Uhaba wa vijana watengeneza kucha

sijui watu washarudi kijijini zamani vijana walikuwa wanapita mitaani tunapata huduma za kuoshwa miguu hadi nyumbani.
sasa hivi hata masaluni wameadimika hadi usubirie
kweli hali ngumu.
Mambo yamebadilika, jifunze kuosha miguu na kujipaka rangi mwenyewe labda kama unakitambi ambacho kinakuzuia kuinama
 
Miss Natafuta,

Unataka kitu kama hiki hapa huko chumbani kwako eeeeh !?
Teeeh teeeh teeeh teeeh teeeh Haaa haaa Haaa haaa Haaa.
Nimekereka sana hii pic... Kumbe ndo ujinga n upuuz mnaouwaza huu? Hovyooo
 
mkuu hayo ya mama yanatoka wapi sasa, we si umesema unahitaji kuogeshwa miguu, nami nikasema nipo mimi.
NIMEGUNDUA HUKU JF WANAUME AMBAO WANAISHI NA BABA AMBAO SIO BABA ZAO NA DADA ZAO WAMEACHIKA WANAPENDA SANA KUITA WANAWAKE MALAYA HUMU SO SIKUSHANGAI HATA
 
Sijui watu washarudi kijijini!! Zamani vijana walikuwa wanapita mitaani tunapata huduma za kuoshwa miguu hadi nyumbani.Sasa hivi hata masaluni wameadimika hadi usubirie,kweli hali ngumu.
Polee! Sasa hivi vijana wengi wameajiriwa kwenye industry ya boda boda. Kwenye biashara ya kucha utawasubiri sana... Kama salon pamejaa, nione niwe nakupa private services at your home or at my home:D:D:D...
 
Acha upoyoyo na porojo rukuki za kitumwa.

Miezi na siku zote ni tukufu.

Pumba.fu sana weye, ndiyo ninyi mnaacha uovu siku za mwezi mmoja baada ya hapo mnaanza kufanya maovu ya kila aina baada ya huo mwezi mtukufu.
Umemaliza kuongea!?
 
unajua massage ya mwili sehemu yoyote ni dawa ! sio mpaka uandikiwe na daktari
Watu wengi huwa wanatumia hoja ya kitu kinachikubalika kuhalalisha vitendo viovu wanavyikusudia kuvifanya,mfano wewe kuhalalisha ufanyiwe massage eti nu dawa wakati behind the curtain unataka kuliwa hovyo bila nidhamu matokeo yake mnasababisha vijana tunachelewa kuoa,mngekua mnabana papuchi tungeoa kea wakati muafaka.Jikandeni wenyewe nyie wadada.
 
NIMEGUNDUA KWA NINI WANAWAKE WENGI WAZURI WANANUKA PAPUCHI, KUMBE NI WAZEMBE KINOMA SASA KAMA MIGUU MPAKA UOSHWE PAPUCHI SI NDO KABISAA,!!!!!!!!
MWAFAAAAAAA!!!!
 
Watu wengi huwa wanatumia hoja ya kitu kinachikubalika kuhalalisha vitendo viovu wanavyikusudia kuvifanya,mfano wewe kuhalalisha ufanyiwe massage eti nu dawa wakati behind the curtain unataka kuliwa hovyo bila nidhamu matokeo yake mnasababisha vijana tunachelewa kuoa,mngekua mnabana papuchi tungeoa kea wakati muafaka.Jikandeni wenyewe nyie wadada.
NIMEGUNDUA HUKU JF WANAUME AMBAO WANAISHI NA BABA AMBAO SIO BABA ZAO NA DADA ZAO WAMEACHIKA WANAPENDA SANA KUITA WANAWAKE MALAYA HUMU SO SIKUSHANGAI HATA
 
Room kufanya nn???
Kwa saikolojia yakawaida anataka wawe wanamla hovyo,huyu ni mdada ambaye anawakilisha wanawake wasiokua na maadili ambao kila siku nawapinga popote nilipo kwani ndio wanaofanya watoto waharibike mapema nakua na jamii isiyokua na maadili na meishowe kuligharimu taifa pale matokeo yanapoonekana wazi kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom