Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
- Thread starter
- #41
kila mtu ana kibaraza?Ni kweli kabisa, Ila si hata kibarazani anakuosha tu, ndoo na beseni tu vinatakiwa mkuu!
kila mtu ana kibaraza?Ni kweli kabisa, Ila si hata kibarazani anakuosha tu, ndoo na beseni tu vinatakiwa mkuu!
sijui watu washarudi kijijini zamani vijana walikuwa wanapita mitaani tunapata huduma za kuoshwa miguu hadi nyumbani.
sasa hivi hata masaluni wameadimika hadi usubirie
kweli hali ngumu.
ahahaaa kama wa bajaji .wengi hawalipwi hataMaisha yamekuwa magumu na wao wanasoma upepo wamehamia kwenye kazi nyingine kwanza Mara nyingi huwa hamuwalipi hela mnawalaghai mnawashika shika videvu na kuwarembulia tu wadada wengi wanaopenda urembo mnapenda mseleleko kwa nn?
Basi sawa, nimekuelewa!kila mtu ana kibaraza?
sijui watu washarudi kijijini zamani vijana walikuwa wanapita mitaani tunapata huduma za kuoshwa miguu hadi nyumbani.
sasa hivi hata masaluni wameadimika hadi usubirie
kweli hali ngumu.
Hukuchukua namba zao ?inabidi nijioshee tu mguu wangu mwenyewe .yani zamani walikuwa wanatufata hadi home wewe tu hata ukiamua kumpeleka room
Kwa nn lakini mnakuwa hamna huruma eti alafu hata papuchi yenyewe bora mñgekuwa mnawapa bc wajipozeeahahaaa kama wa bajaji .wengi hawalipwi hata
kwani mimi naishi kwako?hili kabila la waosha kucha sijui wapaka rangi sitaki hata kulisikia,nilishalipiga marufuku nyumbani kwangu hata kabla sijaoa
acha tu siku moja bwana nilikuwa na shosti wangu wa mbali tukachukua bajaji toka kunduchi,tukaenda kinondoni ,tukarudi mikocheni misele yote hyo hakupewa hata mia hadi niliona aibu.lidada la kikenya hadi siku hizi sipendi kutoka nae maana anakuita kumbe hana hata miaKwa nn lakini mnakuwa hamna huruma eti alafu hata papuchi yenyewe bora mñgekuwa mnawapa bc wajipozee
Tatizo wanawazoea vibaya ingekuwa ni dereva isingemuacha salama hata mapaja angeyatanua tu maana wale mabwana kwa kuforce hadi ma star wanagegedwa sembuse huyo mkenyaacha tu siku moja bwana nilikuwa na shosti wangu wa mbali tukachukua bajaji toka kunduchi,tukaenda kinondoni ,tukarudi mikocheni misele yote hyo hakupewa hata mia hadi niliona aibu.lidada la kikenya hadi siku hizi sipendi kutoka nae maana anakuita kumbe hana hata mia
kwani mimi naishi kwako?
BadoHujawaona wanaobebewa mimba?
Mwezi mtukufu