Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

kuna kada ambazo ni hovyo kuliko hata jeshi la polisi

ilq ni vile tu mambo yao hayapo wazi km policm
 
Unapandaga gari za wapi kwenda Lusaka, maana wanakagua mpaka mizigo na hii ni tofauti na kwetu Tanzania mpaka wapate taarifa.
soko la Comesa hufanya ukaguzi mara kwa mara uwe na pasipoti usiwe nao wanakudaka, wamasai ndio wanakoma.
comesa hawajaanza leo na ukaguzi wa Zambia mnashuka wote ndio wanakagua mmoja mmoja mmoja , nina vijamna wengi hapo Zambia kuanzia Chisato, Isoka,chinsali,Mpika, mkushi , chilanga,kafue mpaka chilundu achilia mbali hapo Livingstone na Lusaka na Chilundu border.
hivyo najua ninachosema halafu Zambia haishindi sheria kali Australia immigration
Tuludi kwenye hoja ya msingi jamaa humu anasema immigration hawapaswi kumuhoji mtu eti kisa Watanzania wanafahamiaka ndio nikamjibu hii nchi sio homogeneous country hivyo wana haki ya kuhoji ili kuthibitisha akitlea mfano wa afisa Takukuru, unaonekana umesafiri sana je hii ni sawa, Zambia kama case study hapa ni nchi yenye sheria ngumu za immigration je wazambia wangemchukulia sheria gani pia kumbulka Zambia immigration wana detention zao.
Je wasipohoji watajuaje huyu ni raia na huyu sie,

Je mama mjamzito nana haki ya kuvunja sheria, kwa maelezo yao na sympath zilizopo humu, unafikiri afisa alitenda sasawa
anasema alitekelezwa je ana ushahidi?
Mhamiaji haramu lakini hatuna ushahidi wa status yake kwamba ni kweli au hapana , kisa ana matatizo haachwe
Nijibu Mwanafyale
Kamateni watuhumiwa wenu na mmalizane huko si kutuachia zigo sisi raia tuhudumiwe watuhumiwa wenu! Mbona Magereza hawawatekelezee wafungwa wao hata Kama ni wajawazito! Watazaa hata na pingu huku Mahosipitalini hadi wamalizane salama!!
 
Wewe Mkuu mbona mgumu kuelewa nifoji reg ili iweje nipo kama Mtanzania nafanya shughuli zangu Tanzania,SA na Zambia kidogo mambo ya kufoji documents ilikua miaka ya 2000 huko unachukua uraia wa SA kwa ajili ya kupata kazi na mambo mengine wengine walikua wanachukua ukimbizi wa Pemba ili wapate permit za kazi au Rwanda humu kwingine hakuna mambo hayo na mambo yanakwenda kwa sasa hivi hii passport mpya huwezi kufanya chochote ndio mwisho wa matatizo...mimi mambo ya safari siwazi nimeanza mapema mno...Nishawahi ingia Angola na passport ya Malawi nikitokea SA ili nikauze vitu enzi hizo kupata visa yao ilikua inasumbua mno kwetu ila Wamalawi walikua wanapeta leo hii kuniulizia cheki point unanishangaza...
Nilisema Mimi, kumbe wewe ni mtundu zaidi mpaka kufoji pasipoti ya Malawi hakika sikuwezi.

Huo mchezo mpaka Leo unaendelea pale Zambia, si unawajua wabongo wengi wanatumia pasipoti ndogo hivyo hawawezi kulipia permit

Basi hucheza hiyo michezo nikipata reg naishi kama Mzambia na nikija Bongo nakuwa Mbongo haijaisha miaka ya elfu mbili(2000)

Na ukaguzi upande wa Zambia uko pale pale tusidanganyane mkuu.
 
Nilisema Mimi, kumbe wewe ni mtundu zaidi mpaka kufoji pasipoti ya Malawi hakika sikuwezi.

Huo mchezo mpaka Leo unaendelea pale Zambia, si unawajua wabongo wengi wanatumia pasipoti ndogo hivyo hawawezi kulipia permit

Basi hucheza hiyo michezo nikipata reg naishi kama Mzambia na nikija Bongo nakuwa Mbongo haijaisha miaka ya elfu mbili(2000)

Na ukaguzi upande wa Zambia uko pale pale tusidanganyane mkuu.
Uzi wangu wa mwisho kuposti hapa
 
Zambia ndio Nchi inayoongoza kwa sheria kali kwa wageni ila sio kuwashusha raia akiwa hana reg atashushwa mgeni kama hana kitambulisho wao wanauliza maswali tuu ili kuthibitisha kama raia kweli Wazambia wanathanini sana raia wao na wanawaamini raia wao wakiongea ni wakweli...nimeshinda sana kamwala market na sasa wameamia Comesa kwenye soko la wageni na tuna vijana bado wana maduka hapo na nyumba za kupangisha..SA si wanakamata sana wasio na passport ila raia hata asiwe na chochote akijitambulisha tuu na wao wanajua aguswi...hiyo ya geti kushushwa haipo afisa uhamiaji anaingia ndani ya bus kwa alie na mashaka nae ndie anashuka sio wote mshuke chini mpande kwa kitambulisho Wazambia ni watu wabishi hawawezi kufanyiwa hivyo hasa bara bara ya Nakonde mpaka Livingstone au Chirundu boarder...
Ila mkuu Zambia ndio ina wageni wengi wanashika nafasi nyeti, kuna maofisa Wa Polisi Zambia ni wachina.Wachina wengine ni wabunge nchini Zambia
 
Back
Top Bottom