Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,543
- 45,786
- Thread starter
- #21
usiwaze ngono tu maisha ni zaidi ya ngono mkuuHaya
usiwaze ngono tu maisha ni zaidi ya ngono mkuuHaya
Wapi nimeandika ngono? siyo watu wote wanawaza kama wewe.usiwaze ngono tu maisha ni zaidi ya ngono mkuu
sijui watu washarudi kijijini zamani vijana walikuwa wanapita mitaani tunapata huduma za kuoshwa miguu hadi nyumbani.
sasa hivi hata masaluni wameadimika hadi usubirie
kweli hali ngumu.
Dah miss! Yaani mtu umpeleke room kwako kukusafishia kucha!inabidi nijioshee tu mguu wangu mwenyewe .yani zamani walikuwa wanatufata hadi home wewe tu hata ukiamua kumpeleka room
Mm hiyo ndio kaz yangu sema uko wap nije nikupe Huduma kwa bei nafuu,,,kama uko serious pm plzsijui watu washarudi kijijini zamani vijana walikuwa wanapita mitaani tunapata huduma za kuoshwa miguu hadi nyumbani.
sasa hivi hata masaluni wameadimika hadi usubirie
kweli hali ngumu.
Bush watu wanafanyiwa na nani massage?
MaybeBabati,
Bush watu wanafanyiwa sana zaidi ya town, kama hujui hilo, ulizia wanaochunga ng'ombe , wanaookota kuni porini na wakati wa kuandaa mashamba.
Niliona kitu ambacho sitakaa nisahau maishani mwangu weeeee achaa
Hujawaona wanaobebewa mimba?Kwa nini usioshe mwenyewe mpaka uoshwe? acheni uvivu, itafika sehemu hata kuzaa mtatafuta watu wa kubeba mimba badala yenu.
si unajua mabafu yapo chumbani nyumba ni self sasa utaogeshwa nje? msiwaze ngono jamaniDah miss! Yaani mtu umpeleke room kwako kukusafishia kucha!
Post zako me huziona kama fun, sizipiti bila kuzisoma.
Tatizo jf kila mmoja ana mbingu yake. Hamuwezi kukutana na kumu-admire mtu unayevutiwa na vituko vyake.
Kiukweli na mtaalamu wa kuhamisha stress.
ahahaaaaHao ndio wanawake wa kisasa. Hawawezi kuosha hata miguu yao wakiamini kuwa wanapooshwa na wanaume hutakata zaidi. Shame.
Huna lolote shida yako kupelekwa room tuinabidi nijioshee tu mguu wangu mwenyewe .yani zamani walikuwa wanatufata hadi home wewe tu hata ukiamua kumpeleka room
Hahahaha, eti hadi room! duu!inabidi nijioshee tu mguu wangu mwenyewe .yani zamani walikuwa wanatufata hadi home wewe tu hata ukiamua kumpeleka room
ahahaaaHuna lolote shida yako kupelekwa room tu
inategemea bafu lako lipo wapi?Hahahaha, eti hadi room! duu!
Ni kweli kabisa, Ila si hata kibarazani anakuosha tu, ndoo na beseni tu vinatakiwa mkuu!inategemea bafu lako lipo wapi?