Uganda Vs Rwanda kimenuka

Uganda Vs Rwanda kimenuka

Hali ni tete katika mahusiano kati ya Rwanda na Uganda.



Ikumbukwe tu nchi zote hizi mbili ni "dola za kijasusi" kutokana na backgrounds za watawala wake (both Kagame na Museveni ni majasusi wabobevu).

Nchi zote mbili ni majirani zetu na wanachama wenzetu kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sio siri kuwa Jiwe na Kagame ni kama chanda na pete, japo pia uhusiano wa Jiwe na Museveni sio mbaya.

Pengine Rwanda na Uganda zikiingia vitani haitotuathiri kwa lolote lakini what if Kagame akitaka kumtumia Jiwe/kuitumia Tanzania kama PROXY? ("Proxy war" ni vita ambapo nchi zenye uadui zinapigana bila zenyewe kuwepo vitani moja kwa moja. Mfano wa proxy war ni Yemen na Syria ambapo Iran na Saudia technically zipo vitani huku Yemen na Syria zikiwa ndio "proxies").

Lakini pia nchi inaweza kuwa "proxy" katika scenario hii (God forbid)- Rwanda na Uganda zaingia vitani, kisha Burundi ikaiunga mkono Uganda (kwa sababu ya uhasama baina ya Kagame na Nkurunziza) na sie tukaiunga mkono Rwanda (kwa sababu ya uswahiba kati ya "Mtu Mrefu Paulo" na Jiwe)

Kijasusi, tayari Rwanda na Uganda wapo vitani. Vita ya kijasusi. Na "kwa vile Dar imesheheni majasusi wa mataifa mbalimbali kama ilivyo Brussels, Ubelgiji (soma zaidi hapo chini)" basi nayo technically ni sehemu ya vita hiyo.



I hope busara zitatawala kwa wahusika kuepusha vita kati yao.

#FoodForThought

Sent using Jamii Forums mobile app

Childish analysis
 
Hali ni tete katika mahusiano kati ya Rwanda na Uganda.



Ikumbukwe tu nchi zote hizi mbili ni "dola za kijasusi" kutokana na backgrounds za watawala wake (both Kagame na Museveni ni majasusi wabobevu).

Nchi zote mbili ni majirani zetu na wanachama wenzetu kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sio siri kuwa Jiwe na Kagame ni kama chanda na pete, japo pia uhusiano wa Jiwe na Museveni sio mbaya.

Pengine Rwanda na Uganda zikiingia vitani haitotuathiri kwa lolote lakini what if Kagame akitaka kumtumia Jiwe/kuitumia Tanzania kama PROXY? ("Proxy war" ni vita ambapo nchi zenye uadui zinapigana bila zenyewe kuwepo vitani moja kwa moja. Mfano wa proxy war ni Yemen na Syria ambapo Iran na Saudia technically zipo vitani huku Yemen na Syria zikiwa ndio "proxies").

Lakini pia nchi inaweza kuwa "proxy" katika scenario hii (God forbid)- Rwanda na Uganda zaingia vitani, kisha Burundi ikaiunga mkono Uganda (kwa sababu ya uhasama baina ya Kagame na Nkurunziza) na sie tukaiunga mkono Rwanda (kwa sababu ya uswahiba kati ya "Mtu Mrefu Paulo" na Jiwe)

Kijasusi, tayari Rwanda na Uganda wapo vitani. Vita ya kijasusi. Na "kwa vile Dar imesheheni majasusi wa mataifa mbalimbali kama ilivyo Brussels, Ubelgiji (soma zaidi hapo chini)" basi nayo technically ni sehemu ya vita hiyo.



I hope busara zitatawala kwa wahusika kuepusha vita kati yao.

#FoodForThought

Sent using Jamii Forums mobile app

Proxy war? Excuse me please.
 
We unajua maana ya proxy war?yaani Tanzania iwe uwanja wa vita kati ya Rwanda na Uganda?wakt huo huo unasema jiwe ataunga mkono upande gani kwa vita unayoizumgumzia?Haya Yemen na Syria ni proxy war ya Saudia na Iran,sasa Tanzania iwe proxy ya Uganda na Rwanda jamn wakuu huyo Jamaa anajielewa kwel?

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha porojo weka maelezo kutetea hoja yako.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hili jambo sio jepesi kama vile tunavyolijadili humu, na ukizisoma baadhi ya comments hapo juu unaona kabisa kuna tofauti kubwa ya uwezo wa wachangiaji kwenye mambo ya diplomasia na mahusiano.

