumbo ila Bora wange deal na huyu mchina wakamuacha huyu wa kwetu.
Wamemfanya kama chambo mpaka tutakapotoa laki tano ndio watamuachia.
Shame on those migration officers who don't work accordingly they work for their pockets.
Leo asubuhi tumepata ugeni wa afisa Toka uhamiaji. Hapo ndiyo nlipojua madudu ya Hawa jamaa.
Ofisi ni ya wachina wameonyeshwa passport wakajiridhisha ila wakawa wanatuhoji Kwa nguvu Kwa kufoka pili wanaongeza vitu vingine ilimradi tu wapate pakuwakawamata Ili watoe fedha.
Wakaona mchina kawashinda wamemchukua mfanyakazi tokea saa sita mpaka mda huu hawajamuachia Kwa kigezo Cha kwamba aliwapiga picha hivyo wanataka laki tano ili wamuachie simu.
Waliingia ofisi ya pili jirani na hapa waliwakuta wachina wawili hawajatembea na passport na sizani kama Wana vibali sababu ni wageni wakapozwa na laki mbili wakawaachia.
Sisi mtu wetu Bado kabebwa na hao maafisa uhamiaji sijui wanampeleka wapi.
Sawa Tanzania imekua nyumba ya mchumia tumbo ila Bora wange deal na huyu mchina wakamuacha huyu wa kwetu.
Wamemfanya kama chambo mpaka tutakapotoa laki tano ndio watamuachia.
Shame on those migration officers who don't work accordingly they work for their pockets.