Kwanza mtambue hili, sasa hivi watu wanafanya kazi chini chini kuhakikisha hii hali haiendelei.. majasusi wanapanda ndege au tayari wapo Kigali na Kampala kusaidia kuhakikisha hakuna vita. Pili kwa kuwa ni Kenya na Tanzania peke yao ndio stable countries katika ukanda huu, ujue tu kuwa wataubeba huu mzigo wa mashauriano.

Vita ya Uganda na Rwanda HAINA FAIDA YOYOTE KWETU, zaidi sana ni HASARA. Kwanza kukiwa na vita hamna Biashara, bandari zetu na miradi yetu ya miundombinu kwa kiasi kikubwa inategemea sana amani na maendeleo ya biashara katika hizo nchi. Pili wakimbizi, ukiwa unachekelea Ug na Rw kupigana utambue kuwa ni Tanzania ndio itapokea wakimbizi wengi, tegemeeni uhalifu na ujambazi pia kuongezeka... Tatu wao wakiwa hawana amani na sisi pia hatuna amani, hujui ni bomu gani litakosewa likaja kutua Tanzania, ni lazima tutumie rasilimali zetu kulinda mipaka hivyo pesa za miundombinu, hospitali zitaenda kulinda mpaka.. na mengine mengi, bila kusahau masuala ya uhamiaji haramu n.k

So weka mihemko pembeni, ombeni hili jambo lisitokee, vita sio kitu cha kufurahia, sio jambo la kuchekelea.. vita ni damu na hasara, hakuna faida ya vita... uwe unampenda Magufuli au humpendi, ombea sana nchi yako na hekima ya viongozi wetu ili hili jambo liweze kuepukika..

Nahisi pia hili linaweza kuwa ni sababu ya reshuffle ya Foreign Ministry.
Umemaliza kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mseveni mnyankole ,apigane na Kagame mtutsi, woteni Hamitic na wako kundi dogo (minority) ukilinganisha na Bantu majority nchini mwao kila mmoja. Busara ndogo inakataa wote watzua hasira za majority kwao, kila mmoja. Watakuwa wamechoka kutawala na watawaumiza hamitics wa Uganda na Rwanda. Watacreate another genocide. Wale ni ndugu wakigombana shika jembe ukalime, wakipatana shika panga ukavune. . Hata kule Kongo museveni alilubali kupigwa kwa sababu ya busara aliyotumia , kuwa hapa tupo ugenini tunapora, sasa nipeleke jeshi kamili kumpiga mporaji mwenzangu. Ni sawasawa na mfaransa ,mbelgiji ,mwingereza na Marekani Leo wapigane vita mle Congo leo, ni upuuzi kwa kuwa wanachokitaka mle wanakipata, mdini yanayochimbwa na waasi yanaenda huko kwenye hayo mataifa. Una habari kuwa majeshi ya Tanzania yalifadhiliwa na hayo mataifa ili kuisambarstisha M23 kwa sababu ilifadhiliwa na Rwanda? Kanchi kadogo na kenyewe kashiriki uporaji wa wakubwa .? Haiwezekani. Ndio maana majeshi ya Tanzania yaliyoko huko hawasambaratishi waasi waliobaki , hawaruhusiwi na hayo mataifa si kuwa hawawezi. Hakuna nchi ya Afrika inayoweza kutuma jeshi kwenda kupiga nje bila kufadhiliwa. Boko haram kule Nigeria anafadhiliwa na Marekani vinginevyo angeshasambaratishwa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How many Rwandans have been kidnapped and brought back to Rwanda from Uganda, against their will? Ujasusi wa Rwanda. Yule mkuu wa polisi was on their payroll
Kale Kayihura?? Was He On the Rwandan Payroll!! Justify!! Ila Nakumbuka Sababu za Kutumbiliwa Kwake ni Pamoja na Matukio ya Uhalifu yanayohusisha Polisi Hapa Kampala Kuzidi Snaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ni tete katika mahusiano kati ya Rwanda na Uganda.



Ikumbukwe tu nchi zote hizi mbili ni "dola za kijasusi" kutokana na backgrounds za watawala wake (both Kagame na Museveni ni majasusi wabobevu).

Nchi zote mbili ni majirani zetu na wanachama wenzetu kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sio siri kuwa Jiwe na Kagame ni kama chanda na pete, japo pia uhusiano wa Jiwe na Museveni sio mbaya.

Pengine Rwanda na Uganda zikiingia vitani haitotuathiri kwa lolote lakini what if Kagame akitaka kumtumia Jiwe/kuitumia Tanzania kama PROXY? ("Proxy war" ni vita ambapo nchi zenye uadui zinapigana bila zenyewe kuwepo vitani moja kwa moja. Mfano wa proxy war ni Yemen na Syria ambapo Iran na Saudia technically zipo vitani huku Yemen na Syria zikiwa ndio "proxies").

Lakini pia nchi inaweza kuwa "proxy" katika scenario hii (God forbid)- Rwanda na Uganda zaingia vitani, kisha Burundi ikaiunga mkono Uganda (kwa sababu ya uhasama baina ya Kagame na Nkurunziza) na sie tukaiunga mkono Rwanda (kwa sababu ya uswahiba kati ya "Mtu Mrefu Paulo" na Jiwe)

Kijasusi, tayari Rwanda na Uganda wapo vitani. Vita ya kijasusi. Na "kwa vile Dar imesheheni majasusi wa mataifa mbalimbali kama ilivyo Brussels, Ubelgiji (soma zaidi hapo chini)" basi nayo technically ni sehemu ya vita hiyo.



I hope busara zitatawala kwa wahusika kuepusha vita kati yao.

#FoodForThought

Sent using Jamii Forums mobile app
Mind you Kabudi he is on board as a mediator

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kale Kayihura?? Was He On the Rwandan Payroll!! Justify!! Ila Nakumbuka Sababu za Kutumbiliwa Kwake ni Pamoja na Matukio ya Uhalifu yanayohusisha Polisi Hapa Kampala Kuzidi Snaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basically he is court martialed for that. Why do I have to justify on something I do not know? That is what is claimed. They will sort out themselves
 
Rwanda is too overrated, afu kanchi kenyewe ni nusu ya tabora tu,ukiwabana mipakani tu na kuwapa maadui zake walioko Congo support kidogo wanafika kigali,Rwanda siyo Israel period.

Aisee unaweza ukamzidi mtu uwezo, ucmzidi Akili, ila anaekuzidi Akili ndio kakuzidi na uwezo.how Israel became strong? Huwezi kua na nchi ndogo alfu usiwe na akili ukabweteka tu, yule mzee anajisahau kua atayeye kuchukua uganda line front ya ma general top Walikua wanyarwanda. Rwanda itakua nchi ya Akili na TechnoloJia .(Digital Country)
 
Hiki ndicho ambacho hata mimi nakifiria, kuna yule mpinzani wa Kagame aliyefia hotelini kule SA, of course Kagame ndiye aliyemuua; namna alivyo fanya ni kama hu "ugomvi" wake na M7, siamini kabisa kama M7 anaweza kua na bifu na Mr. Slim kwa maslahi ya Burundi, never, hawa watu ni maswahiba wakubwa na zipo habari kwamba hawa jamaa apart from uswahiba wao lakini pia ni ndugu, remember wakati M7 anaingia madarakani, Mr. Slim alikua one of the very senior officials kwenye serikali ya Uganda na the same guy (M7) ndiye aliyemsaidia PK kuingia madarakani kwenye ile vita ilimwaga damu nyingi sana za Watutsi kule Rwanda na Burundi kidogo; namshauri sana mhe No 1 wetu, asijiingize kwenya haya mambo, but kwa mwenendo anaokwenda nao raisi wetu nahisi hata yeye nae ni zao la USALAMA wa taifa and hence nae pia ni shushushu vile vile kama wao, Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania
Umeeleza vizuri saaana ila hapo kuwa jiwe ni zao la dstv sio kweli
Kama angekuwa ni zao la dstv asingeweza kuropoka kuwa Ana spy mawasiliano ya mawaziri wake

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Vita hivyo hata Tanzania tutaona impact yake. Ngoja tuone hiyo ngoma itachezwa na wengi na huenda hilo bifu halitahusu hizo nchi bali kuna mtego unaandaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna vita hapo,Ni PK tu anamchezea sharubu kakaake akijua kashazeeka,mziki wa M7 PK anaijua na anajua M7 akiamua ataenda hata kumsalimia chumbani kwake bila mwaliko
 
Hakuna vita hapo ingawaje ikitokea kagame atashinda sababu ya vifaa na technlogia huku mseveni hana teknolojia na jeshi lake haliko Pamoja...Magu atakuwa neutral ingawaje ana uwezo wa kuwachapa wote kwa Pamoja akiamua
Duh akili za watanzania wanazijua wenyewe!
 
Rwanda wameanza mazoezi ya kijeshi na us air force africa kuanzia tar 4 hadi 8 march kwenye ule mpango unaofahamika kama african partnership flight #APF
20190305_025229.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom